Kila wilaya Dar kuwa na sehemu ya uchafu
SERIKALI imetenga Sh bilioni 500 kwa ajili ya mradi wa kuondoa tatizo la uchafu na kulinda mazingira katika Mkoa wa Dar es Salaam.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog26 May
JK amemteua Bwana Anthony Mavunde kuwa Mkuu wa Wilaya ya Mpwapwa-Dodoma, ,afanya uhamisho wa wakuu 10 wa wilaya
10 years ago
VijimamboMKUU WA WILAYA YA KINONDONI, PAUL MAKONDA KUTUMIA SEHEMU YA MSHAHARA WAKE KUWALIPA WANASHERIA
Dotto Mwaibale
MKUU wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda amesema atachukua sehemu ya mshahara wake kwa ajili ya...
9 years ago
Mzalendo Zanzibar22 Oct
CUF yajisahau kuwa sehemu ya serikali
Mara baada ya matokeo ya uchaguzi2010 kwa pamoja tulishereheka, kwa mara ya mwanzo CUF itaingia katika serikali ya Umoja wa Kitaifa. Wako waliotarajia makubwa kwa kuwemo kwenye serikali, halkadhalika wako walioona kwamba nikupoteza. Nakumbuka iliwahi CUF […]
The post CUF yajisahau kuwa sehemu ya serikali appeared first on Mzalendo.net.
11 years ago
Tanzania Daima22 Jun
FoB wameamua kuwa sehemu ya tatizo
BABA yangu ni mmoja wa wajumbe ambao wanajiita FoB. Huu ni mtandao mpya unaoibuka, wa watu wenye ushawishi na maslahi katika Mkoa wa Kagera, ambao wanatumia mfumo wa kompyuta kuwasiliana...
11 years ago
Habarileo26 Jul
Uchafu wazagaa tena Dar es Salaam
TAKATAKA zimezidi kuzagaa katika jiji la Dar es Salaam na kuna maeneo ambako hazijazolewa kwa zaidi ya wiki mbili.
11 years ago
GPL10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-BdyZxE9hcZs/VOy4X8OmCjI/AAAAAAAHFoU/w9Kxkk_vbfU/s72-c/1.jpg)
JE, UNALIJUA HILI LA UCHAFU HAPA JIJINI DAR???
![](http://4.bp.blogspot.com/-BdyZxE9hcZs/VOy4X8OmCjI/AAAAAAAHFoU/w9Kxkk_vbfU/s1600/1.jpg)
‘Usilolijua ni sawa na usiku wa giza’ msemo huu una maana kwani kitu usichokijua huwezi ukajadili kutokana na kutokielewa.
Katika pitapita mitaani hasa katika maeneo ya masoko katika jiji la Dar es Salaam kuna mtu aliyejitambulisha kwa jina la Julius Methew alienileza kuwa hakuna sehemu yeyote katika nchi za Afrika ambayo takataka zake zinatoka mashambani na kupelekwa mijini isipokuwa Tanzania ambayo ameitaja kuwa ni nchi ya kwanza kwa Afrika inayopokea...
9 years ago
StarTV25 Sep
Samia ahidi kujenga hosptali kila wilaya
Chama cha MapinduziCCM kimesema iwapo wananchii watakichagua kuongoza katika kipindi cha awamu ya tano kitahakikisha Huduma za afya inimarishwa kikamilifu kwa kujenga hospital Kila wilaya,zahanati kila Kijiji pamoja na Kituo cha Afya kwa kila Kata.
Hayo yamesemwa na mgombea mwenza wa chama hicho Samia Suluhu Hassan wakati akimaliza ziara ya kampeni katika mkoa wa tanga ambapo amehitimisha na kuomba wananchii kukichagua chama hicho katika uchaguzi ujao.
Samia Suluhu amekuwa akisimamishwa...
10 years ago
Habarileo19 Dec
Mwanza yasambaza mbegu za pamba kila wilaya
UMLA ya tani 1,295.65 za mbegu za pamba zimesambazwa kwa wakulima wa pamba kwa wilaya zote za mkoa wa Mwanza ikiwa ni sawa na asilimia 65.27 ya mgawo kutoka Bodi ya Pamba (TCB).