Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘JAMANI NAKUFA HUKU NAJIONA’!

Asha Manga ,25, mkazi wa Tarafa ya Turiani Wilaya ya Mvomero mjini hapa, anaumwa sana kwani anasumbuliwa na uvimbe kwenye taya unaoendelea kukua kila siku. Asha Manga anayesumbuliwa na uvimbe kwenye taya unaoendelea kukua kila siku. Asha anayeishi na mama yake, Halima Juma baada ya baba yake mzazi, Juma Manga kufariki dunia, amekuwa akitumia muda mwingi kulia na kusema anakufa huku anajiona kufuatia kukosa kiasi cha shilingi...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

JAMANI NAKUFA, NIOKOENI

Stori: Imelda Mtema, Bagamoyo
WANASEMA ukistaajabu ya Musa utayaona ya Firauni, ni kweli! Ngaweje Said (39), mkazi wa Kijiji cha Zinga, Bagamoyo, Pwani anateseka na gonjwa asilolijua ambapo nyama kubwa imeota toka juu ya uso upande wa kushoto na kumwagikia kifuani, Uwazi lilikutana naye uso kwa uso. Akizungumza na mwandishi wetu akiwa nyumbani kwake kijijini hapo juzi, Ngaweje alisema:
“Ugonjwa huu ulinianza nilipozaliwa...

 

10 years ago

Bongo Movies

Jamani jamani, hii nini tena jamani?? Shilole na Nuh mziwanda wachafua mtandao tena

LEO kupitia kwenye kwenye mtandao ule maarufu wa picha nchini, msanii Nuhu mziwanda a.k.a mume mtarajiwa wa mwanadada Shilole ameweke picha hiyo hapo juu ambayo imezua utata mkubwa sana kwa wadau wachache walioiona picha hiyo kwenye mtandao, kabla haijafutwa. Wengi wao wamehoji,

 je kuna umuhimu gani wa kutupia mambo mazito kama hayo kwenye mitandao ya kijamii??

 

Picha hiyo ilikuwa na maandishi yanayosema

 

“I’m just hold it tight, my favorite thing on her boy”

 

Kwanza kabisa...

 

10 years ago

Vijimambo

KIJANA AKOTWA HUKU KANISA NYASUBI KAHAMA HUKU IKIWA HAWEZI KUONGEA VIZURI

Kijana sebastin akotwa maeneo ya kanisa la roma katoliki mjini kahama huku hakiwa awenzi kuongea jina lake vizuri huku kwenye mkono wake likiwa limeandikwa jina lake .Afisa maendeleo wa mji wa kahama Neema lujumba akiwa na kijana huyo baada ya kufikishwa ofisi ya mtendaji wa kata ya nyasubi kwa mahojiano zaidikijana sebastin akiwa na ofisa maendeleo Neema lujumba kwenye ofisi ya mkurungezi wa halmashauri ya mji wa kahama.kwa mujibu wa afisa maendeleo huyo alisema kuwa mtoto huyu aliokotwa na...

 

11 years ago

CloudsFM

Brand New Single: I See Me / Najiona Mimi - Joe Makini

Its another single from Weusi, But this time ni Joe Makini, Baada yandogo wake "Nikki wa pili" kuachia "Sitaki Kazi" Joe ameachia single yake mpya "I see me / Najiona Mimi, producer akiwa ni yule yule Nahreel.... msikilize hapa chini

 

9 years ago

GPL

MGONJWA ALIA: SINA PESA, NAKUFA!

Na Haruni Sanchawa NASIKITISHA, Said Ndangaye Mwilu (57), mkazi wa Kimara Baruti, Wilaya ya Kinondoni, jijini Dar es Salaam na mwenyeji wa Kilwa, Kijiji cha Kipatima, anaishi katika hali ya mateso makubwa baada ya sehemu ya mwili kuanzia kiunoni hadi miguu kupooza na kuibuka tundu kwenye kalio, magonjwa ambayo amedumu nayo kwa muda mwaka mzima. Said Ndangaye Mwilu akiugulia. Akizungumza na gazeti hili, mzee huyo amesema amekosa...

 

10 years ago

Mwananchi

Msagati: Nakufa nikijiona, Watanzania nisaidieni

Geofrey Msagati (23), ni Fundi Seremala ambaye ndoto za siku moja kufungua kampuni yake zimezimika na wala hajui hatima ya maisha yake kutokana na maradhi yanayomsibu.

 

10 years ago

GPL

“BILA NYINYI WATANZANIA, MIMI NAKUFA”

Stori:  Makongoro Oging’
“Hali niliyonayo kiafya kwa sasa ni ya kutia mashaka, sina muda mrefu kuendelea kuishi hapa duniani, nikifikiria ninavyoteseka ndani ya familia yangu nikichanganya na maumivu ya ugonjwa usiopata matibabu, naamini bila msaada wenu nitafariki dunia.” Hajira Twalib Mdoka akiwa mwenye maumivu makali baada ya kuugua ugonjwa wa kansa. Hivyo ndivyo alivyoanza kusimulia mtoto Hajira...

 

10 years ago

Bongo5

Diamond: Nilivyofika Nigeria nilikuwa najiona kama mkiwa, siwaoni wasanii wenzangu hata Ally simuoni

Baada ya Diamond Platnumz kutua jijini Dar es salaam December 2 akitokea Afrika Kusini akiwa na tuzo zake 3 za Channel O, alikutana na wadau, mashabiki pamoja na waandishi pale Escape 1 kuzungumzia ushindi wake na safari nzima ilivyokuwa. Miongoni mwa maeneo aliyozungumzia ni pamoja na umoja unaohitajika kwa wasanii wa Tanzania ili waweze kuwa […]

 

11 years ago

GPL

NATESEKA JAMANI!

Na Jelard Lucas na Makongoro Oging’
KIJANA Haruni Kayombo (19), mkazi wa Mbalizi, Mbeya anaishi kwa mateso makubwa tangu mwaka 2006, baada kushikwa na ugonjwa wa ajabu uliomuanza ghafla. Haruni Kayombo. Katika mahojiano na gazeti hili akiwa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) jijini Dar es Salaam, Kayombo alisema bado hajui hatima ya maisha yake kutokana na mateso anayoyapata usiku na mchana huku akitoa simulizi ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani