CUF yajisahau kuwa sehemu ya serikali
Mara baada ya matokeo ya uchaguzi2010 kwa pamoja tulishereheka, kwa mara ya mwanzo CUF itaingia katika serikali ya Umoja wa Kitaifa. Wako waliotarajia makubwa kwa kuwemo kwenye serikali, halkadhalika wako walioona kwamba nikupoteza. Nakumbuka iliwahi CUF […]
The post CUF yajisahau kuwa sehemu ya serikali appeared first on Mzalendo.net.
Mzalendo Zanzibar
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima22 Jun
FoB wameamua kuwa sehemu ya tatizo
BABA yangu ni mmoja wa wajumbe ambao wanajiita FoB. Huu ni mtandao mpya unaoibuka, wa watu wenye ushawishi na maslahi katika Mkoa wa Kagera, ambao wanatumia mfumo wa kompyuta kuwasiliana...
10 years ago
Habarileo04 Feb
Kila wilaya Dar kuwa na sehemu ya uchafu
SERIKALI imetenga Sh bilioni 500 kwa ajili ya mradi wa kuondoa tatizo la uchafu na kulinda mazingira katika Mkoa wa Dar es Salaam.
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Y9wxHMDzh44/VR7O_6c02lI/AAAAAAABMiM/uWKgogwMPEw/s72-c/0.1JEMBE6.jpg)
JEMBE FM YAPANIA KUWA SEHEMU YA UCHANGIAJI KATIKA UKUAJI WA MAENDELEO YA JIJI LA MWANZA
![](http://2.bp.blogspot.com/-Y9wxHMDzh44/VR7O_6c02lI/AAAAAAABMiM/uWKgogwMPEw/s1600/0.1JEMBE6.jpg)
5 years ago
BBCSwahili20 Feb
Dagmar alipiga fidla ili kuhakikisha kuwa sehemu muhimu ya ubongo wake haiharibiwi
11 years ago
Habarileo06 May
‘CUF hawaitaki Serikali ya Mapinduzi’
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais, Mahusiano na Uratibu, Stephen Wassira amesema viongozi wa Chama cha Wananchi (CUF) hawayatambui Mapinduzi ya Zanzibar ya mwaka 1964. Pia, amesema baadhi ya wajumbe wake, wanapinga Siku ya Mapinduzi, kutambuliwa katika kalenda za kitaifa nchini kote.
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-22Ku11mfSd8/U0t-aWzYvlI/AAAAAAAFaic/tqFw7sHWdnE/s72-c/UN2.jpg)
Watumishi wa Serikali na Mashirika ya Umma wafanya Tamasha la Michezo ikiwa ni sehemu ya Maadhimisho ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar
![](http://2.bp.blogspot.com/-22Ku11mfSd8/U0t-aWzYvlI/AAAAAAAFaic/tqFw7sHWdnE/s1600/UN2.jpg)
11 years ago
Dewji Blog06 Jun
Wananchi wengi wanaamini kuwa gesi imeleta neema nchini Tanzania, lakini wengi wana wasiwasi kuwa Serikali na matajiri watafaidika zaidi
Mabomba ya kusafirisha gesi kutoka Mtwara kwenda Dar es Salaam.
Wananchi wanne kati ya watano wanaamini kuwa mafuta na gesi yatawanufaisha wao, watoto wao na nchi yao kwa ujumla. Wakati huo huo, wananchi wanne kati ya kumi (37%) wanaamini kuwa viongozi wa Serikali na matajiri ndio wataofaidika zaidi. Pia, zaidi ya nusu (55%) wangependa baadhi ya mapato ya mafuta na gesi wapewe wananchi moja kwa moja kama fedha taslimu.
Matokeo haya yametolewa na Twaweza katika muhtasari wa utafiti wenye...
11 years ago
Mwananchi06 May
CUF: Wasiotaka Serikali ya Umoja wafukuzwe
10 years ago
Habarileo26 Feb
CUF yasisitiza Serikali ya Umoja wa Kitaifa Z’bar
CHAMA cha Wananchi (CUF) kimesema msimamo wake ni kuendelea kuwepo kwa Serikali ya Umoja wa Kitaifa Zanzibar, kiwe kimeingia madarakani au la.