Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ICTR yatajwa kutoa mchango mkubwa wa kuwakamata wahusika  wa kimbari

Wakati Mahakama ya Kimataifa ya Mauaji ya Kimbari ya Rwanda (ICTR) ikimaliza muda wake Nchini,Jaji Mkuu wa Tanzania Mheshimiwa Chande Othamn, amesema chombo hicho kimekuwa na mchango mkubwa wa kuainisha sheria, kwa kuwakamata na kuwafungulia mashtaka wale waliohusika na mauaji hayo.

Jaji Mkuu Chande Othman aliyekuwa amehudhuria zoezi la kuhitimishwa kwa Mahakama ya ICTR Jijini Arusha, amesema kwa miaka 21 mahakama hiyo imechangia kuwashtaki na kuwahukumu viongozi wakuu wa Serikali,vyama vy...

StarTV

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Mahakama ya Umoja wa Mataifa inayoshughulikia Maiuaji ya Kimbari nchini Rwanda (UN-ICTR) Yaadhimisha Miaka 20

Mahakama ya Umoja wa Mataifa inayoshughulikia mauaji ya Kimbari ya nchini Rwanda mwaka 1994 juzi iliadhimisha miaka 20 tokea ianzishwe. Maadhimisho hayo yalihusisha maonyesho ya kazi zake pamoja na mikutano. Siku ya mwisho Makamu wa Rais wa Tanzania Dr. Mohamed Gharib Bilal alikuwa mgeni wa heshima. Mhakama hiyo inamaliza kazi zake mwakani. Chini hapo ni baadhi ya picha za shughuli hiyo.  Mpiganaji Danford Mpumilwa, ambaye ni Afisa Habari wa Mahakama hiyo akisoma hotuba ya Wafanyakazi wa...

 

10 years ago

Michuzi

Mahakama ya Umoja wa Mataifa ya Mauaji ya Kimbari ya Rwanda (UN-ICTR) Yatoa Msaada wa Kompyuta Arusha

Mahakama ya Umoja wa Mataifa ya Mauaji ya Kimbari ya Rwanda (UN-ICTR) leo imetoa msaada wa Kompyuta 22, Monitor 154 na Printers 66 kwa mashule, vyuo, vituo vya afya, mashirika yasiyo ya serikali na taasisi zakidini na kijamii pamoja na idara za serikali katika jitihada zake za kusaidia jumuiya ya Kitanzania ambayo imeweza kuilea mahakama hiyo nchini kwa miaka karibu 20 sasa. 
Ofisi ya ya Mkuu wa Mkoa yenyewe iliongezewa gari moja la deraya na ulinzi. Makabidhiano hayo yalifanya mjini Arusha...

 

10 years ago

Michuzi

Mahakama ya Umoja wa Mataifa ya Mauaji ya Kimbari ya Rwanda (UN-ICTR) yatoa gari kwa jeshi la magereza arusha

 Mahakama ya Umoja wa Mataifa ya Mauaji ya Kimbari ya Rwanda (UN-ICTR) imetoa msaada wa gari lililoimarishwa kiusalama - amored vehicle - linaloonekana nyuma kwa Idara ya Magereza nchini kwenye sherehe fupi iliyofanyika mjini Arusha. Akikabidhi gari hilo Mkugenzi wa Idara ya Utawala wa ICTR Dr. Saraha Kilemi alisema kuwa msaada huo ni shukrani za mahakama hiyo kwa Idara hiyo kwa ushirikiano iliyoutoa kwa mahakama hiyo kwa kipindi cha miaka zaidi ya 20 ya kazi za mahakama hiyo...

 

10 years ago

Dewji Blog

Makamu wa Rais Dkt. Bilal afungua mkutano wa maadhimisho ya miaka 20 ya mahakama ya mauaji ya Kimbari ya Rwanda ICTR Jijini Arusha

1

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akihutubia kwenye Maadhimisho ya miaka 20 ya Mahakama ya Mauaji ya  Kimbari ya Rwanda (ICTR), ulioanza leo Novemba 8, 2014 kwenye Ukumbi wa AICC  Jijini Arusha. (Picha na OMR). 3 5 Baadhi ya washiriki waliohudhuria mkutano huo wakimsikiliza makamu wa Rais Dkt. Bilal, wakati akihutubia. 6 7 4

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib  Bilal, akitazama baadhi ya picha za kumbukumbu...

 

9 years ago

BBCSwahili

ICTR kutoa hukumu ya mwisho leo

Mahakama ya Kimataifa ya Mauaji ya Kimbari ya Rwanda (ICTR) iliyokuwa ikishughulikia kesi za mauaji yaliyotokea miaka 20 iliyopita leo itatoa hukumu yake ya mwisho kabla ya kufungwa kabisa.

 

10 years ago

Mwananchi

Nanai: Sekta binafsi ina mchango mkubwa

Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Mwananchi Communications Limited (MCL), Francis Nanai ameiomba Serikali kuongeza ushirikiano na sekta binafsi kwa kuwa inatoa mchango mkubwa kwenye maendeleo ya Taifa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mchango wa kijana ni mkubwa kwa taifa hili!

NINA kila sababu ya kumshukuru Mungu kwa kunivusha na kuuona mwaka mwingine. Nachukua fursa hii kuwashukuru wote walionitumia ujumbe baada ya kusoma makala ya wiki iliyopita. Tumejipanga vipi kuhakikisha mwaka...

 

10 years ago

Raia Mwema

Watanzania walio nje wana mchango mkubwa wakipewa fursa

AGOSTI 13 mpaka 15 ya mwaka huu, kutakuwa na kongamano kubwa litakalowakutanisha Watanzania waish

Mwandishi Wetu

 

11 years ago

Mwananchi

Naseeb Abdul (Diamond): Starehe lina mchango mkubwa katika maisha yangu

Nyota huyu wa muziki nchini, aliandikwa gazetini kwa mara ya kwanza katika Jarida la Starehe. Huo ulikuwa mwaka 2007 wakati akitambulisha wimbo wake Kamwambie.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani