H&M yaajiri mwanamitindo wa kwanza Muislamu
Kampuni ya kuuza nguo za kifahari ya H&M imetumia picha za mwanamitindo wa kwanza Muislamu aliyevalia hijab
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog04 Feb
Benki ya I&M yazindua huduma ya kwanza ya mfumo wa Kielektroniki ya masaa 24 jijini Dar
Mkurugenzi Mkuu wa Benki ya I&M, Anurag Doreha (kushoto) akiongea na wadau wa benki hiyo hawapo pichani wakati wa uzinduzi wa tawi na mfumo mpya wa kielektroniki uliovumbuliwa na Smart Banking Solutions Ltd ambapo mteja anaweza kuweka na kutoa pesa sambamba na kupata huduma nyingine za kibenki kama kubadilisha fedha za kigeni kwa kutumia mashine za kielektroniki masaa 24 ya siku.Hafla hiyo ilifanyika Viva Tower-Posta jijini Dar es Salaam, Kulia ni Meneja wa I&M wa tawi hilo Bi. Shabina...
11 years ago
Tanzania Daima25 Jun
Kampuni yaajiri vijana Mtwara
KAMPUNI ya Supply Base Solutions Ltd (SBS) inayokusanya taka za baharini zinazosababishwa na uchimbaji wa gesi na mafuta mkoani Mtwara, imetoa kipaumbele cha ajira kwa wakazi waishio jirani na kampuni...
11 years ago
Tanzania Daima06 Jan
TCAA yaajiri wakaguzi wa marubani
KATIKA kukabiliana na uhaba wa wakaguzi wa marubani wa ndege, Mamlaka ya Usafiri wa Anga (TCAA) imeajiri wataalamu watatu wa kada hiyo kwa mwaka 2013. Akizungumza na Tanzania Daima juzi,...
10 years ago
Habarileo18 Dec
Star Media yaajiri mamia ya wazawa
KAMPUNI ya Star Media Tanzania imesema itaendelea kuwa mstari wa mbele kuhakikisha inatoa fursa za ajira mbalimbali nchini, ambapo tangu kuanzishwa kwake 2010 tayari ina wafanyakazi 300 kipaumbele kikiwa kwa wazawa.
9 years ago
Habarileo30 Oct
Serikali yaajiri 588 kukabili ujangili
WIZARA ya Maliasili na Utalii imetoa ajira mpya kwa watumishi wapya wapatao 588 ikiwa idadi kubwa miongoni mwao ni watumishi wa kada ya Ofisa Wanyamapori na Wahifadhi Wanyamapori, lengo likiwa ni kukabiliana na mashambulio mengi kutoka kwa majangili.
10 years ago
Mwananchi15 Jun
Azam TV yabadili habari, yaajiri watangazaji wapya
10 years ago
BBCSwahili02 Jun
Muislamu wa US ashinda kesi ya Hijab
10 years ago
MichuziBENKI YA I&M YAZINDUA HUDUMA YA KWANZA YA MFUMO WA KIELEKTRONIKI YA MASAA 24 KATIKA JENGO LA VIVA TOWERS, JIJINI DAR
10 years ago
Vijimambo11 Jan
Shujaa Muislamu katika shambulizi Paris
![](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2015/01/10/249152F500000578-2903829-image-a-3_1420913373319.jpg)
Mamia ya wanajeshi wanashika zamu mjini Paris baada ya siku tatu za ugaidi zilizouwa watu 17, huku taarifa zikitokeza kuhusu jinsi mfanyakazi Muislamu wa supermarket ya Wayahudi mjini Paris alivyowaficha wateja 15 pamoja na mtoto mchanga wa mwezi mmoja wakati duka hilo liliposhambuliwa na gaidi.
Aliwaficha wateja kwenye chumba cha barafu.Lassana Bathily, kijana wa asili ya Mali, aliiambia televisheni ya Ufaransa kuwa aliwaongoza wateja waliokuwa wamebabaika, hadi chumba cha...