Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


flashback: mpunga shurti uliwe kwa mikoni ati...



Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Hlai ya ati ati Sudan Kusini

Wanajeshi wa serikali ya rais Salva Kiir wanaendelea kuukaribia mji wa Bentiu unaodhibitiwa na waasi huku waasi wenyewe wakianza kuondoka eneo la makabiliano

 

11 years ago

GPL

PROINS KUSAKA VIPAJI MIKONI

Afisa masoko wa kampuni hiyo, Bw. Evans Steven akizungumza na waandishi wa habari juu ya kampeni hiyo. Kulia ni jaji wa mashindano hayo, Single Mtambalike ‘Richie’ na msemaji mkuu, Joshua Moshi. Richie akifafanua jambo kwa waandishi wa habari (hawapo pichani).…

 

10 years ago

Mwananchi

Neema kwa wakulima wa mpunga yanukia

Rais Jakaya Kikwete ameahidi kuwatafutia soko la uhakika wakulima wa mpunga, hatua ambayo itaambatana na kuanzishwa kwa hifadhi ya zao hilo katika Ghala la Taifa la Chakula, kama ilivyo kwa mahindi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Zawadi ya mpunga kwa ndovu Sri Lanka

Mzee mmoja nchini Sri Lanka amewakabidhi ndovu shamba la mpunga .Ndovu hao wanalindwa na watawa wa hekalu ya kibuddha.

 

11 years ago

GPL

MSASANI BONDE LA MPUNGA DAR YATISHA KWA UCHAFU

Biashara inaendelea licha ya  kuwepo dimbwi lenye maji taka katika moja ya mitaa ya Msasani. Eneo hili limegeuka dampo kwa wakazi wa Bonde la Mpunga Msasani.…

 

10 years ago

Mwananchi

Utafiti: Tanzania kinara wa kuzalisha mpunga A. Mashariki kwa asilimia 65

Licha ya taarifa mbalimbali kuonyesha kuwa zaidi ya asilimia 70 ya Watanzania wameajiriwa na sekta ya kilimo, hali ya sekta hiyo bado si ya kuvutia.

 

11 years ago

Michuzi

VIUMBE KUSAIDIANA NDIO WAJIBU ATI....

Kusaidina wakati wa shinda ndio kilimwengu ! Sisi sote ni viumbe wa mwenyezi Mungu , mfano hai wa kusaidiana ni huu pichani ! yaani mzee mzima ngamia akipewa Lift na Punda,chini ya usimamizi wa kiranja Binadamu ! Lakini msaada wa msafara huu mwisho wake !? sijui wapi? kama hospitalini ? au machinjioni ? aumzee ngamia anapelekwa kufunga ndoa harusini siri ya msaada wa msafara huu wanaujua ni wausika ! au pengine ndio mambo Eco-Transport ?

 

9 years ago

StarTV

Wakazi Chekimaji wailaumu halmashauri ya Hai kwa Uharibifu wa Mashamba Ya Mpunga

Wakazi wa Kijiji cha Chekimaji wilayani Hai mkoani Kilimanjaro wameulalamikia uongozi wa Halmashauri ya Wilaya hiyo kushindwa kuwashirikisha katika ujenzi wa mradi wa Barabara yenye urefu wa kilomita 30 inayojengwa kwa kiwango cha Moramu kwa gharama ya shilingi bilioni 1.4.

Malalamiko hayo yanakuja kutokana na uharibifu mkubwa wa mashamba ya Mpunga baada ya ujenzi wa barabara hiyo inayopita katikati ya mashamba hayo kuanza mara moja.

Katika mkutano maalumu uliowakutanisha wakulima wenye...

 

10 years ago

Bongo Movies

Hakika Familia ya Dr Cheni na Lulu ni Ndugu Ati!!!

Undugu sio lazima uwe wa damu tu, hata kushirikiana kwenye raha na tabu nao ni undugu tena huu ndio mimi naukubali zaidi.Sote tunajua na kutambua ni jinsi gani mwingizaji Mahsein Awadh “Dr Cheni “ alivyokuwa mstari wa mbele katika kipindi chote cha sekeseke la mwigizaji mwenzake Elizabeth Michael  “Lulu” ambae Dr Cheni amekuwa akimchukulia Lulu kama "mtoto" wake, hivyo hivyo Lulu amekuwa akimchukulia Dr Cheni kama "baba" na mtu wakaribu.

Sasa kilicho nifurahisha mimi kile ambacho familia ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani