Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Inahitaji kazi kuvumbua kipaji, kukiendeleza

Kipaji ni uwezo wa mtu kufanya jambo au kazi vizuri na kwa urahisi. Kipaji kinaweza kuwa kuimba, kucheza mpira, kuigiza, kupenda kujisomea vitabu na kuongoza.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

MAREKANI WADAIWA KUWATUMIA KUVUMBUA TEKNOLOJIA MPYA - 3

Nakumbusha kuwa katika uumbaji Mungu, aliumba vitu vinavyoonekana na visivyoonekana. Wiki kadhaa niliona ni vyema tukajifunza vitu nje ya boksi. Ni juu ya uwepo wa viumbe wa ajabu waishio angani waitwao Aliens. Kwa muda mrefu viumbe hawa wamekuwa wakihusishwa na upotevu wa vitu na watu duniani. Wiki iliyopita tuliishia pale tulipokuwa tunaangalia ukweli juu ya madai ya kuwepo kwa uhusiano kati ya wanasayansi wa Kimarekani na hawa...

 

10 years ago

Michuzi

Airtel yazindua Mashindano ya kuvumbua vipaji vya Muziki

Mkurugenzi wa kitengo cha Masoko wa Airtel Levi Nyakundi akiongea wakati wa uzinduzi wa mashindano ya kusaka vipaji kupitia simu ya mkononi yajulikanayo kama " Airtel TRACE Music Star" kwa lengo la kukuza na kuvumbua vipaji vya wana muziki chipukizi na kuwawezesha kufikia ndoto zao. Program hii ni kwa ushirikiano kati ya Airtel, kampuni ya Trace pamoja na Mwanamuziki wa Marekani Akon, uzinduzi huo ulifanyika mwishoni mwa wiki katika ukumbi wa high spirit - IT Plaza jijini Dar es saalam.

 

9 years ago

Bongo5

Vanessa Mdee kuanza kuvumbua na kusimamia vipaji vingine

11419202_165666063787240_1338776917_n

Wasanii wanaofanikiwa nchini wameonekana kutofaidi mafanikio yao wao wenyewe na badala yake wameanza kusaidia vipaji vingine.

11419202_165666063787240_1338776917_n

Baada ya Diamond kuanzisha label yake ya WCB ambayo tayari imefanikiwa kumweka kwenye ramani Harmonize, Vanessa Mdee naye ataanza kufanya hivyo hivi karibuni.

Tayari ameanzisha kampuni yake, Mdee Music ambayo licha ya kusimamia kazi zake mwenyewe, itaanza pia kuvumbua na kusimamia vipaji vingine.

Vanessa ameiambia Bongo5 jana kuwa kampuni hiyo itakuwa ikifanya pia...

 

10 years ago

Michuzi

JK atumaini kuvumbua jinsi ya kuimarisha utayari wa jamii dhidi ya majanga ya afya.

Rais Jakaya Kikwete wa Tanzania akihojiwa na Priscilla Lecomte wa Idhaa ya Kiswahili ya Radio ya Umoja wa Mataifa. (Picha: UN/JosephMsami)Rais wa Tanzania Jakaya Kikwete ambaye ni Mwenyekiti wa jopo la Umoja wa Mataifa la kusaka jinsi dunia inaweza kukabiliana na magonjwa ya mlipuko kwa siku za usoni, amesema leo kwamba anatarajia kutoa mapendekezo juu ya mapugunfu yaliyoonekana wakati wa kupambana na Ebola.Akihojiwa na Priscilla Lecomte na Jospeh Msami wa idhaa hii, ameeleza kwamba...

 

10 years ago

Vijimambo

RAIS KIKWETE ATUMAINI KUVUMBUA JINSI YA KUIMARISHA UTAYARI WA JAMII DHIDI YA MAJANGA YA AFYA.



Rais Jakaya Kikwete wa Tanzania akihojiwa na Priscilla Lecomte wa Idhaa ya Kiswahili ya Radio ya Umoja wa Mataifa. (Picha: UN/JosephMsami)

Rais wa Tanzania Jakaya Kikwete ambaye ni Mwenyekiti wa jopo la Umoja wa Mataifa la kusaka jinsi dunia inaweza kukabiliana na magonjwa ya mlipuko kwa siku za usoni, amesema leo kwamba anatarajia kutoa mapendekezo juu ya mapugunfu yaliyoonekana wakati wa kupambana na Ebola.Akihojiwa na Priscilla Lecomte na Jospeh Msami wa idhaa hii, ameeleza kwamba...

 

11 years ago

GPL

SKYLIGHT BAND YAZIDI KUVUMBUA VIPAJI VIPYA, TUKUTANE PALE KATI JIONI YA LEO‏

Kikosi kazi cha Skylight Band kikishambulia jukwaa ndani ya kiota cha Thai Village Masaki jijini Dar huku shabiki wao akipata Ukodak mbele ya jukwaa. Joniko Flower akichana mistari huku wenzake wakionyesha umahiri wao wa kusebeneka.…

 

11 years ago

BBCSwahili

Brazil inahitaji mwanasaikolojia

Kocha aagiza mwanasaikolojia kuwashauri wachezaji kufuatia ushindi mgumu dhidi ya Chile.

 

9 years ago

Raia Mwema

CECAFA inahitaji mipango mipya

PAMOJA na kuwa ni miongoni mwa mashirikisho makongwe barani Afrika, Kusini mwa Sahara, Baraza la

Mwandishi Wetu

 

9 years ago

Mtanzania

Magufuli: Nchi inahitaji mabadiliko

pombeNa Bakari Kimwanga, Mbeya

MGOMBEA urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli, amesema taifa linahitaji mabadiliko ya kiuongozi chini yake na siyo kwa kubadili chama kilichopo madarakani.

Amesema pamoja na kuwa kuna wimbi la watu wanaotaka mabadiliko, ni vema wakatambua kwamba yatapatikana kupitia CCM na si nje ya chama hicho.

Kauli hiyo aliitoa jana alipokuwa akihutubia katika mkutano wa kampeni uliofanyika Mbalizi, Mbeya Vijijini na Wilaya ya Chunya mkoani hapa kwa nyakati...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani