Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KITALE: TUMCHANGIENI MAPEMBA JAMANI!

Stori: Chande Abdallah
MSANII wa Komedi Bongo, Musa Yusuph ‘Kitale’ amewahamasisha wasanii wenzake kujiunga pamoja kumchangia msanii mwenzao, Ismail Issa Makombe ‘Mapembe’ ambaye hivi karibuni ameripotiwa kuwa hoi akiuguza maradhi ya ini yaliyopelekea kujawa na sumu mwilini. 1“Pamoja na michango ya mtu mmojammoja, wanakomedi tumejiandaa kurekodi muvi kisha mauzo yote yatumike kumtibia mwenzetu....

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo Movies

Jamani jamani, hii nini tena jamani?? Shilole na Nuh mziwanda wachafua mtandao tena

LEO kupitia kwenye kwenye mtandao ule maarufu wa picha nchini, msanii Nuhu mziwanda a.k.a mume mtarajiwa wa mwanadada Shilole ameweke picha hiyo hapo juu ambayo imezua utata mkubwa sana kwa wadau wachache walioiona picha hiyo kwenye mtandao, kabla haijafutwa. Wengi wao wamehoji,

 je kuna umuhimu gani wa kutupia mambo mazito kama hayo kwenye mitandao ya kijamii??

 

Picha hiyo ilikuwa na maandishi yanayosema

 

“I’m just hold it tight, my favorite thing on her boy”

 

Kwanza kabisa...

 

10 years ago

Bongo Movies

Kitale Awachana ‘Bongo Movies’

Msanii wa filamu na vichekesho, Musa Kitale jioni ya leo akizungumza kwenye studio za  Magic FM,kipindi cha Afrika Kabisa  kwenye kipengele cha African Movies, alisema wazi kuwa hawakubali kabisa bongo movies kwani wanapenda kurudia  rudia na kukopi filamu za nje na kusisitiza hata akiziangalia filamu zao huwa haoni jipya na hazina ubunifu.

Akaendelea kufafanua kuwa yeye sio mwana Bongo Movies na wala hayupo karibu nao kwani anaogopa kuwaambukizwa ‘kaugonjwa’ kakukopi kopi kitu mbacho...

 

11 years ago

GPL

MAMA SHARO AMVAA KITALE

Stori: Gladness Mallya na Hamida Hassan Makubwa! Mama mzazi wa aliyekuwa nyota wa filamu na muziki, marehemu Hussein Mkieti ‘Sharo Milionea’ amemtuhumu msanii wa vichekesho ambaye alikuwa rafiki wa mwanaye, Musa Kitale kuwa alikula michango ya kumbukumbu ya kifo cha mwanaye, mwaka jana. Kwa mujibu wa chanzo makini, Mama Sharo amekuwa akimlalamikia Kitale kwa watu kwamba alikula fedha za mchango wa mwanaye hivyo...

 

9 years ago

GPL

UCHAGUZI WAWAACHIA BIFU MAFUFU, KITALE

Msanii wa filamu Bongo, Jimmy Mafufu. Na Gladness Mallya JAPOKUWA uchaguzi umekwisha bado lile bifu la wasanii wa filamu Bongo, Jimmy Mafufu na Musa Yusuf ‘Kitale’ linaendelea kufukuta ambapo Mafufu ameapa kwamba hawezi kuzungumza na msanii huyo kwani ni mnafiki. Msanii wa filamu Bongo, Musa Yusuf ‘Kitale’. Akistorisha na paparazi wetu, Mafufu alisema japo mambo ya siasa za uchaguzi yameisha lakini hawezi kuzungumza na...

 

10 years ago

Bongo Movies

Wazo la Mkude Simba Si Mchezo- Kitale

HAIKUWA rahisi kugundua na kubaini vibwagizo vya Mkude Simba vilivyoibuka ghafla kuteka jiji la Dar es Salaam pamoja na nchini nzima mwasisi wa wazo hilo alikuwa ni Mussa Kitale ‘Mkude Simba’ anasema kuwa wazo hilo liliandaliwa kwa muda wa miaka miwili na kuja kuteka umma.

“Wazo la Mkude Simba nilikuwa nalo toka mwaka 2012 lakini nilipokuwa najaribu kulitumia baadhi ya Redio zilishindwa kunielewa, lakini Efm walinielewa na kutumia vibwagezo vyangu vya Mkude Simba,”anasema Kitale.

Kitale...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kitale kutoka na video za Mkude Simba

MSANII wa filamu na vichekesho nchini, Mussa Kitale ‘Kitale’, amesema kutokana na mafanikio aliyoyapata katika programu ya miito ya simu kwa kutumia vichekesho vyake vya ‘Mkude Simba’ sasa anatarajia kutoa...

 

11 years ago

GPL

MAPEMBE HALI MBAYA, AMLALAMIKIA KITALE

Stori:  Musa Mateja MSANII wa vichekesho kutoka Kundi la Vituko Show, Ismail Makombe ‘Mapembe’, anadai kuingizwa mjini na staa mwenzake, Mussa Yusuf Kitale ‘Mkude Simba’ kwa kumuahidi kumchangishia pesa na mwisho kuingia mitini. Msanii wa vichekesho kutoka Kundi la Vituko Show, Ismail Makombe ‘Mapembe’. Akizungumza na gazeti hili hivi karibuni, Mapembe ambaye hali yake ni mbaya kiafya...

 

9 years ago

Global Publishers

Kitale: Uteja una mwisho wake

DSC_1545Mkali wa vichekesho nchini, Musa Kitale ‘Mkude Simba’.

Ibrahim Mussa, Dar es Salaam

MKALI wa vichekesho nchini, Musa Kitale ‘Mkude Simba’ amefunguka kuwa siku zote amekuwa akipenda kuigiza kama mtu anayetumia madawa ya kulevya, anaamini kuwa itafika kipindi atakuja na mtindo mwingine ambao utakuwa gumzo zaidi.

Akizungumza na Mikito Jumatano, Kitale alisema amekuwa akitumia mtindo huo kwa ajili ya kutoa somo kwa vijana wa Kitanzania namna vijana wanavyoathirika na utumiaji wa madawa hayo huku...

 

9 years ago

Bongo Movies

Uchaguzi Wawachia Bifu Mafufu, Kitale

JAPOKUWA uchaguzi umekwisha bado lile bifu la wasanii wa filamu Bongo, Jimmy Mafufu na Musa Yusuf ‘Kitale’ linaendelea kufukuta ambapo Mafufu ameapa kwamba hawezi kuzungumza na msanii huyo kwani ni mnafiki.

Akistorisha na paparazi wetu, Mafufu alisema japo mambo ya siasa za uchaguzi yameisha lakini hawezi kuzungumza na Kitale kwani ni mtoto mdogo sana kwake na ni mnafiki hivyo hawezi kushindana na mtu ambaye siyo levo yake.


“Siwezi kuongea na yule mtoto maana ni mnafiki halafu yeye ndiye...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani