Familia yauawa kinyama
WATU watatu wa familia moja, akiwemo mwanafunzi wa sekondari, wameuawa kinyama kwa kukatwa mapanga shingoni na sehemu mbalimbali za miili yao na watu wasiojulikana. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Singida, Geofrey...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi26 Aug
Majambazi yauawa Mwanza
10 years ago
Vijimambo04 Aug
MAJAMBAZI 4 YAUAWA NA POLISI MBEYA YAKIJARIBU KUPORA DUKANI

Leo hii majira ya saa 11:30hrs majambazi 4 wote raia wa Zambia, wakiwa na silaha SMG na STERLING GUN walivamia mfanyabiashara mmoja dukani kwake Tunduma Wilaya ya Momba ambako, waendesha bodaboda wakiripoti tukio hilo u jambazi, bila kuchelewa wananchi kwa kushirikiana na Polisi walikwenda kupambana na majambazi hao (Live) na mapambano hayo yalidumu kwa zaidi masaa mawili na mwisho wa mapambano majambazi walizidiwa nguvu na waliokamatwa na bundiki zao mbaroni.

11 years ago
Michuzi
Kipindi cha familia kutoka Jamii Productuion...BAJETI KATIKA FAMILIA (Pt II)

10 years ago
Michuzi
WAFANYAKAZI WA MGODI WA BUZWAGI WASHEREKEA SIKU YA FAMILIA NA FAMILIA ZAO.
Mwaka huu wafanyakazi wa kampuni...
11 years ago
Mwananchi04 Jul
UKATILI: Auawa kinyama
11 years ago
Tanzania Daima21 Jan
Mwanamke auawa kinyama
MWANAMKE mmoja aliyefahamika kwa jina la Agnes Peter amefariki dunia baada ya kukatwa mapanga sehemu mbalimbali za mwili na watu wasiojulikana na kisha kuondoka na titi lake la kushoto. Kwa...
11 years ago
Tanzania Daima19 Dec
Mauaji ya kinyama tena
WAKATI kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), mkoani Mwanza, Clement Mabina akiua naye kuuawa na wananchi kutokana na mgogoro wa ardhi, watu wengine watatu wameuawa na polisi jana, huku kituo...
10 years ago
Mwananchi31 Dec
Dereva bodaboda auawa kinyama
11 years ago
Mtanzania20 Oct
Mama, watoto wachinjwa kinyama

Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini, IGP Mangu
Na Mwandishi Wetu, Nzega
WIMBI la mauaji ya kutisha limeendelea kutikisa nchini, baada ya watu wasiojulikana kuwaua mama na watoto wake wawili kwa kuwakatakata kwa mapanga usiku wa kuamkia juzi.
Tukio hilo la kusikitisha lilitokea katika Kijiji cha Nata wilayani Nzega mkoani Tabora.
Akizungumza na MTANZANIA jana, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tabora, Suzan Kaganda, aliwataja waliouawa kuwa ni mama Leticia Thomas, Marietha Nicolaus ambaye ni mwanafunzi wa...