Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Huge reception expected for Lowassa in Mbeya today

Chadema presidential candidate Edward Lowassa who is also supported by opposition political parties forming the Coalition of Defenders of the People’s Constitution (Ukawa) is expected to be introduced to his supporters here today in the evening.

TheCitizen

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Trendinindia

Nokia 8.2, Nokia 5.3, Nokia 1.3 Expected to Launch Today: How to Watch Live Stream, Expected Price, Speci...

Nokia 8.2, Nokia 5.3, Nokia 1.3 Expected to Launch Today: How to Watch Live Stream, Expected Price, Speci...  TrendinindiaHMD unveils Nokia 8.3 5G with Snapdragon 765G, ZEISS quad camera - GSMArena.com news  GSMArena.comNokia reboots the 5310, but this isn't the 'Original' we were hoping for  TechRadar IndiaHMD, maker of Nokia phones, plans to launch a global data-roaming SIM card  Android PoliceNokia announces the Nokia 5.3 and Nokia 1.3 - GSMArena.com news  GSMArena.comView Full coverage...

 

5 years ago

Gadgets 360

Realme X50 Pro 5G to Launch in India Today: Expected Price, Specifications, How to Watch Live Stream

Realme X50 Pro 5G to Launch in India Today: Expected Price, Specifications, How to Watch Live Stream  Gadgets 360Realme X50 Pro 5G debuts with SD865, 65W charging and six cameras - GSMArena.com news  GSMArena.comHands-on: The Realme X50 Pro 5G is 2020's first flagship killer  Android AuthorityRealme X50 Pro 5G with 90Hz display, SD865, 65W fast charge launched for Rs. 37,999 (~$528) in India  gizmochinaWatch the Realme X50 Pro 5G announcement live here - GSMArena.com news  GSMArena.comView...

 

9 years ago

Vijimambo

9 years ago

Mtanzania

Lowassa aliteka jiji la Mbeya

OTH_6174FREDY AZZAH, MBEYA

MGOMBEA Urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), anayeungwa mkono na Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Edward Lowassa, amelifunga jiji la Mbeya kwa mapokezi na kuomba kura akisema hana mchezo na kazi.

Pia, ameendelea kuwasisitizia wananchi, umuhimu wa kulinda kura zao baada ya kupiga hadi kitakapoeleweka.

Lowassa aliyasema hayo jana kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika katika Viwanja vya Ruanda Nzovwe vilivyopo jijini hapa.

“Wana Mbeya, kuna rafiki yangu...

 

9 years ago

Mtanzania

Lowassa aaga Mwanza, kutikisa Mbeya

OTH_9895Na Fredy Azzah, Mwanza

ZIKIWA zimebaki siku nane kuanzia sasa kabla ya kufanyika Uchaguzi Mkuu, mgombea urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edward Lowassa, amemaliza mikutano yake ya kampeni katika mikoa ya Kanda ya Ziwa kwa kuwasisitiza wanachama wake kuhakikisha wanalinda kura zao.

Baada ya kumaliza ziara zake katika kanda hiyo, Lowassa, anayeungwa mkono na vyama vya siasa vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), leo anatarajia kuanza mikutano mkoani Mbeya.

Mkoa...

 

10 years ago

Raia Mwema

Mbeya wajikata baada ya Lowassa kukatwa

HATUA ya Chama cha Mapinduzi (CCM) kuwaengua wanachama wake walioaminika kuteuliwa na chama hicho

Mwandishi Wetu

 

9 years ago

Vijimambo

LOWASSA AFUNIKA KYELA MKOANI MBEYA

  Mgombea Urais wa Tanzania kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kupitia mwamvuli wa UKAWA, Mh. Edward Lowassa, akihutubia wananchi wa Kyela Mkoani Mbeya katika Mkutano wa Kampeni uliofanyika jumatatu  tarehe 19/10/2015 
 Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo, Mh. Freeman Mbowe, akihutubia wananchi katika Mkutano wa hadhara wa Kampeni za Mgombea Urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kupitia mwamvuli wa UKAWA, Mh. Edward Lowassa wananchi wa Kyela...

 

10 years ago

Mtanzania

Mbowe kumtambulisha Lowassa Mbeya kesho

lowassa na mboweNA SHABANI MATUTU, DAR ES SALAAM

MWENYEKITI wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, ameruhusiwa kutoka Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) kitengo cha moyo alipokuwa amelazwa kwa saa 48.

Kutokana na afya yake kuimarika, kiongozi huyo wa upinzani kesho anatarajiwa kushiriki katika mkutano wa kumtambulisha mgombea urais wa chama hicho, Edward Lowassa, utakaofanyika jijini Mbeya.

Mbowe aliyehudumiwa na jopo la madaktari nane baada ya kushindwa kuhitimisha maandamano ya...

 

10 years ago

Daily News

Grand reception for Magufuli in Zanzibar


Grand reception for Magufuli in Zanzibar
Daily News
DESCRIBED in Zanzibar as 'a man of action', Dr John Pombe Magufuli was on day accorded a grand reception as he landed in the Islands for the first time since he was endorsed by Chama Cha Mapinduzi (CCM) as its presidential candidate for the October ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani