JE, UNALIJUA HILI LA UCHAFU HAPA JIJINI DAR???
![](http://4.bp.blogspot.com/-BdyZxE9hcZs/VOy4X8OmCjI/AAAAAAAHFoU/w9Kxkk_vbfU/s72-c/1.jpg)
Na Chalila Kibuda ,Globu ya Jamii
‘Usilolijua ni sawa na usiku wa giza’ msemo huu una maana kwani kitu usichokijua huwezi ukajadili kutokana na kutokielewa.
Katika pitapita mitaani hasa katika maeneo ya masoko katika jiji la Dar es Salaam kuna mtu aliyejitambulisha kwa jina la Julius Methew alienileza kuwa hakuna sehemu yeyote katika nchi za Afrika ambayo takataka zake zinatoka mashambani na kupelekwa mijini isipokuwa Tanzania ambayo ameitaja kuwa ni nchi ya kwanza kwa Afrika inayopokea...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies30 Dec
Andiko Hili la Zamaradi Limewagusa Mastaa Wengi Hapa Bongo
JIFUNZE kutokumuona mtu WA AJABU kwasababu lake limeonekana tu WAZI.. jiulize una mangapi unayoyafanya KWA SIRI KUBWA ambayo yanaweza yakashangaza ulimwengu!??? Jibu unalo... mengi!! Ila unajiona msafi sababu tu halijawa dhahiri!! Hivyo usimuone yoyote wa ajabu kwa aliyoyafanya sababu hata wewe unayafanya katika style yako.. ila una uwezo wa KUJIKAUSHA kwenye kundi la watu na kumnyooshea mtu kidole sababu yake YAMEDHIHIRIKA WAZI!!! Jiulize vipi yako yakijulikana.. kwa uyafanyayo unahisi...
9 years ago
GPL![](http://1.bp.blogspot.com/-m20M6DdFqRM/Vep1qRKJLdI/AAAAAAAAyjo/tyx7TGraZeE/s640/3.jpg)
HAPA KAZI TU YA MAMA SAMIA YATIKISA MAJIMBO YA UBUNGO, KINONDONI NA KAWE JIJINI DAR ES SALAAM
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-ud8MRCNMXag/U2U8YaJrPGI/AAAAAAAFfOg/pwwnHR2nIbU/s72-c/IMG-20140503-WA0002.jpg)
FATILIA HAPA UTOAJI TUZO ZA KILI MUSIC LIVE KUTOKA MLIMANI CITY JIJINI DAR
![](http://1.bp.blogspot.com/-ud8MRCNMXag/U2U8YaJrPGI/AAAAAAAFfOg/pwwnHR2nIbU/s1600/IMG-20140503-WA0002.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-y-rwPub7mcc/U2VDiMbcSlI/AAAAAAAFfOw/7y9fKxBhl4Q/s1600/IMG-20140503-WA0004.jpg)
9 years ago
Bongo517 Sep
Madee kumrudisha shule tena Dogo Janja? Jibu hili hapa
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-keNbN9q_Oqk/VbdDfqyy4XI/AAAAAAAAtbI/cvfQ_IjXD3E/s72-c/lowassa_dom.jpg)
Mh. Edward Lowassa kuunguruma leo jijini Dar, Fatilia mkutunao huo kupitia hapa kuanzia saa 9 alasiri
![](http://3.bp.blogspot.com/-keNbN9q_Oqk/VbdDfqyy4XI/AAAAAAAAtbI/cvfQ_IjXD3E/s640/lowassa_dom.jpg)
9 years ago
Dewji Blog13 Nov
HAPA KAZI TU: Naibu Katibu Mkuu Mambo ya ndani ya Nchi atembelea makao makuu ya Idara ya uhamiaji Kurasini jijini Dar es Salaam!
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, John Mngodo (kushoto), akisalimiana na Kamishna wa Uhamiaji (Utawala na Fedha), Piniel Mgonja , wakati wa ziara ya kikazi Makao Makuu ya Uhamiaji,Kurasini jijini Dar es Salaam. Wa kwanza kushoto ni Kamishna Jenerali wa Uhamiaji, Sylvester Ambokile.
Kamishna Jenerali wa Uhamiaji, Sylvester Ambokile (kushoto), akimuonesha Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, John Mngodo, baadhi ya Ofisi za Idara ya Uhamiaji,...
11 years ago
Habarileo26 Jul
Uchafu wazagaa tena Dar es Salaam
TAKATAKA zimezidi kuzagaa katika jiji la Dar es Salaam na kuna maeneo ambako hazijazolewa kwa zaidi ya wiki mbili.
11 years ago
GPL