Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


HUSNA MAULIDI AKANYAGA SKENDO YA WIZI

Stori: Gladness Mallya na Hamida Hassan
Miss Sinza aliyeshiriki Miss Tanzania 2011, Husna Maulid amekanyaga skendo ya wizi baada ya kudaiwa kuwahi ‘kumdokolea’ aliyekuwa mpenzi wake, Mwani Rajabu ‘Mkongo’. Miss Sinza aliyeshiriki Miss Tanzania 2011, Husna Maulid. Chanzo kilichoomba hifadhi ya jina lake kilidai kuwa, kutokana na tabia hiyo Husna alitoswa na mpenzi wake huyo ambaye ni raia wa...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

MAULIDI MUBARAK YAFANA DMV


Keki ya Maulid iliyofanyika DMV siku ya Jumapili Feb 16, 2014 katika viwanja vya Park ya Wheaton, Maryland nchini Marekani na kuhudhuriwa na Watanzania wa DMV wakiwemo marafiki zao.
Kama kawaida maulid iliaanza kwa sala ya Magharib Watanzania DMV wa dini ya Kislam wakijumuika pamoja kuadhimisha siku ya Maulid Mubarak iliyofanyika Jumapili Feb 16, 2014 katika viwanja vya park vilivyopo Wheaton, Maryland. Watanzania wa DMV wakijumuika pamoja kwenye Maulid iliyofanyika Wheaton, Maryland siku...

 

11 years ago

GPL

MAULIDI YA KUZALIWA BWANA MTUME (S.A.W.) ZANZIBAR

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Sheikh Sherali Champsi Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi ya Maulidi ya kuzaliwa Bwana Mtume (S.A.W.)  katika viwanja vya Mnazi Mmoja Mjini Unguja  palipofanyika Maulid hayo. Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) akiwa na Viongozi wengine (kutoka kushoto) Makamu wa Rais wa Jamhuri ya...

 

11 years ago

GPL

MAULIDI MUBARAK YAFANA DMV‏


Keki ya Maulid iliyofanyika DMV siku ya Jumapili Feb 16, 2014 katika viwanja vya Park ya Wheaton, Maryland nchini Marekani na kuhudhuriwa na Watanzania wa DMV wakiwemo marafiki zao. Kama kawaida maulid iliaanza kwa sala ya Magharib Watanzania DMV wa dini ya Kislam wakijumuika pamoja kuadhimisha siku ya Maulid Mubarak iliyofanyika Jumapili Feb 16, 2014 katika viwanja vya park vilivyopo Wheaton, Maryland.…
...

 

9 years ago

Dewji Blog

Maulidi ya Mfungo Sitta Muembetanga yafana

Angalia taswira za Maulid ya Mtume Muhammad Salallahu Alayhi Wasalam, yalioandaliwa na wazee pamoja na vijana wa Muembetanga Siku ya Jumatatu Jan 4 ,2016 (Kwa Karagosi) Zanzibar.

  

Wasomaji wa Maulidi  ya Mtume Muhammad Salallahu Alayhi Wasalam, yaliosomwa Muembetanga Siku ya Jumatatu Jan 4 ,2016 (Kwa Karagosi) Zanzibar.

Wageni waalikwa mbali mbali wakiwa katika Maulid ya Mtume Muhammad Salallahu Alayhi Wasalam, yalioandaliwa na wazee pamoja na vijana wa Muembetanga Siku ya Jumatatu...

 

10 years ago

GPL

HUSNA MAULID YAMKUTA!

Shani Ramadhan na Imelda Mtema
MSHIRIKI wa shindano la Miss Tanzania 2011/2012, Husna Maulid yamemkuta ya mwaka, kwa kudaiwa kutolewa vitu vyake nje na mwenye nyumba baada ya kushindwa kulipa kodi, huko Shekilango jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki iliyopita, zoezi lililosimamiwa na mabaunsa. MSHIRIKI wa shindano la Miss Tanzania 2011/2012, Husna Maulid. Chanzo cha kuaminika kililiambia gazeti hili kuwa mrembo huyo alikuwa...

 

11 years ago

GPL

LULU, HUSNA WATAKA KUZICHAPA

Na Shakoor Jongo MASTAA wa kike wanaotingisha Bongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ (pichani)  na Husna Maulid, ilibaki kidogo wazichape, Amani lina mchapo mzima. Diva wa sinema za Kibongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ Kabla ya tukio hilo, awali wawili hao waliwahi kuingia kwenye bifu baada ya kudaiwa walikuwa wanamgombea pedeshee mmoja wa mjini, kila mmoja akijipa uhalali wa kumilikiwa.
Tukio hilo bichi...

 

10 years ago

GPL

HUSNA MAULID AFUKUZWA MSIBANI

Aliyekuwa mshiriki wa Miss Tanzania 2011, Husna Maulid. Imelda mtema
ALIYEKUWA mshiriki wa Miss Tanzania 2011, Husna Maulid hivi karibuni amedaiwa kufukuzwa kwenye msiba mmoja maeneo ya Mbezi mara baada ya kuonekana akijipiga picha (selfie) na kujichukua video akiwa ghorofani. Kwa mujibu wa chanzo chetu, siku ya tukio, Husna akiwa msibani hapo, kwa sababu anazozijua mwenyewe, alipanda ghorofani kwenye nyumba hiyo yenye msiba na...

 

10 years ago

GPL

HUSNA MAULED LIVE KITANDANI

Stori: Gladness Mallya
KABAANG! Miss Sinza 2001 na aliyekuwa pia mshiriki wa Miss Tanzania 2011, Husna Maulid amenaswa akiwa kimalovee laivu kitandani na modo maarufu Bongo aliyejulikana kwa jina moja la Calisa. Miss Sinza 2001, Husna Maulid akila ujana na modo maarufu Bongo anayejulikana kwa jina moja la Calisa.…

 

11 years ago

GPL

WOLPER, HUSNA WAMGOMBEA MKONGO

Stori: Shakoor Jongo
KUCHAMBANA, kutoleana lugha chafu ndiyo ishu iliyopo kwa sasa kati ya nyota wa filamu za Bongo, Jacqueline Wolper na mshiriki wa Miss Tanzania mwaka 2011 iliyomtoa mlimbwende Salha Israel, Husna Maulid kufuatia madai kwamba, wanamgombea mwanamume Mkongo aliyejulikana kwa jina moja la Mwami. Nyota wa filamu za Bongo, Jacqueline Wolper katika pozi. Kwa mujibu wa chanzo chetu, Husna ndiye aliyeanza kuwa na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani