JAMANI NAKUFA, NIOKOENI
![](http://api.ning.com:80/files/Ho7RWhwBiVeLtFwDiTrtyMxT9rhsNWn9A*jHwVd6F1EZ3PwxgmL0xIASm-lgUT0F*bO37r6ZasXHalyCjk*GOSpQezIVpMf2/kijana.jpg?width=650)
Stori: Imelda Mtema, Bagamoyo WANASEMA ukistaajabu ya Musa utayaona ya Firauni, ni kweli! Ngaweje Said (39), mkazi wa Kijiji cha Zinga, Bagamoyo, Pwani anateseka na gonjwa asilolijua ambapo nyama kubwa imeota toka juu ya uso upande wa kushoto na kumwagikia kifuani, Uwazi lilikutana naye uso kwa uso. Akizungumza na mwandishi wetu akiwa nyumbani kwake kijijini hapo juzi, Ngaweje alisema: “Ugonjwa huu ulinianza nilipozaliwa...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LWw0InctTwkWuv1hDH5YFIa1Wq90XhaFPMwMfn*YB6*6Eyj2le3nIt-Dp1PClsEL5JIfOLgKsXMcbFA6aPnsAG1F9NKS6dGw/uvimba.jpg?width=650)
‘JAMANI NAKUFA HUKU NAJIONA’!
10 years ago
Bongo Movies09 Apr
Jamani jamani, hii nini tena jamani?? Shilole na Nuh mziwanda wachafua mtandao tena
LEO kupitia kwenye kwenye mtandao ule maarufu wa picha nchini, msanii Nuhu mziwanda a.k.a mume mtarajiwa wa mwanadada Shilole ameweke picha hiyo hapo juu ambayo imezua utata mkubwa sana kwa wadau wachache walioiona picha hiyo kwenye mtandao, kabla haijafutwa. Wengi wao wamehoji,
je kuna umuhimu gani wa kutupia mambo mazito kama hayo kwenye mitandao ya kijamii??
Picha hiyo ilikuwa na maandishi yanayosema
“I’m just hold it tight, my favorite thing on her boy”
Kwanza kabisa...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ge9WkNua4Toy5Hyoh2eijHK2Xi0YVDjOMomSPgwZaBmiJN-Gb1OvVLf1Lhg5XsmNq3imPOZaQZ9SJjRT2v96z0TbuVUnp7hY/Avunjika.gif?width=650)
MGONJWA ALIA: SINA PESA, NAKUFA!
10 years ago
Mwananchi27 Mar
Msagati: Nakufa nikijiona, Watanzania nisaidieni
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/KBI*TiKs6pIkfjCrlATFCJLwTcqU5EYY8vCOs4EpUI9jmILyrq*yzhRqB5I5wwRfajMrICWPzvzVdgx95MPIw0EQ6QFu0Rce/nyinyo.gif)
“BILA NYINYI WATANZANIA, MIMI NAKUFA”
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Apuk65MO0R35Wkj7AU*qSMrADcxVkNI8GlKqFOmCVhpdVjouC4Cs0fhTG-cFvOcCILVHumxWhKGQd99DG*WWQjF**K47ljGc/nateseka.jpg?width=650)
NATESEKA JAMANI!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/o-1NtXzEejLSKC1OrRACu0d-1Qn55TaPY347WtmNQwWoVMwrr5Ur0*FZzAibHm359kHhl5DV1eKXFFJl6kRLqp*rOkOg57bQ/nisha.jpg)
NISHA: SIJAFULIA JAMANI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/QiexpI9hytrtM8RXH9aHy3qbcYA-pnQP4eRCsMIDotsK7Cv6-OujV-C2en28iQ38cf-5X3W-Ssob2ZI4RGQgstvZdL2wRZp8/BACK.jpg?width=650)
LULU: NIHURUMIENI JAMANI!
10 years ago
Mtanzania10 Jun
Uwoya: Sijafulia jamani
NA RHOBI CHACHA
MWIGIZAJI maarufu wa bongo, Irene Uwoya, amedai hajafulia kama baadhi ya mastaa wenzake wanavyodai.
Aliliambia gazeti hili kwamba hivi punde atathibitisha kauli yake hiyo kwa vitendo kwa kuwa alikuwa kimya kwa kuwa alikuwa anajiandaa kurudi upya kwa ladha tofauti na zilizozoeleka katika filamu.
“Watasema watanyamaza, ukweli ni kwamba sijafulia, kukaa kimya nina mambo yangu binafsi nafanya, hivyo nikimaliza nitarudi kwenye uigizaji,” alisema Uwoya.