Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


HIVI NI SALAMA KUMPAKIA MTOTO KWENYE PIKIPIKI NAMNA HII??

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

MAKALA YA SHERIA: KUTOTOA MATUNZO YA MTOTO NI KOSA LA JINAI, HII NI NAMNA YA KUCHUKUA HATUA

Na  Bashir  Yakub.
Kumekuwa  na  shida  sana  hasa  kwa  upande  wa  wanaume  kuwatelekeza  watoto. Mara  nyingi  wanaume  ndio   hutelekeza  watoto  kuliko  wanawake. Zipo  baadhi  ya  kesi  zimeripotiwa  zikihusisha  wanawake  kuwatelekeza  watoto   lakini hizi  si  nyingi  kama  ilivyo  kwa  wanaume. Hii  ni kwasababu  uwezekano  wa  mwanaume  kumkimbia  mtoto  ni  mwepesi  kuliko mwanamke  kumkimbia  mtoto/watoto.  Jambo  hili  ni  baya  na  limeshakemewa  na  sheria  mbalimbali.  Nataka...

 

11 years ago

Michuzi

MTOTO WA KIKE ABURUZWA NA BABA YAKE MTAA MZIMA KWENYE PIKIPIKI KWA KUTOKWENDA SHULE


Mtoto Anastazia Jumanne akiwa amefungwa  mikono yake kwenye pikipiki kwa mpira
Na Valence Robert-Geita
Mtoto Anastazia Jumanne (12) ambaye ni mwanafunzi wa shule ya msingi katika wilaya na mkoa wa Geita amefanyiwa ukatili wa kutisha baada kufungwa mpira kwenye pikipiki na baba yake mzazi na kisha kuanza kumburuza mtaani. Tukio hilo la kusikitisha limetokea jana majira ya sa tatu asubuhi katika moja ya mitaa ya mjini humo ambapo inadaiwa kuwa binti huyo anayesoma darasa la nne katika shule...

 

5 years ago

Michuzi

SUKOS YAWAPIGA MSASA MADELEVA WA PIKIPIKI NAMNA YA KUJIKINGA CORONA

Mkurugenzi Mendaji wa Tasisi ya SUKOS, Suleiman Kova (kulia) (Kamandamstaafu wa Jeshi la Polisi) akipima kiwango cha joto katika jitihada za kukabiliana na kirusi cha Corona. naempima ni Mratibu wa Afya ya Jamii Mkoa wa Dar es Salaam,Agnes Mgaya katika semina elekezi dhidi ya mampambano ya ungonjwa corona madeleva wa pikipiki leo jijini Dar es Salaam.Mkurugenzi Mendaji wa Tasisi ya SUKOS, Suleiman Kova (kulia) (Kamanda mstaafu wa Jeshi la Polisi) akizungumza na waaandi wa habari katika...

 

11 years ago

Mwananchi

Namna ya kuishi na mtoto mwenye vvu-1

Wiki iliyopita tuliona uchunguzi na matibabu kwa mtoto mwenye virusi vya Ukimwi, leo tunaendelea na mada hiyo na tutaangalia jinsi ya kuishi na mtoto wa mwenye VVU.

 

10 years ago

Mwananchi

Namna ya kumsaidia mgumba kupata mtoto

Mimi ni mwanaume wa miaka 62 ni mmoja wa waathirika wa tatizo la ugumba, kwa muda mrefu nimekuwa nikihangaikia bila mafanikio kutatua tatizo hili.

 

10 years ago

Michuzi

MAKALA YA SHERIA: JE UMENYANYASWA NA MWAJIRI, HII NI NAMNA YA KUMFUNGULIA MASHTAKA

NA  BASHIR  YAKUB
Makuzi ya biashara hasa biashara za kimataifa yameleteza utitiri wa makampuni. Karibia kila biashara kubwa au ya kati  kwa sasa  hufanywa na makampuni. Baadhi ya ndani na mengine  ya nje. 
 Hatua hii njema kwa kiasi  fulani imeongeza  ajira  japo ajira zenyewe hazina vigezo vya kuitwa ajira. Yatosha ziitwe kazi tu. Ajira hizi ambazo nyingi  ni za umanamba zimekuwa  zikifanywa na wazawa.  Upande mmoja zimekuwa neema na upande mwingine zimekuwa laana. 
Ni neema kwakuwa baadhi...

 

11 years ago

Michuzi

TFF INAWACHUKULIA HATUA GANI KWA WATU WA NAMNA HII.

 Pichani juu ni baadhi ya wadau wa Soka waliokutwa hivi karibuni wakijisaidia kwenye masinki ya kunawia mikono kama waonekanavyo pichani. Hapa baada ya kumaliza shughuli yao haoo wakaondoka,je wahusika wanalichukuliaje jambo hili lisilo la kiungwana kabisa ndani ya uwanja wa wetu wa mpira,ambao umejengwa kwa gharama kubwa,lakini kuna baadhi ya watu kama hawa wamekuwa wakiharibu maeneo na vifaa mbalimbali ya uwanja huo ikiwemo na kugeuza matumizi yake.
Ni mimi Mdau wa Soka la Bongo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani