Huge reception expected for Lowassa in Mbeya today
Chadema presidential candidate Edward Lowassa who is also supported by opposition political parties forming the Coalition of Defenders of the People’s Constitution (Ukawa) is expected to be introduced to his supporters here today in the evening.
TheCitizen
Habari Zinazoendana
5 years ago
Trendinindia19 Mar
Nokia 8.2, Nokia 5.3, Nokia 1.3 Expected to Launch Today: How to Watch Live Stream, Expected Price, Speci...
5 years ago
Gadgets 36024 Feb
Realme X50 Pro 5G to Launch in India Today: Expected Price, Specifications, How to Watch Live Stream
9 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/5Dd7eWBhALE/default.jpg)
9 years ago
Mtanzania19 Oct
Lowassa aliteka jiji la Mbeya
FREDY AZZAH, MBEYA
MGOMBEA Urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), anayeungwa mkono na Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Edward Lowassa, amelifunga jiji la Mbeya kwa mapokezi na kuomba kura akisema hana mchezo na kazi.
Pia, ameendelea kuwasisitizia wananchi, umuhimu wa kulinda kura zao baada ya kupiga hadi kitakapoeleweka.
Lowassa aliyasema hayo jana kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika katika Viwanja vya Ruanda Nzovwe vilivyopo jijini hapa.
“Wana Mbeya, kuna rafiki yangu...
9 years ago
Mtanzania17 Oct
Lowassa aaga Mwanza, kutikisa Mbeya
Na Fredy Azzah, Mwanza
ZIKIWA zimebaki siku nane kuanzia sasa kabla ya kufanyika Uchaguzi Mkuu, mgombea urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edward Lowassa, amemaliza mikutano yake ya kampeni katika mikoa ya Kanda ya Ziwa kwa kuwasisitiza wanachama wake kuhakikisha wanalinda kura zao.
Baada ya kumaliza ziara zake katika kanda hiyo, Lowassa, anayeungwa mkono na vyama vya siasa vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), leo anatarajia kuanza mikutano mkoani Mbeya.
Mkoa...
10 years ago
Raia Mwema22 Jul
Mbeya wajikata baada ya Lowassa kukatwa
HATUA ya Chama cha Mapinduzi (CCM) kuwaengua wanachama wake walioaminika kuteuliwa na chama hicho
Mwandishi Wetu
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-bemXipCgV34/ViUpWjoB0NI/AAAAAAABXtI/n9tZtC7pYso/s72-c/1.jpg)
LOWASSA AFUNIKA KYELA MKOANI MBEYA
![](http://3.bp.blogspot.com/-bemXipCgV34/ViUpWjoB0NI/AAAAAAABXtI/n9tZtC7pYso/s640/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-EQHfGiAtr7E/ViUpViaDguI/AAAAAAABXs4/GPcmBrncVpk/s640/002.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Q-tpQJFp0zo/ViUpVnXOziI/AAAAAAABXs0/9n4Vy4uXavs/s640/02.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-s4mabfVeaAw/ViUpZHJK4YI/AAAAAAABXtY/neaU2_Bg_cY/s640/3.jpg)
10 years ago
Mtanzania13 Aug
Mbowe kumtambulisha Lowassa Mbeya kesho
NA SHABANI MATUTU, DAR ES SALAAM
MWENYEKITI wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, ameruhusiwa kutoka Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) kitengo cha moyo alipokuwa amelazwa kwa saa 48.
Kutokana na afya yake kuimarika, kiongozi huyo wa upinzani kesho anatarajiwa kushiriki katika mkutano wa kumtambulisha mgombea urais wa chama hicho, Edward Lowassa, utakaofanyika jijini Mbeya.
Mbowe aliyehudumiwa na jopo la madaktari nane baada ya kushindwa kuhitimisha maandamano ya...
10 years ago
Daily News17 Jul
Grand reception for Magufuli in Zanzibar
Daily News
DESCRIBED in Zanzibar as 'a man of action', Dr John Pombe Magufuli was on day accorded a grand reception as he landed in the Islands for the first time since he was endorsed by Chama Cha Mapinduzi (CCM) as its presidential candidate for the October ...