FoB wameamua kuwa sehemu ya tatizo
BABA yangu ni mmoja wa wajumbe ambao wanajiita FoB. Huu ni mtandao mpya unaoibuka, wa watu wenye ushawishi na maslahi katika Mkoa wa Kagera, ambao wanatumia mfumo wa kompyuta kuwasiliana...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima15 Jun
Wasomi ni sehemu ya tatizo Tanzania
WASOMI vijana wanaozidi 10,000, juzi walijitokeza katika usaili ulioitishwa na Idara ya Uhamiaji iliyopo chini ya Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, kwa lengo la kuwania nafasi zipatazo 70,...
9 years ago
Mzalendo Zanzibar22 Oct
CUF yajisahau kuwa sehemu ya serikali
Mara baada ya matokeo ya uchaguzi2010 kwa pamoja tulishereheka, kwa mara ya mwanzo CUF itaingia katika serikali ya Umoja wa Kitaifa. Wako waliotarajia makubwa kwa kuwemo kwenye serikali, halkadhalika wako walioona kwamba nikupoteza. Nakumbuka iliwahi CUF […]
The post CUF yajisahau kuwa sehemu ya serikali appeared first on Mzalendo.net.
10 years ago
Habarileo04 Feb
Kila wilaya Dar kuwa na sehemu ya uchafu
SERIKALI imetenga Sh bilioni 500 kwa ajili ya mradi wa kuondoa tatizo la uchafu na kulinda mazingira katika Mkoa wa Dar es Salaam.
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Y9wxHMDzh44/VR7O_6c02lI/AAAAAAABMiM/uWKgogwMPEw/s72-c/0.1JEMBE6.jpg)
JEMBE FM YAPANIA KUWA SEHEMU YA UCHANGIAJI KATIKA UKUAJI WA MAENDELEO YA JIJI LA MWANZA
![](http://2.bp.blogspot.com/-Y9wxHMDzh44/VR7O_6c02lI/AAAAAAABMiM/uWKgogwMPEw/s1600/0.1JEMBE6.jpg)
10 years ago
Habarileo24 Sep
Tatizo la umeme Dar kuwa historia
SHIRIKA la Umeme Tanzania (Tanesco) limesisitiza kwamba ifikapo Agosti mwakani, hakutakuwa na tatizo la umeme katika Jiji la Dar es Salaam. Pia, limesema taasisi ambazo zilikuwa miongoni mwa wadaiwa sugu, zimeendelea kulipa na kulifanya liendelee vizuri.
5 years ago
BBCSwahili20 Feb
Dagmar alipiga fidla ili kuhakikisha kuwa sehemu muhimu ya ubongo wake haiharibiwi
11 years ago
Tanzania Daima12 Jul
Nani kawadanganya kuwa tatizo letu ni umri?
EBO! Hivi ninyi kwenu mnadhani ubaguzi ni ule wa rangi tu kule Afrika Kusini waliokuwa wakiupiga vita kina Mandela na wenzake eh? Nasema sasa kweli taifa linakaribia kusambaratika. Sijawahi kuona kwenye...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-5zKUvaXR0wI/XlaTDDg3I2I/AAAAAAALfmE/0usJyxAUoq8hO8DxH-43JnZnvdNy3UQZgCLcBGAsYHQ/s72-c/f42965bc-9e60-4caf-ad6e-0e6caa59cff2.jpg)
TATIZO KATIKA MFUMO WA USAJILI KUWA HISTORIA
![](https://1.bp.blogspot.com/-5zKUvaXR0wI/XlaTDDg3I2I/AAAAAAALfmE/0usJyxAUoq8hO8DxH-43JnZnvdNy3UQZgCLcBGAsYHQ/s400/f42965bc-9e60-4caf-ad6e-0e6caa59cff2.jpg)
Hayo ameyabainisha wakati akijibu hoja za wafanyabiashara wa Mkoa wa Simiyu siku ya jana tarehe 25 Februari, 2020 katika kikao cha mashauriano kati ya serikali na Wafanyabiashara.
Akizungumza katika kikao hicho Bw. Nyaisa amebainisha kwamba, BRELA imechukua hatua za makusudi katika kutatua changamoto katika...
9 years ago
Dewji Blog17 Sep
Tatizo la uhaba wa maji Wilayani Mkuranga kuwa historia
Mwakilishi wa Kampuni ya Uchimbaji wa Visima ya ZENTAS kutoka Uturuki nchini Tanzania Dkt, Mohammed Akbar akitoa taarifa za kukamilika kwa kazi ya uchimbaji wa kisima chenye urefu wa mita 541 eneo la Mkwalia, Mkuranga, Pwani leo.Kisima hicho kinauwezo wa kuzalisha maji lita milioni 1.8 kwa siku.
Maji kutoka katika kisima hicho yakitiririka kufuatia kufanyika kwa majaribio ya kuyatoa maji kutoka ardhini.