Ghana:Mgomo wa madaktari wamaliza wiki 3
Nchini Ghana madaktari wamekuwa katika mgomo wa tangu wiki 3 zilizopita. Hospitali ya mjini Kumasi, mojawapo ya hospitali kuu nchini Ghana sasa imekuwa kama mahame, wengi wa wagonjwa wakilazimika kurudi makwao.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog09 Dec
Watanzania wamaliza ziara ya mafunzo Ghana
Meneja wa Radio Kahama FM, Marco Mipawa akikwea pipa mara baada ya ziara ya Mafunzo ya waandishi na viongozi wa vyombo tisa vya habari kutoka Tanzania nchini Ghana.
Na Mwandishi wetu
Ziara ya Mafunzo ya waandishi na viongozi wa vyombo tisa vya habari kutoka Tanzania nchini Ghana, imekuwa ya mafanikio makubwa kufutia timu hiyo kujionea mambo mbalimbali ya muhimu katika uboreshaji wa sekta ya habari nchini.
Meneja wa Radio Kahama FM Marco Mipawa amevifahamisha vyombo vya habari nchini kwamba,...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/saEvSFZMI0n6n8FizQD2LWX87LjmhOC0d*dkfc34E4StjMCD0GRHrUuHFQzpBMTlbuF-K1UJfvVBmaNVcml-6a0TMGv7wl4C/dnkisumulaunch0512c.jpg?width=640)
MGOMO WA MADAKTARI KENYA WAKITHIRI
11 years ago
Michuzi23 Jun
MFUKO WA PSPF WAMALIZA WIKI YA UTUMISHI KWA MAFANIKIO MAKUBWA
10 years ago
Mwananchi30 Apr
Serikali yaipa Taboa wiki mbili, mgomo wasitishwa rasmi
9 years ago
MichuziTIMU YA MADAKTARI BINGWA KUTOKA NCHINI CHINA WAKISHIRIKIANA NA MADAKTARI WA ZANZIBAR WATOA HUDUMA ZA KIJAMII KATIKA KIJIJI CHA KISAUNI ZANZIBAR
10 years ago
Vijimambo06 Feb
GHANA 3-0 EQUATORIAL GUINEA AFCON 2015 GHANA KUCHEZA NA IVORY COAST FINAL JUMAPILI.
![](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2015/02/05/255F825900000578-2941812-Ghana_players_celebrate_in_front_of_coach_Avram_Grant_en_route_t-a-58_1423173831453.jpg)
![](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2015/02/05/255FE1F400000578-2941812-PLayers_wait_on_the_pitch_as_a_helicopter_tries_to_control_an_ag-a-59_1423173831469.jpg)
![](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2015/02/05/255FDBF800000578-2941812-Ghana_players_are_shielded_by_riot_police_after_being_pelted_by_-a-60_1423173831479.jpg)
10 years ago
Mtanzania23 Mar
Kikwete, Kenyata wamaliza mgogoro
NAIROBI, KENYA
RAIS wa Kenya, Uhuru Kenyatta na Rais Jakaya Kikwete wamekubaliana magari ya Tanzania yaruhusiwe kuingia Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Jomo Kenyata na safari za ndege za Shrika la Ndege la Kenya (Kenya Airways) ziruhusiwe ziendelee na safari zake kama kawaida nchini Tanzania.
Katibu Mkuu wa Mambo ya Nje wa Kenya, Amina Mohammed, alisema uamuzi huo ulifikiwa jana katika mkutano kati ya Rais Jakaya Kikwete na Uhuru Kenyatta mjini Windhoek Namibia, katika sherehe za maadhimisho...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jIhV2tSCZFWYyCm22M2n93Gv1dZ7fVaVXBHENoswy8vW7rQpTzWupmO3fHGjHgO0LW*-zOvHFmYT5d8muxGMvjR0P2TkxoSD/MADEE.jpg)
MADEE, NAY WAMALIZA BIFU
10 years ago
Habarileo12 Jul
Wazee wamaliza msuguano CCM
BARAZA la Ushauri la Chama Cha Mapinduzi (CCM), lenye wajumbe wazee wenye uzoefu, jana lilizima hoja kinzani ndani ya kikao cha Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC), ambazo zilikuwa zinataka kurejeshwa kwa jina la Edward Lowassa katika kuwania uteuzi wa urais.