Miche ya bangi shambani nusura impeleke jela
MKAZI wa Kijiji cha Mtapenda, John Kilula( 32) ameponea chupuchupu kwenda jela mwaka mmoja baada ya kulipa faini ya Sh 50,000.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili09 Jan
Bangi yamtia jela mwanawe Jackie Chan
10 years ago
Habarileo05 Jul
Mwenyekiti atupwa jela kwa kulinda mkulima wa bangi
MAHAKAMA ya Wilaya ya Nkasi mkoani Rukwa imemhukumu Mwenyekiti wa Kijiji cha Mbende, Alei Charles (Chadema) kifungo cha miaka miwili jela baada ya kukiri kumlinda mshtakiwa Wenceslaus Namwanda “Pepea” anayemiliki shamba la bangi.
5 years ago
MichuziJE.WAJUA FAIDA ZA MICHE YA MCHIKICHI.
KIGOMA MA MAFUTA YA MAWESE;
Mafuta ya mawese ama palm oil yana faida nyingi tu kwa ajili ya ngozi yako Yanalainisha ngozi na kuiacha ikiwa na unyevu unyevu
Siku hizi sabuni, shampoo na mafuta mengi yanayotengenezwa viwandani yanakua yanatumiwa mafuta ya mawese kama malighafi ya kutengenezea. Hii ni kwa sababu ya ubora wake na suluhisho katika maswala yanayohusu ngozi.
Yana virutubisho vinavyoweza kuponesha ngozi iliyochomwa na jua na yenye michirizi Kama ilivyo kwa mafuta mengine halisi mafuta...
11 years ago
Tanzania Daima30 Jul
Mwanamke ajinyonga shambani Tabata
Mwanamke aliyefahamika kwa jina la Irene Ibrahim (22), mkazi wa Tabata Kisukuru manispaa ya Ilala, amefariki dunia baada ya kujinyonga. Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo, Kamanda wa Polisi Mkoa wa...
10 years ago
Habarileo31 Dec
Zanzibar kuotesha miche ya karafuu milioni 1
JUMLA ya mikarafuu milioni 1 inatazamiwa kuoteshwa kwa mwaka katika vitalu vya Serikali vya Idara ya Misitu na mali zisizorejesheka na kusambazwa bure kwa wakulima wa lengo la kuimarisha zao hilo kuendelea kuwa tegemeo la taifa.
11 years ago
Habarileo18 Apr
Miche 500,000 ya karafuu yapandwa
ZAIDI ya miche ya mikarafuu 500,000 imepandwa Unguja na Pemba katika kipindi cha mvua za masika, zinazoendelea kunyesha nchini kote.
11 years ago
Tanzania Daima17 Dec
DC ataka wakulima wauziwe miche ya kahawa
MKUU wa Wilaya ya Moshi, Dk. Ibrahim Msengi, ameiagiza Halmashauri ya Wilaya ya Moshi kutoza pesa kwa miche bora ya kahawa inayotolewa kwa wakulima wa zao hilo badala ya kugawa...
10 years ago
Mtanzania05 May
Mkulima aliwa na simba shambani kwake
NA AMINA OMARI, MKINGA
MKULIMA mmoja mkazi wa Kijiji cha Mlima kilichopo Kata ya Mwakijembe, wilayani Mkinga, Mkoa wa Tanga, Silyvester Msubari, amefariki dunia baada ya kuliwa na simba.
Mkuu wa Wilaya ya Mkinga, Mboni Mgaza, alisema jana kuwa mkulima huyo aliuawa juzi alfajiri wakati alipokuwa shambani kwake akilinda mazao yake yasiharibiwe na wanyama.
“Siku ya tukio, marehemu alikuwa shambani kwake akilinda mazao yake yasiharibiwe na wanyama.
“Wanyama hao wamekuwa wakizagaa mashambani kwa...
10 years ago
Zitto Kabwe, MB22 Aug
Gesi si mwarobaini wa umasikini, kazi shambani
![Rais Kikwete na Waziri Muhongo Rais Kikwete na Waziri Muhongo](http://www.raiamwema.co.tz/sites/default/files/styles/medium/public/field/image/367_mwarobaini.jpg?itok=zSL-9PFw)
Angola, Equatorial...