NISHA: SIJAFULIA JAMANI
![](http://api.ning.com:80/files/o-1NtXzEejLSKC1OrRACu0d-1Qn55TaPY347WtmNQwWoVMwrr5Ur0*FZzAibHm359kHhl5DV1eKXFFJl6kRLqp*rOkOg57bQ/nisha.jpg)
Na Chande Abdallah BAADA ya saluni yake iliyopo Sinza jijini Dar kufungwa huku uvumi wa kudaiwa kufulia ukimuandama, msanii wa filamu, Salma Jabu ‘Nisha’ amefunguka kuwa uvumi huo hauna ukweli. Msanii wa filamu Bongo, Salma Jabu ‘Nisha’. Akizungumza na mwandishi wetu, Nisha alisema biashara yake ya saluni ipo kama kawaida ila ameihamishia maeneo ya Chuo Kikuu - Mlimani kwa kuwa eneo la awali halikuwa...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania10 Jun
Uwoya: Sijafulia jamani
NA RHOBI CHACHA
MWIGIZAJI maarufu wa bongo, Irene Uwoya, amedai hajafulia kama baadhi ya mastaa wenzake wanavyodai.
Aliliambia gazeti hili kwamba hivi punde atathibitisha kauli yake hiyo kwa vitendo kwa kuwa alikuwa kimya kwa kuwa alikuwa anajiandaa kurudi upya kwa ladha tofauti na zilizozoeleka katika filamu.
“Watasema watanyamaza, ukweli ni kwamba sijafulia, kukaa kimya nina mambo yangu binafsi nafanya, hivyo nikimaliza nitarudi kwenye uigizaji,” alisema Uwoya.
10 years ago
Bongo Movies09 Apr
Jamani jamani, hii nini tena jamani?? Shilole na Nuh mziwanda wachafua mtandao tena
LEO kupitia kwenye kwenye mtandao ule maarufu wa picha nchini, msanii Nuhu mziwanda a.k.a mume mtarajiwa wa mwanadada Shilole ameweke picha hiyo hapo juu ambayo imezua utata mkubwa sana kwa wadau wachache walioiona picha hiyo kwenye mtandao, kabla haijafutwa. Wengi wao wamehoji,
je kuna umuhimu gani wa kutupia mambo mazito kama hayo kwenye mitandao ya kijamii??
Picha hiyo ilikuwa na maandishi yanayosema
“I’m just hold it tight, my favorite thing on her boy”
Kwanza kabisa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/EMVKhgUIcMuxieu6zfhwzjt7ihuAsA676VyXbSsh*OqlhNywW0*jjynK0WHn5qklFW-wrSakhr3IWng262F1lK7xhRVEowQT/mahaba.jpg?width=650)
JOHARI: SIJAFULIA KISANAA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Apuk65MO0R35Wkj7AU*qSMrADcxVkNI8GlKqFOmCVhpdVjouC4Cs0fhTG-cFvOcCILVHumxWhKGQd99DG*WWQjF**K47ljGc/nateseka.jpg?width=650)
NATESEKA JAMANI!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/QiexpI9hytrtM8RXH9aHy3qbcYA-pnQP4eRCsMIDotsK7Cv6-OujV-C2en28iQ38cf-5X3W-Ssob2ZI4RGQgstvZdL2wRZp8/BACK.jpg?width=650)
LULU: NIHURUMIENI JAMANI!
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ho7RWhwBiVeLtFwDiTrtyMxT9rhsNWn9A*jHwVd6F1EZ3PwxgmL0xIASm-lgUT0F*bO37r6ZasXHalyCjk*GOSpQezIVpMf2/kijana.jpg?width=650)
JAMANI NAKUFA, NIOKOENI
10 years ago
Mwananchi22 Jan
Jamani! Kuna mengi Yanga
10 years ago
GPLFLORA: KUZAA RAHA JAMANI!
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mza-*42r4qjf3jTv1-u1cv*LYZcNBjXL8rdTBjg0N1BuWRQPFdOqxHmbanZDqgRCk6pFPvRfPmc7R9bBzMC1kAK87M-EM2XI/kitale.jpg?width=650)
KITALE: TUMCHANGIENI MAPEMBA JAMANI!