Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Hamad: Kura mbili zimetokana na mimi

>Ushindi wa kura mbili za wajumbe wa Zanzibar ambao uliwezesha kupita kwa Katiba inayopendekezwa, umeelezwa kuwa ulitokana na ushawishi mkubwa wa mjumbe Hamad Rashid Mohamed.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo Movies

Vijimambo: Ray Weka Milioni Moja, Mimi Naweka Mbili-JB

Kuelekea mpambano  wa watani wa jadi katika mchezo wa mpira wa miguu hapa nchini, mchezo kati ya Simba na Yanga ambao utafanyika hapo kesho kwenye uwanja wa taifa jiji Dar, Staa wa Bongo Movies, Jacob Stephen ‘JB’ ambae ni mshabiki “kindakindaki” wa timu ya Simba amemtaka Staa mwenzake Vicent Kigosi ‘Ray’  ambae ni shabiki wa Yanga, aweke dau shilingi milioni moja kama alivyofanya mchezo uliopita na yeye JB ataweka milioni mbili, kama Yanga ikishinda Ray atachukua mzigo na kama Simba...

 

9 years ago

MillardAyo

Mimi leo nimedata na hizi nyumba mbili tu… kuanzia sebuleni mpaka vyumbani! ( picha )

Kama kwa wengine wanaodata wakiona magari makali au vitu vingine vya dunia, na mtu wako wa nguvu anadata akiona nyumba kali au zilizojengwa kimpangilio….. leo nimekutana nazo hizi nikasema niwaonyeshe na watu wangu tupate ari zaidi ya kuzisaka noti ili tujenge za kwetu nzuri hata kama hatutafikia hizi. HII HAPA CHINI NI NYUMBA NYINGINE Unataka […]

The post Mimi leo nimedata na hizi nyumba mbili tu… kuanzia sebuleni mpaka vyumbani! ( picha ) appeared first on TZA_MillardAyo.

 

10 years ago

Michuzi

KINANA ALAKIWA KWA SHANGWE MTWARA VIJIJINI, ATOA HESHIMA KWENYE MNARA WA SHUJAA HAMAD MZEE ALIYETUNGUA NDEGE MBILI ZA KIRENO KATIKA VITA VYA UKOMBOZI WA MSUMBIJI

 Wananachi wakimkaribisha Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana alipowasili Wilaya ya Mtwara Vijijini, wakati wa ziara yake ya kuimarisha uhai wa chama na kukagua miradi ya maendeleo inayotekelezwa kwa kufuata Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2010 pamoja na kusikiliza kero za wananchi na kuzitafutia ufumbuzi. 

 Kinana akizungumza wakati wa mapokezi katika Kijiji cha Kibaoni, Mtwara Vijijini leo.
 Kinana akihutubia katika mkutano uliofanyika Katika Kijiji cha Nanguruwe, Wilaya Mtwara...

 

11 years ago

Habarileo

Kura theluthi mbili zakwamisha Kamati

Mwenyekiti wa Kamati Namba Kumi, Anna AbdallahHATUA ya kufanya uamuzi wa kupitisha vifungu vya rasimu ya Katiba mpya katika ngazi ya kamati za Bunge, ilifikiwa jana huku changamoto ya kutopatikana kwa theluthi mbili ya kura kutoka Tanzania Bara na Zanzibar, ikijitokeza katika kamati nyingi.

 

10 years ago

Mwananchi

Kura mbili zapitisha Rasimu ya Katiba inayopendekezwa

>Licha ya upinzani kutoka makundi kadhaa ya wananchi, Bunge la Katiba jana lilihitimisha kazi yake kwa kupitisha Katiba inayopendekezwa baada ya kupata theluthi mbili za wajumbe wa kila upande wa Muungano.

 

11 years ago

Mwananchi

Kamati ya Vuai yakosa theluthi mbili ya kura

>Kamati namba mbili ya Bunge Maalum la Katiba imekosa theluthi mbili katika ibara 19 na 22 zinaohusiana na maadili na miiko ya uongozi na utumishi wa umma.

 

9 years ago

Raia Mwema

Ningekuwa mimi mgombea, ningewalipia wote nauli na posho ili waweze kwenda kupiga kura

Kwa Waziri wa Mikiki na Makeke,
Uzitoni Street,
Bongo.

Hidaya

 

10 years ago

Mwananchi

Watu 100 matatani kujiandikisha mara mbili kupiga kura

>Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), imesema inakusudia kuwafikisha mahakamani wananchi zaidi ya 100 wa Mkoa wa Njombe kwa madai ya kujiandikisha zaidi ya mara moja kwenye Daftari la Kudumu la Wapigakura.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani