Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


FoB wameamua kuwa sehemu ya tatizo

BABA yangu ni mmoja wa wajumbe ambao wanajiita FoB. Huu ni mtandao mpya unaoibuka, wa watu wenye ushawishi na maslahi katika Mkoa wa Kagera, ambao wanatumia mfumo wa kompyuta kuwasiliana...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Wasomi ni sehemu ya tatizo Tanzania

WASOMI vijana wanaozidi 10,000, juzi walijitokeza katika usaili ulioitishwa na Idara ya Uhamiaji iliyopo chini ya Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, kwa lengo la kuwania nafasi zipatazo 70,...

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

CUF yajisahau kuwa sehemu ya serikali

Mara baada ya matokeo ya uchaguzi2010 kwa pamoja tulishereheka, kwa mara ya mwanzo CUF itaingia katika serikali ya Umoja wa Kitaifa. Wako waliotarajia makubwa kwa kuwemo kwenye serikali, halkadhalika wako walioona kwamba nikupoteza. Nakumbuka iliwahi CUF […]

The post CUF yajisahau kuwa sehemu ya serikali appeared first on Mzalendo.net.

 

10 years ago

Habarileo

Kila wilaya Dar kuwa na sehemu ya uchafu

SERIKALI imetenga Sh bilioni 500 kwa ajili ya mradi wa kuondoa tatizo la uchafu na kulinda mazingira katika Mkoa wa Dar es Salaam.

 

10 years ago

Michuzi

JEMBE FM YAPANIA KUWA SEHEMU YA UCHANGIAJI KATIKA UKUAJI WA MAENDELEO YA JIJI LA MWANZA

Mkurugenzi wa Mtedaji wa Jembe ni Jembe ambaye ni mmiliki wa Jembe FM Radio, Dr. Sebastian Ndege, kwa mara ya kwanza hii leo amezungumza na wakazi wa mkoa wa Mwanza kupitia masafa mapya ya 93.7 Jembe FM kuwakaribisha kuwa sehemu ya familia ya redio hiyo sanjari na kuelezea mipango na mikakati ya kituo hicho. Dr. Ndege amesema kuwa Jembe FM imepania kuwa sehemu ya uchangiaji wa ukuaji wa maendeleo ya jiji la Mwanza lenye hazina za kitalii, uvuvi, madini na sekta mbalimbali za uchumi, viwanda...

 

10 years ago

Habarileo

Tatizo la umeme Dar kuwa historia

SHIRIKA la Umeme Tanzania (Tanesco) limesisitiza kwamba ifikapo Agosti mwakani, hakutakuwa na tatizo la umeme katika Jiji la Dar es Salaam. Pia, limesema taasisi ambazo zilikuwa miongoni mwa wadaiwa sugu, zimeendelea kulipa na kulifanya liendelee vizuri.

 

5 years ago

BBCSwahili

Dagmar alipiga fidla ili kuhakikisha kuwa sehemu muhimu ya ubongo wake haiharibiwi

Dagmar alipiga fidla ili kuhakikisha kuwa sehemu muhimu ya ubongo wake inayomuzesha kuchezesha mikono haiharibiwi

 

11 years ago

Tanzania Daima

Nani kawadanganya kuwa tatizo letu ni umri?

EBO! Hivi ninyi kwenu mnadhani ubaguzi ni ule wa rangi tu kule Afrika Kusini waliokuwa wakiupiga vita kina Mandela na wenzake eh? Nasema sasa kweli taifa linakaribia kusambaratika. Sijawahi kuona  kwenye...

 

5 years ago

Michuzi

TATIZO KATIKA MFUMO WA USAJILI KUWA HISTORIA

Afisa Mtendaji Mkuu wa Wakala ya Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA), Bw. Godfrey Nyaisa amesema kwamba matatizo yote katika Mfumo wa usajili kwa njia ya mtandao (ORS) sasa kuwa historia.

Hayo ameyabainisha wakati akijibu hoja za wafanyabiashara wa Mkoa wa Simiyu siku ya jana tarehe 25 Februari, 2020 katika kikao cha mashauriano kati ya serikali na Wafanyabiashara.

Akizungumza katika kikao hicho Bw. Nyaisa amebainisha kwamba, BRELA imechukua hatua za makusudi katika kutatua changamoto katika...

 

9 years ago

Dewji Blog

Tatizo la uhaba wa maji Wilayani Mkuranga kuwa historia

image_1

Mwakilishi wa Kampuni ya Uchimbaji wa Visima ya ZENTAS kutoka Uturuki nchini Tanzania Dkt, Mohammed Akbar akitoa taarifa za kukamilika kwa kazi ya uchimbaji wa kisima chenye urefu wa mita 541 eneo la Mkwalia, Mkuranga, Pwani leo.Kisima hicho kinauwezo wa kuzalisha maji lita milioni 1.8 kwa siku.

image_2

Maji kutoka katika kisima hicho yakitiririka kufuatia kufanyika kwa majaribio ya kuyatoa maji kutoka ardhini.

image_3

Kiongozi wa waendesha mitambo ya uchimbaji visima wa kampuni ya ZENTAS Bw. Sima Teodor...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani