FAIZA: WATANZANIA NISAMEHENI JAMANI
Mzazi mwenzake na Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi ‘Sugu’ Faiza Ally. Imelda Mtema MZAZI mwenzake na Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi ‘Sugu’ Faiza Ally, hivi karibuni katika tuzo za KTMA aliwaacha watu midomo wazi baada ya kutinga na kivazi kilichoacha sehemu kubwa ya makalio yake nje na kuzua minong’ono katika mitandao ya kijamii. Akizungumza na Amani kwa kuonekana kujutia kitendo...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies09 Apr
Jamani jamani, hii nini tena jamani?? Shilole na Nuh mziwanda wachafua mtandao tena
LEO kupitia kwenye kwenye mtandao ule maarufu wa picha nchini, msanii Nuhu mziwanda a.k.a mume mtarajiwa wa mwanadada Shilole ameweke picha hiyo hapo juu ambayo imezua utata mkubwa sana kwa wadau wachache walioiona picha hiyo kwenye mtandao, kabla haijafutwa. Wengi wao wamehoji,
je kuna umuhimu gani wa kutupia mambo mazito kama hayo kwenye mitandao ya kijamii??
Picha hiyo ilikuwa na maandishi yanayosema
“I’m just hold it tight, my favorite thing on her boy”
Kwanza kabisa...
10 years ago
Bongo529 Sep
Sugu na Faiza waachana, Faiza alia kwa uchungu, ‘wanaume nawasihi msiache wake zenu’
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8KOwdycLvXQr-jsmCC*fj3qHULW-io92n7M*fsIyxxRJp*YXnp*rvR-zOKmyjV6*I9BnfCKv73q07ry0G6UN3PVp7jziTvC2/tyy7.jpg?width=650)
SHILOLE: KINA MAMA WOTE NISAMEHENI
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Apuk65MO0R35Wkj7AU*qSMrADcxVkNI8GlKqFOmCVhpdVjouC4Cs0fhTG-cFvOcCILVHumxWhKGQd99DG*WWQjF**K47ljGc/nateseka.jpg?width=650)
NATESEKA JAMANI!
10 years ago
Mtanzania10 Jun
Uwoya: Sijafulia jamani
NA RHOBI CHACHA
MWIGIZAJI maarufu wa bongo, Irene Uwoya, amedai hajafulia kama baadhi ya mastaa wenzake wanavyodai.
Aliliambia gazeti hili kwamba hivi punde atathibitisha kauli yake hiyo kwa vitendo kwa kuwa alikuwa kimya kwa kuwa alikuwa anajiandaa kurudi upya kwa ladha tofauti na zilizozoeleka katika filamu.
“Watasema watanyamaza, ukweli ni kwamba sijafulia, kukaa kimya nina mambo yangu binafsi nafanya, hivyo nikimaliza nitarudi kwenye uigizaji,” alisema Uwoya.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/o-1NtXzEejLSKC1OrRACu0d-1Qn55TaPY347WtmNQwWoVMwrr5Ur0*FZzAibHm359kHhl5DV1eKXFFJl6kRLqp*rOkOg57bQ/nisha.jpg)
NISHA: SIJAFULIA JAMANI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/QiexpI9hytrtM8RXH9aHy3qbcYA-pnQP4eRCsMIDotsK7Cv6-OujV-C2en28iQ38cf-5X3W-Ssob2ZI4RGQgstvZdL2wRZp8/BACK.jpg?width=650)
LULU: NIHURUMIENI JAMANI!
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ho7RWhwBiVeLtFwDiTrtyMxT9rhsNWn9A*jHwVd6F1EZ3PwxgmL0xIASm-lgUT0F*bO37r6ZasXHalyCjk*GOSpQezIVpMf2/kijana.jpg?width=650)
JAMANI NAKUFA, NIOKOENI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jF779BPAXfa8UH71npBarHEI97luvHCmXtdQorwGfFpFNpx9ud62E7eY4-VSj9RBQNJBT6wBO1Vu9uP4NuZVdmokABmLMGkb/LULU.jpg?width=650)
LULU MAWIGI YANATUZEESHA JAMANI