Ghana yaichapa Algeria
Nahodha wa kikosi cha Ghana Asamoah Gyan alifunga bao la pekee na la ushindi katika dakika za mwisho na kufufua matumaini ya Ghana
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/80451000/jpg/_80451167_islam_slimani.jpg)
Ghana v Algeria
Preview followed by live coverage of Friday's Africa Cup of Nations game between Ghana and Algeria.
10 years ago
BBCSwahili28 Jan
AFCON: Ghana na Algeria yasonga mbele
Ghana na Algeria zimesonga mbele hatua ya robo fainali ya michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika kutoka kundi C.
10 years ago
Vijimambo28 Jan
AFCON: Ghana na Algeria zasonga mbele
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/660/amz/worldservice/live/assets/images/2014/06/30/140630051002_ghana_football_team_world_cup_624x351_afp.jpg)
Ghana na Algeria zimesonga mbele hatua ya robo fainali ya michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika kutoka kundi C.
Ghana imesonga mbele hatua hiyo baada ya kuibamiza Afrika Kusini Bafabana kwa jumla ya magoli mawili kwa moja.
Goli la kwanza la Ghana limefungwa na John Boye kabla ya lile lilolowavukisha Ghana kwenda hatua ya robo fainali lilil0tiwa wavuni na Andre Ayew katika dakika ya 83.
Goli pekee la Afrika Kusini limefungwa na Mandla Misango.
Nayo Algeria...
10 years ago
Mwananchi19 Jan
Ghana kwa Senegal, Algeria v Bafana
Bata, Equatorial Guinea. Ghana itakuwa ikisaka kuendeleza ubabe wake dhidi ya Senegal wakati Algeria wataonyeshana kazi na Afrika Kusini leo katika wa kwanza wa Kundi C.
10 years ago
Mwananchi29 Jan
Kundi la kifo lazibeba Ghana, Algeria Afcon
Algeria imetinga katika hatua ya robo fainali ya fainali za Mataifa ya Afrika kwa ushindi mnono wa mabao 2-0 dhidi ya Senegal katika mchezo wa mwisho wa Kundi C uliofanyika mjini Malabo juzi.
10 years ago
Vijimambo06 Feb
GHANA 3-0 EQUATORIAL GUINEA AFCON 2015 GHANA KUCHEZA NA IVORY COAST FINAL JUMAPILI.
![](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2015/02/05/255F825900000578-2941812-Ghana_players_celebrate_in_front_of_coach_Avram_Grant_en_route_t-a-58_1423173831453.jpg)
![](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2015/02/05/255FE1F400000578-2941812-PLayers_wait_on_the_pitch_as_a_helicopter_tries_to_control_an_ag-a-59_1423173831469.jpg)
![](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2015/02/05/255FDBF800000578-2941812-Ghana_players_are_shielded_by_riot_police_after_being_pelted_by_-a-60_1423173831479.jpg)
10 years ago
BBCSwahili24 Jun
Japan yaichapa Uholanzi
Timu ya taifa ya Japan imekua timu ya mwisho kufuzu kwa robo fainali katika michuano ya kombe la dunia la wanawake.
10 years ago
Vijimambo28 Sep
YANGA YAICHAPA 2-1 PRISONS
![](http://www.youngafricans.co.tz/images/stories/vplprsns.jpg)
Mabingwa mara 24 wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania bara timu ya Young Africans leo imeipata ushindi wake wa kwanza kwenye VPL baada ya kuichapa timu ya maafande wa jeshi la Magereza nchini Prisons kwa mabao 2- 0 kwenye dimba la Uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam.
Kikosi cha mbrazil Marcio Maximo kiliingia uwanjani kwa lengo la kusaka pointi muhimu kutokana na kuwa na kumbukumbu ya kupoteza mchezo wake wa ufunguzi dhidi ya...
9 years ago
BBCSwahili29 Aug
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania