Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


FAMILIA ILIVYOBAMBWA IKILIMA UTUPU SHAMBANI

Stori:  Haruni Sanchawa na Denis Mtima
MAAJABU ya mwaka! Watu wanne wa  familia moja, Makoye Kaboje, 42 (baba), Neema Kiwelu, 31 (mke) na watoto wao wawili (majina yapo) walikutwa wakilima shamba huku wakiwa watupu! Nyakati za saa 12 alfajiri katika shamba la familia huku wakiwa uchi. Bwana Makoye Kaboje, 42 akiwa na mkewe Neema Kiwelu, 31 baada ya kunaswa. Tukio hilo la aina yake lilijiri alfajiri ya saa 12, Septemba...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

Kipindi cha familia kutoka Jamii Productuion...BAJETI KATIKA FAMILIA (Pt II)

Photo credits: moneymanagement.org Karibu katika kipindi cha FAMILIA kutoka Jamii Production. Katika kipindi hiki, tumeingia katika sehemu ya pili ya mjadala kuhusu BAJETI KATIKA FAMILIA ambapo mbali na historia ya bajeti, pia tumesisitizwa kuhusu umuhimu wake, namna ya kulitekeleza na mengine mengi. Wachangiaji studio walikuwa ni Amos Cherehani ambaye ni mtaalamu wa masuala ya fedha, Denzel Musumba na Mubelwa Bandio KARIBU UUNGANE NASI

 

9 years ago

Michuzi

WAFANYAKAZI WA MGODI WA BUZWAGI WASHEREKEA SIKU YA FAMILIA NA FAMILIA ZAO.

Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii aliyekuwa Kahama.BUZWAGI imeanzisha mkakati wa kukuza na kuboresha hali ya utendaji kazi kwa wafanyakazi wake kwa kuanzisha utaratibu wa kuwakutanisha wafanyakazi wa mgodi huo na familia zao mara moja kwa mwaka katika siku maalumu ya familia ambayo hutoa fursa kwa familia za wafanyakazi wa mgodi huo kuweza kujionea namna ambavyo shughuli za uchimbaji wa madini hufanyika na hivyo kuwa mabalozi wazuri wa kampuni kwa ujumla.
Mwaka huu wafanyakazi wa kampuni...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mwanamke ajinyonga shambani Tabata

Mwanamke aliyefahamika kwa jina la Irene Ibrahim (22), mkazi wa Tabata Kisukuru manispaa ya Ilala, amefariki dunia baada ya kujinyonga. Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo, Kamanda wa Polisi Mkoa wa...

 

10 years ago

Mtanzania

Mkulima aliwa na simba shambani kwake

NA AMINA OMARI, MKINGA
MKULIMA mmoja mkazi wa Kijiji cha Mlima kilichopo Kata ya Mwakijembe, wilayani Mkinga, Mkoa wa Tanga, Silyvester Msubari, amefariki dunia baada ya kuliwa na simba.
Mkuu wa Wilaya ya Mkinga, Mboni Mgaza, alisema jana kuwa mkulima huyo aliuawa juzi alfajiri wakati alipokuwa shambani kwake akilinda mazao yake yasiharibiwe na wanyama.
“Siku ya tukio, marehemu alikuwa shambani kwake akilinda mazao yake yasiharibiwe na wanyama.
“Wanyama hao wamekuwa wakizagaa mashambani kwa...

 

11 years ago

Mwananchi

Mchungaji TAG akutwa amekufa shambani

Watu watatu akiwamo Mchungaji wa Kanisa la Tanzania Assemblies of God (TAG) na watoto wa miaka sita wamefariki dunia katika matukio tofauti yaliyotokea mkoani hapa siku mbili zilizopita.

 

10 years ago

Zitto Kabwe, MB

Gesi si mwarobaini wa umasikini, kazi shambani

Gesi si mwarobaini wa umasikini, kazi shambani Zitto Kabwe Toleo la 367  20 Aug 2014 Rais Kikwete na Waziri Muhongo TANZANIA kama ilivyo kwa Bara la Afrika ni miongoni mwa nchi zenye uchumi unaokua kwa kasi. Inakadiriwa kwamba kati ya mwaka 2012 mpaka 2017 katika nchi kumi zenye uchumi unaokua kwa kasi zaidi, sita zitakuwa zinatoka Bara la Afrika. Tanzania ni moja ya nchi hizo, nyingine ni Rwanda, Angola, Chad, Ethiopia na Equatorial Guinea.

Angola, Equatorial...

 

11 years ago

Habarileo

Nkwabi Ng’wanakilala azikwa shambani kwake

WANATAALUMA wa Tasnia ya Habari na wakazi wa jijini Dar es Salaam jana walijitokeza kwa wingi katika maziko ya nguli wa tasnia ya habari, Nkwabi Ng’wanakilala aliyezikwa shambani kwake Kibamba CCM katika Manispaa ya Kinondoni.

 

11 years ago

Michuzi

MAVUNO MAKUBWA YA MAHINDI SHAMBANI KWA MH. PINDA

Waziri Mkuu,Mizengo Pinda akikagua mavuno ya mahindi kutoka shambani kwake yaliyokusanywa nyumbani kwake Kibaoni wilayani Mlele, Mpanda Mei 24, 2014. Mheshimiwa Pinda anatarajia kuvuna zaidi ya magunia 1000 ingawa ekari tano za mahindi hayo ziliharibiwa na Tembo kutoka hifadhi ya Katavi. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

 

11 years ago

Habarileo

Miche ya bangi shambani nusura impeleke jela

MKAZI wa Kijiji cha Mtapenda, John Kilula( 32) ameponea chupuchupu kwenda jela mwaka mmoja baada ya kulipa faini ya Sh 50,000.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani