Hata Kinana anaishangaa Serikali ya chama chake
Mbishi ni mdadisi. Ni mtu anayechokonoa watu wanaojua jambo ili wamulike kwa hoja zilizokwenda shule, kwa lugha au mifano kuntu isiyotatanisha – anajadili na anafanya ushindani.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-bcWEEQgJnOI/VMknda7u6uI/AAAAAAAAWT8/gx_1tLVhgIY/s72-c/1.jpg)
KINANA AZUNGUMUZA NA WAJUMBE WA HALMASHAURI KUU YA CCM WILAYA YA CHAKE CHAKE PEMBA
![](http://4.bp.blogspot.com/-bcWEEQgJnOI/VMknda7u6uI/AAAAAAAAWT8/gx_1tLVhgIY/s1600/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-nMYSdrbRnvs/VMknsEnPYhI/AAAAAAAAWUM/1uFFufLRtf0/s1600/3.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-VoWV2zf8E2U/VMkn07RhRtI/AAAAAAAAWUU/nmEEhIe8pRA/s1600/4.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-B5_P4nkpW1E/VMkn7MduU4I/AAAAAAAAWUc/pkjNZVjFtWk/s1600/6.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-gtIiLE8MvJQ/VMkYUhAk_VI/AAAAAAACy2E/yo-lITmyoaI/s72-c/7.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM NDUGU KINANA AENDELEA NA ZIARA YAKE NDANI YA CHAKE CHAKE MKOA WA KUSINI PEMBA LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-gtIiLE8MvJQ/VMkYUhAk_VI/AAAAAAACy2E/yo-lITmyoaI/s1600/7.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-K4OxcKKgUO0/VMkYVBgw-WI/AAAAAAACy2M/D_tRHXuPWNY/s1600/8.jpg)
9 years ago
Mzalendo Zanzibar30 Sep
Magufuli anakimbia chama chake au chama kinamkimbia ?
KATIKA mazingira ya ukinzani wa kisiasa, kila unapotokea uchaguzi, ukweli huwa unatumika kwa nadra sana, na kila upande unaohusika katika ukinzani huo hujijengea dhana yake ya hicho unachokiita ukweli, lakini ambacho kinaweza kuwa mbali kabisa na […]
The post Magufuli anakimbia chama chake au chama kinamkimbia ? appeared first on Mzalendo.net.
9 years ago
Raia Mwema30 Sep
Magufuli anakikimbia chama chake au chama kinamkimbia?
KATIKA mazingira ya ukinzani wa kisiasa, kila unapotokea uchaguzi, ukweli huwa unatumika kwa nadr
Jenerali Ulimwengu
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Aku_9jGbS9Y/U4edo3anQ8I/AAAAAAACid4/7nw9Ok4wBU0/s72-c/6.jpg)
KINANA AKERWA NA UPORAJI WA MAENEO YA WANANCHI KUTOKA KWA BAADHI YA VIONGOZI WA CHAMA NA SERIKALI WILAYANI BABATI VIJIJINI
![](http://2.bp.blogspot.com/-Aku_9jGbS9Y/U4edo3anQ8I/AAAAAAACid4/7nw9Ok4wBU0/s1600/6.jpg)
10 years ago
Mtanzania15 Aug
Shibuda kuanzisha chama chake
![Mbunge wa Maswa Magharibi, John Shibuda](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/08/John-Shibuda.jpg)
Mbunge wa Maswa Magharibi, John Shibuda
Fredy Azzah na Esther Mbussi, Dodoma
MBUNGE wa Maswa Magharibi, John Shibuda, amesema anajipanga kuanzisha chama chake au kuhamia chama mbadala ili kuwatumikia wananchi wa Maswa kisiasa baada ya kuondoka Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema).
Amesema anawaomba radhi wananchi wa jimbo lake kwa kuinadi na kuwaletea Chadema kama chama mbadala kumbe ni bati lililotoboka na kupakwa rangi na wakati huo huo wakamfanya mgambo wakati yeye alitoka Chama...
9 years ago
Mwananchi12 Nov
Mgombea ubunge adaiwa kumshambulia ofisa wa chama chake
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/U9cJ436L1ldAlo9OzSGZ7mZTSZz*V-PGueCBIaGi0XB2RPUIwduJIezCBq7fJgLVcOKybl59g5ZcWs7Ni3QgO9F*Y4Xc6BfC/Lipumba.gif?width=650)
PROF. LIPUMBA AMECHOSHWA NA UKAWA AU CHAMA CHAKE CHA CUF?
9 years ago
Dewji Blog26 Oct
Mgombea urais ACT atambia Sera za chama chake kushinda uchaguzi mkuu
Mgombea urais wa ACT-Wazalendo, Anna Mughwira, akizungumza na waandishi wa habari jana muda mfupi baada ya kupiga kura ya kuchagua Rais, Mbunge na Diwani kwenye kituo cha kupigia kura cha shule ya msingi Kibaoni mjini Singida.Mughwira amesema kwa ujumla zoezi la uchaguzi katika halmashauri ya manispaa ya Singida,limeenda vizuri kwa amani na utulivu mkubwa.(Picha na Nathaniel Limu).
Na Nathaniel Limu, Singida
MGOMBEA urais kupitia tiketi ya ACT-Wazalendo, Anna Mughwira,amesema endapo wapiga...