Hukumu ya Mbunge wa Bahi Aprili 29
HUKUMU ya kesi ya kuomba na kupokea rushwa inayomkabili Mbunge wa Bahi (CCM), Omary Badwel inatarajia kutolewa Aprili 29, mwaka huu katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
StarTV30 Mar
Hukumu ya Badweli kutolewa Aprili 29.
Na Josephine Mwaiswaga,
Dar es Salaam.
Mahakama ya Kisutu jijini Dar es Salaam itatoa hukumu ya Kesi ya rushwa inayomkabili Mbunge wa Jimbo la Bahi mkoani Dodoma Omary Badweli Aprili 29, mwaka huu.
Badwel anakabiliwa na shitaka la rushwa ambalo anadaiwa kutenda kati ya Mei 30 na Juni 2, 2012, katika maeneo tofauti mkoani Dar es Salaam ambapo alishawishi apewe rushwa ya Shilingi Milioni 1 kutoka kwa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mkuranga Sipora Liana.
Kesi hiyo ambayo imedumu...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/UQSvRDwuxJKJug9BgEIlvGu2aLy3g5nQdmCkbUg16B9dg5xZC-G3XZwtPn9hrPwqDktprRj0JiGMeQCRndlCt3ZLc60r6l88/Nayi.jpg?width=650)
HUKUMU DNA MTOTO WA NAY APRILI 8
11 years ago
Habarileo13 May
Ombi la Mbunge wa Bahi latupwa
MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imetupilia mbali ombi la Mbunge Bahi, Omary Badwell (CCM), la kusitishwa kuendelea kusikilizwa kwa kesi ya kuomba na kupokea rushwa ya Sh milioni nane inayomkabili.
11 years ago
MichuziMUENDELEZO WA KESI YA MBUNGE WA BAHI, BADWEL
Uamuzi huo ulitolewa jana na Hakimu Mkazi Mkuu, Mhe. Hellen Riwa, kwamba kesi ya jinai inayomkabili Badwel haina uhusiano na kesi ya...
11 years ago
Habarileo06 May
Kesi ya Mbunge wa Bahi yapigwa kalenda
UAMUZI wa ombi la Mbunge wa Bahi, Omary Badwell (CCM), kwamba usikilizwaji wa kesi inayomkabili ya kuomba na kupokea rushwa ya Sh milioni nane usitishwe, utatolewa Mei 12 mwaka huu.
11 years ago
Tanzania Daima09 Jul
Betty Mkwasa amvaa mbunge Bahi
MKUU wa Wilaya ya Bahi mkoani Dodoma, Betty Mkwasa, amemlalamikia Mbunge wa Bahi, Omar Badwel (CCM), kwa kuwahamasisha wananchi kuharibu mazingira ikiwa ni pamoja na kufyeka msitu wa hifadhi ya taifa...
11 years ago
Mwananchi12 Feb
Mbunge wa Bahi katika kashfa ya Mfuko wa Jimbo
10 years ago
Habarileo30 Oct
Hukumu kesi ya kutishia kumuua Mbunge
HUKUMU ya kesi inayomkabili Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Wanging’ombe, Anthony Mahwata ya kutishia kumuua kwa maneno Mbunge wa zamani wa Jimbo la Njombe Magharibi, Yono Kevela imepangwa kuwa Novemba 27, mwaka huu.
10 years ago
Dewji Blog12 Mar
Ziara ya Kinana wilayani Bahi
![](http://3.bp.blogspot.com/-ORsmQ-Sw3uc/VP-lGwLE6RI/AAAAAAAAX1M/yS1bOL6ubKY/s1600/2.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akipata mapokezi makubwa mara baada ya kuwasili katika wilaya ya Bahi.
Katibu Mkuu yupo kwenye ziara ya kujenga na kukiimarisha Chama mkoani Dodoma pamoja na kukagua na kuhimiza utekelezaji wa ilayni ya uchaguzi ya CCM ya mwaka 2010.
![](http://1.bp.blogspot.com/-ZD1FNjUEk20/VP-lcUaeW0I/AAAAAAAAX1c/etw6vE10AVg/s1600/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-CATpZUPGaS8/VP-llmVTH5I/AAAAAAAAX3Q/fbu0jcrZddI/s1600/3.jpg)
Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Dodoma Mheshimiwa Adam Kimbisa akihutubia wananchi wa kijiji cha Nguji kabla ya kumkaribisha Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana kusalimia na kushiriki uchimbaji mitaro ya...