Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ghana yaichapa Algeria

Nahodha wa kikosi cha Ghana Asamoah Gyan alifunga bao la pekee na la ushindi katika dakika za mwisho na kufufua matumaini ya Ghana

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBC

Ghana v Algeria

Preview followed by live coverage of Friday's Africa Cup of Nations game between Ghana and Algeria.

 

10 years ago

BBCSwahili

AFCON: Ghana na Algeria yasonga mbele

Ghana na Algeria zimesonga mbele hatua ya robo fainali ya michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika kutoka kundi C.

 

10 years ago

Vijimambo

AFCON: Ghana na Algeria zasonga mbele

Timu ya Taifa ya Ghana "Black Stars"
Ghana na Algeria zimesonga mbele hatua ya robo fainali ya michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika kutoka kundi C.

Ghana imesonga mbele hatua hiyo baada ya kuibamiza Afrika Kusini Bafabana kwa jumla ya magoli mawili kwa moja.

Goli la kwanza la Ghana limefungwa na John Boye kabla ya lile lilolowavukisha Ghana kwenda hatua ya robo fainali lilil0tiwa wavuni na Andre Ayew katika dakika ya 83.

Goli pekee la Afrika Kusini limefungwa na Mandla Misango.

Nayo Algeria...

 

10 years ago

Mwananchi

Ghana kwa Senegal, Algeria v Bafana

Bata, Equatorial Guinea. Ghana itakuwa ikisaka kuendeleza ubabe wake dhidi ya Senegal wakati Algeria wataonyeshana kazi na Afrika Kusini leo katika wa kwanza wa Kundi C.

 

10 years ago

Mwananchi

Kundi la kifo lazibeba Ghana, Algeria Afcon

Algeria imetinga katika hatua ya robo fainali ya fainali za Mataifa ya Afrika kwa ushindi mnono wa mabao 2-0 dhidi ya Senegal katika mchezo wa mwisho wa Kundi C uliofanyika mjini Malabo juzi.

 

10 years ago

Vijimambo

GHANA 3-0 EQUATORIAL GUINEA AFCON 2015 GHANA KUCHEZA NA IVORY COAST FINAL JUMAPILI.

 wachezaji wa Ghana  wakishangilia ushindi na kutinga fainali baada ya kuwakunja wenyewe Equatorial Guinea 3-0  kwaiyo sasa  Ghana kukutana na Ivory Coast tarehe 8 kwenye fainali. Baada ya kipenga cha mwisho wenyewe wa mashindano hayo ya AFCON walikuwa wamekubali kipigo cha magoli matatu ndipo washabiki walivyoanzisha timbwili hili uwanjani hapo.Hali ilionekana siyo shwari toka kipindi cha kwanza pale Ghana walivyo pewa penati ya mapema hii hapa ilikuwa baada ya dk 45 za kwanza washabiki...

 

10 years ago

BBCSwahili

Japan yaichapa Uholanzi

Timu ya taifa ya Japan imekua timu ya mwisho kufuzu kwa robo fainali katika michuano ya kombe la dunia la wanawake.

 

10 years ago

Vijimambo

YANGA YAICHAPA 2-1 PRISONS

Kikosi cha Young Africans kilichoanza leo dhidi ya Tanzania Prisons
Mabingwa mara 24 wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania bara timu ya Young Africans leo imeipata ushindi wake wa kwanza kwenye VPL baada ya kuichapa timu ya maafande wa jeshi la Magereza nchini Prisons kwa mabao 2- 0 kwenye dimba la Uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam.
Kikosi cha mbrazil Marcio Maximo kiliingia uwanjani kwa lengo la kusaka pointi muhimu kutokana na kuwa na kumbukumbu ya kupoteza mchezo wake wa ufunguzi dhidi ya...

 

9 years ago

BBCSwahili

Arsenal yaichapa Newcastle 1 - 0

Arsenal yaichapa Newcastle 1 - 0

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani