FAMILIA ILIVYOBAMBWA IKILIMA UTUPU SHAMBANI
![](http://api.ning.com:80/files/7C-F8e0yGIZK3fbfhkzDHafA4r7WqqkTTRbfnFQSKPUsNljRunUCDdDpw4oo7CgWGUx54pPHiCtWgPJvwd2CB8XCr7UewCYk/familia.jpg?width=650)
Stori: Haruni Sanchawa na Denis Mtima MAAJABU ya mwaka! Watu wanne wa familia moja, Makoye Kaboje, 42 (baba), Neema Kiwelu, 31 (mke) na watoto wao wawili (majina yapo) walikutwa wakilima shamba huku wakiwa watupu! Nyakati za saa 12 alfajiri katika shamba la familia huku wakiwa uchi. Bwana Makoye Kaboje, 42 akiwa na mkewe Neema Kiwelu, 31 baada ya kunaswa. Tukio hilo la aina yake lilijiri alfajiri ya saa 12, Septemba...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-2xjDsWd1Ulk/Uw3nACVvonI/AAAAAAAAGxE/JrWbDTdRPnM/s72-c/written-budget.jpg)
Kipindi cha familia kutoka Jamii Productuion...BAJETI KATIKA FAMILIA (Pt II)
![](http://4.bp.blogspot.com/-2xjDsWd1Ulk/Uw3nACVvonI/AAAAAAAAGxE/JrWbDTdRPnM/s1600/written-budget.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-oXuSRhFkZKg/VgYmTxTna4I/AAAAAAAAU_8/bg4zJrFA94w/s72-c/1.jpg)
WAFANYAKAZI WA MGODI WA BUZWAGI WASHEREKEA SIKU YA FAMILIA NA FAMILIA ZAO.
Mwaka huu wafanyakazi wa kampuni...
11 years ago
Tanzania Daima30 Jul
Mwanamke ajinyonga shambani Tabata
Mwanamke aliyefahamika kwa jina la Irene Ibrahim (22), mkazi wa Tabata Kisukuru manispaa ya Ilala, amefariki dunia baada ya kujinyonga. Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo, Kamanda wa Polisi Mkoa wa...
10 years ago
Mtanzania05 May
Mkulima aliwa na simba shambani kwake
NA AMINA OMARI, MKINGA
MKULIMA mmoja mkazi wa Kijiji cha Mlima kilichopo Kata ya Mwakijembe, wilayani Mkinga, Mkoa wa Tanga, Silyvester Msubari, amefariki dunia baada ya kuliwa na simba.
Mkuu wa Wilaya ya Mkinga, Mboni Mgaza, alisema jana kuwa mkulima huyo aliuawa juzi alfajiri wakati alipokuwa shambani kwake akilinda mazao yake yasiharibiwe na wanyama.
“Siku ya tukio, marehemu alikuwa shambani kwake akilinda mazao yake yasiharibiwe na wanyama.
“Wanyama hao wamekuwa wakizagaa mashambani kwa...
11 years ago
Mwananchi24 Feb
Mchungaji TAG akutwa amekufa shambani
10 years ago
Zitto Kabwe, MB22 Aug
Gesi si mwarobaini wa umasikini, kazi shambani
![Rais Kikwete na Waziri Muhongo Rais Kikwete na Waziri Muhongo](http://www.raiamwema.co.tz/sites/default/files/styles/medium/public/field/image/367_mwarobaini.jpg?itok=zSL-9PFw)
Angola, Equatorial...
11 years ago
Habarileo02 Jul
Nkwabi Ng’wanakilala azikwa shambani kwake
WANATAALUMA wa Tasnia ya Habari na wakazi wa jijini Dar es Salaam jana walijitokeza kwa wingi katika maziko ya nguli wa tasnia ya habari, Nkwabi Ng’wanakilala aliyezikwa shambani kwake Kibamba CCM katika Manispaa ya Kinondoni.
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-9p1rkQRYjs0/U4GkmOPLO0I/AAAAAAAFk2k/0XM3xhuF7JI/s72-c/unnamed+(20).jpg)
MAVUNO MAKUBWA YA MAHINDI SHAMBANI KWA MH. PINDA
![](http://4.bp.blogspot.com/-9p1rkQRYjs0/U4GkmOPLO0I/AAAAAAAFk2k/0XM3xhuF7JI/s1600/unnamed+(20).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-qLcbMWHAL0I/U4Gkmfwo4pI/AAAAAAAFk2o/Sa8nSzTZvKQ/s1600/unnamed+(21).jpg)
11 years ago
Habarileo28 Jun
Miche ya bangi shambani nusura impeleke jela
MKAZI wa Kijiji cha Mtapenda, John Kilula( 32) ameponea chupuchupu kwenda jela mwaka mmoja baada ya kulipa faini ya Sh 50,000.