Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


EWURA yatakiwa kukaa na wadau wa umeme kupunguza garama

 

Siku Moja baada ya Tanzania kuanza kutumia umeme wa nishati ya gesi kutoka Mtwara Serikali imeziagiza Mamlaka ya Mdhibiti wa Nishati na Maji (EWURA) na wadau wa uzalishaji wa nishati hiyo kukaa na kufanya tathmini ili kufikia muafaka wa kupunguza gharama zake kwa watanzania.

Hatua hiyo inatokana na unafuu wa uzalishaji wa umeme kwa nishati ya gesi ukilinganisha na maji ambapo vyanzo vyake vilishindwa kumudu na kusababisha gharama za umeme kupanda kutokana na uwezo wa uzalishaji kushuka...

StarTV

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Ewura yaiagiza Tanesco kupunguza bei ya umeme

Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imeliagiza Shirika la Umeme nchini (Tanesco) kupunguza bei za umeme kuanzia Machi Mosi mwaka huu.

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

EWURA yaagizwa kupunguza zaidi bei ya mafuta


NA WAANDISHI WETU
MAMLAKA ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), imetakiwa kuhakikisha inaendelea kupunguza bei ya mafuta kulingana na mabadiliko katika soko la dunia. Agizo hilo limetolewa jana na Kamati ya PAC wakati ilipokutana na watendaji na maofisa wa EWURA, ambapo imesema ni lazima bei ya mafuta nchini ibadilike kulingana na bei ya soko duniani. Makamu Mwenyekiti wa PAC, Ismail Aden Rage, alisema bei ya mafuta kwenye soko la dunia imepungua kwa asilimia 25, hivyo mamlaka...

 

11 years ago

Habarileo

Jamii yatakiwa kupunguza dawa za kulevya

JAMII imetakiwa kupambana na kupunguza matumizi ya dawa za kulevya, ambazo zimekuwa zikiathiri nguvu kazi kwa vijana.

 

10 years ago

Dewji Blog

Jamii yatakiwa kushiriki kupunguza ajali za barabarani

Kaimu Mganga Mkuu wa Serikali, Dk. Mohamed Ally Mohamed (kushoto), akizungumza na waandishi wa habari wakati akifungua semina hiyo Dar es Salaam. Kulia ni Mkurugenzi Msaidizi Kitengo cha Maafa na Dharura, Dk.Elias Kwesi.

Mkurugenzi Msaidizi Kitengo cha Maafa na Dharura, Dk.Elias Kwesi (kulia), akizungumza katika semina hiyo kabla ya kumkaribisha mgeni rasmi Kaimu Mganga Mkuu wa Serikali, Dk. Mohamed Ally Mohamed kufungua semina hiyo.

Ofisa Mradi wa Usalama Barabarani wa Shirika la...

 

11 years ago

Habarileo

BoT yatakiwa kupunguza riba kwa mabenki

MKUU wa Wilaya ya Morogoro, Said Amanzi ameomba menejimenti ya Benki Kuu ya Tanzania (BoT), kuangalia uwezekano wa kupunguza riba kwa benki za kawaida, zinazotoa mikopo kwa wajasiriamali na wananchi wa kawaida.

 

10 years ago

Mtanzania

Serikali yatakiwa na mpango kupunguza foleni Dar

jamm1Na Mwandishi Wetu, Dodoma
SERIKALI imeshauriwa kuwa na mpango wa miaka 50 hadi 100 utakaosaidia kutatua msongamano wa magari katika Jiji la Dar es Salaam.
Ushauri huo, umetolewa bungeni jana na Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa katika taarifa yake ya utekelezaji wa shughuli za kamati hiyo katika kipindi cha kuanzia Januari 2014 hadi Januari 2015.
Akisoma taarifa hiyo, mjumbe wa kamati hiyo, Athuman Mfutakamba, alisema usanifu huo unatakiwa kuangalia ongezeko...

 

5 years ago

Michuzi

MGALU AITAKA EWURA KUHARAKISHA UANDAAJI KANUNI KWA WAWEKEZAJI BINAFSI WA UMEME


Hafsa Omar-PwaniNAIBU Waziri wa Nishati, Subira Mgalu, imeitaka Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma  ya Nishati na Maji(EWURA) kuharakisha uandaaji wa kanuni ambazo zitatumika kudhibiti bei za umeme ambazo zitatumiwa na wawekezaji binafsi wa umeme nchini.

Ameyasema hayo, Februari 20,2020 wakati alipokuwa akijibu maswali mbalimbali ya wananchi ambao walikuwa wakilalamikia bei kubwa ya umeme wanaotozwa na Mkandarasi wa kampuni ya Husk Power iliyopo katika kijiji cha Matipwili kata Mkange, Wilaya ya...

 

9 years ago

StarTV

Kampuni ya SPENCON yatakiwa kukamilisha kusambaza Umeme Mei 31

 

Kampuni ya SPENCON Serikali imeitaka Kampuni ya SPENCON nchini Kenya iliyopewa zabuni ya kusambaza umeme katika vijiji 90 vya mkoa wa Singida kuhakikisha kuwa inakamilisha shughuli hiyo kabla ya Mei 31 mwaka huu vinginevyo itachukuliwa hatua kulingana na sheria za mikataba.

Naibu Waziri wa Nishati na Madini Dokta Medard Kalemani ametoa agizo hilo wakati akikagua mradi huo uliogharimu dola za kimarekani milioni 20.

Amebaini kuwa licha ya mkandarasi huyo kuwa nyuma ya mkataba kwa miezi minne...

 

10 years ago

Michuzi

Serikali yatakiwa kusitisha uporomokaji wa bei za Filamu Nchini - Wadau

Kaimu Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Prof. Elisante Olegabriel aliyesimama akifungua Mkutano Baadhi ya wasambazaji wa Filamu nchini (hawapo pichani)kuhusu kuporomoka kwa bei ya filamu, wa pili kutoka kushoto ni Katibu Mtendaji wa Bodi ya Filamu nchini. Bi. Joyce Fissoo.Mkutano huo ulifanyika jana jijini Dar es Salaam
Na Genofeva Matemu – Maelezo
Serikali imewapongeza wasambazaji na wadau wa filamu nchini kwa mchango wao mkubwa katika kuelimisha,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani