Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ghana:Mgomo wa madaktari wamaliza wiki 3

Nchini Ghana madaktari wamekuwa katika mgomo wa tangu wiki 3 zilizopita. Hospitali ya mjini Kumasi, mojawapo ya hospitali kuu nchini Ghana sasa imekuwa kama mahame, wengi wa wagonjwa wakilazimika kurudi makwao.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Watanzania wamaliza ziara ya mafunzo Ghana

SAFARI YA GHANA

Meneja wa Radio Kahama FM, Marco Mipawa akikwea pipa mara baada ya ziara ya Mafunzo ya waandishi na viongozi wa vyombo tisa vya habari kutoka Tanzania nchini Ghana.

Na Mwandishi wetu

Ziara ya Mafunzo ya waandishi na viongozi wa vyombo tisa vya habari kutoka Tanzania nchini Ghana, imekuwa ya mafanikio makubwa kufutia timu hiyo kujionea mambo mbalimbali ya muhimu katika uboreshaji wa sekta ya habari nchini.

Meneja wa Radio Kahama FM Marco Mipawa amevifahamisha vyombo vya habari nchini kwamba,...

 

11 years ago

GPL

MGOMO WA MADAKTARI KENYA WAKITHIRI

Maafisa wa afya wanaowakilisha madaktari na wauguzi wamesisitiza kuwa hawatasitisha mgomo wao hadi serikali itakapotimiza matakwa yao. Hii ni licha ya mahakama kutoa agizo kwa madaktari hao kusitisha mgomo wao ifikapo tarehe 24 Disemba.Lakini wamesema kuwa wako tayari kuendelea na mazungumzo na serikali kutafuta kusuluhisha kwa mgomo huo unaohusu wao kupokea mishahara yao kutoka kwa serikali za majimbo wala sio serikali kuu....

 

11 years ago

Michuzi

MFUKO WA PSPF WAMALIZA WIKI YA UTUMISHI KWA MAFANIKIO MAKUBWA

Ofisa masoko wa mfuko wa pesheni kwa watumishi wa umma'PSPF' Bi, Rahma Ngassa kulia akimkaribishakatibu Mkuu Kiongozi  Balozi Ombeni Sefue katika banda la PSPF wakati wa maonesho ya wiki ya utumishi wa Umma yaliyomalizika jumatatu ya wiki hii Add caption Ofisa uhendeshaji wa mfuko wa pesheni kwa watumishi wa umma 'PSPF' Bw, Mohamed Masoud kulia akimpatia mahelezo katibu Mkuu Kiongozi  Balozi Ombeni Sefue alipotembeleabanda la PSPF wakati wa maonesho ya wiki ya utumishi wa Umma...

 

10 years ago

Mwananchi

Serikali yaipa Taboa wiki mbili, mgomo wasitishwa rasmi

Dar es Salaam. Serikali imewapa Wamiliki wa Mabasi (Taboa) wiki mbili za kutafakari namna gani watapata hasara, iwapo watatumia nauli mpya zilizopendekezwa na Mamlaka ya Udhibiti na Usimamizi wa Usafiri wa Nchikavu na Majini (Sumatra).

 

9 years ago

Michuzi

TIMU YA MADAKTARI BINGWA KUTOKA NCHINI CHINA WAKISHIRIKIANA NA MADAKTARI WA ZANZIBAR WATOA HUDUMA ZA KIJAMII KATIKA KIJIJI CHA KISAUNI ZANZIBAR

  Dokta Gao Yun Lai akimpima presha na sukari bwana Mohd Ali mkazi wa Kisauni upimaji huo ulifanyika katika kijiji  cha kisauni Zanzibar.   Dokta Fadhil Mohd ambae ni dokta dhamana kanda ya Unguja akitoa maelezo kwa waandishi wa habari hawapo pichani.Wananchi mbalimbali wakipatawa  huduma za matibabu katika kijiji cha Kisauni zanzibar.Picha na Abdalla Omar habari maelezo zanzibar.

 

10 years ago

Vijimambo

GHANA 3-0 EQUATORIAL GUINEA AFCON 2015 GHANA KUCHEZA NA IVORY COAST FINAL JUMAPILI.

 wachezaji wa Ghana  wakishangilia ushindi na kutinga fainali baada ya kuwakunja wenyewe Equatorial Guinea 3-0  kwaiyo sasa  Ghana kukutana na Ivory Coast tarehe 8 kwenye fainali. Baada ya kipenga cha mwisho wenyewe wa mashindano hayo ya AFCON walikuwa wamekubali kipigo cha magoli matatu ndipo washabiki walivyoanzisha timbwili hili uwanjani hapo.Hali ilionekana siyo shwari toka kipindi cha kwanza pale Ghana walivyo pewa penati ya mapema hii hapa ilikuwa baada ya dk 45 za kwanza washabiki...

 

10 years ago

Mtanzania

Kikwete, Kenyata wamaliza mgogoro

Kikwete na Uhuru KenyattaNAIROBI, KENYA
RAIS wa Kenya, Uhuru Kenyatta na Rais Jakaya Kikwete wamekubaliana magari ya Tanzania yaruhusiwe kuingia Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Jomo Kenyata na safari za ndege za Shrika la Ndege la Kenya (Kenya Airways) ziruhusiwe ziendelee na safari zake kama kawaida nchini Tanzania.
Katibu Mkuu wa Mambo ya Nje wa Kenya, Amina Mohammed, alisema uamuzi huo ulifikiwa jana katika mkutano kati ya Rais Jakaya Kikwete na Uhuru Kenyatta mjini Windhoek Namibia, katika sherehe za maadhimisho...

 

10 years ago

GPL

MADEE, NAY WAMALIZA BIFU

Na Musa Mateja WASANII waliokuwa wakipigania cheo cha urais wa Manzese, Hamad Ally ‘Madee’, na Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’, hatimaye wamemaliza tofauti zao baada ya kudumu kwenye bifu kwa muda mrefu. Mkali wa Bongo fleva,Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’. Ishu hiyo imejidhihirisha kwenye mbio za Serengeti Fiesta 2013, ambapo muda mwingi wamekuwa wakishirikiana kwenye kazi zao za...

 

10 years ago

Habarileo

Wazee wamaliza msuguano CCM

Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete (kushoto) alipoingia ukumbi wa White House, Makao Makuu ya CCM mjini Dodoma jana kuongoza kikao cha Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM. Waliosimama mbele ni wajumbe waalikwa wa kikao hicho kutoka Baraza la Ushauri la Wazee, Marais wastaafu Ali Hassan Mwinyi na Benjamin Mkapa na wengine ni Makamu Wenyeviti wastaafu wa CCM, John Malecela, Pius Msekwa na Amani Abeid Karume. (Picha na Bashir Nkoromo). BARAZA la Ushauri la Chama Cha Mapinduzi (CCM), lenye wajumbe wazee wenye uzoefu, jana lilizima hoja kinzani ndani ya kikao cha Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC), ambazo zilikuwa zinataka kurejeshwa kwa jina la Edward Lowassa katika kuwania uteuzi wa urais.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani