Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Interpol yaomba msaada kumkamata jangili

Hatimaye Shirika la Polisi la Kimataifa (Interpol) imewapigia magoti Watanzania ikitaka msaada wao katika kumsaka mtuhumiwa wa kwannza katika kesi ya utoroshaji wanyamapori hai 100 kwa ndege ya jeshi la Pakistani kupitia Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Ukraine yaomba msaada wa ulinzi

RaisPoroshenko amevitaka vikosi vya umoja wa mataifa vya kulinda amani kupelekwa mashariki mwa nchi yake kukomesha vita

 

11 years ago

BBCSwahili

Ebola: Liberia yaomba msaada

Waziri wa habari wa Liberia Lewis Brown amesema nchi yake haiwezi kuimudu hali ya mlipuko wa ugonjwa wa Ebola.

 

11 years ago

BBCSwahili

Libya yaomba msaada kuzima moto

Serikali ya Libya inaomba msaada wa kimataifa ilikuzima moto mkubwa unaoendelea kuchoma hifadhi ya mafuta mjini Tripoli.

 

9 years ago

Habarileo

Jangili mwingine hatari atiwa mbaroni

JITIHADA za serikali katika mapambano dhidi ya ujangili zinaendelea kuzaa matunda baada ya Kikosi cha Kupambana na Ujangili kumkamata mtuhumiwa mkuu wa ujangili, Boniface Mathew Mariango maarufu Shetani.

 

9 years ago

Mwananchi

Museveni kumkamata Mbabazi

Kampala, Uganda. Rais Yoweri Museveni wa Uganda ametishia kuwakamata wafuasi wa mgombea urais wa Chama cha Go Forward, Amama Mbabazi kwa kusababisha ghasia kati yao na wanachama wa chama chake cha National Resistance Movement (NRM) kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika Wilaya ya Ntungamo mwezi huu.

 

9 years ago

Mtanzania

Mahakama yatishia kumkamata Lwakatare

Pg.1Na Patricia Kimelemeta, Dar es Salaam

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu jana ilitishia kumkamata Mkurugenzi wa Ulinzi na Usalama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Wilfred Lwakatare baada ya kutokuwapo mahakamani hapo.

Kauli ya Hakimu Thomas Simba imetolewa  baada ya Mdhamini wa mshtakiwa, Paschal Mwita kudai mahakamani hapo kuwa mshtakiwa huyo hakuwapo  mahakamani na kwamba amesafiri kwenye shughuli zake za ubunge.

Wakili Mwandamizi wa serikali, Pamela Shinyambala alidai kuwa...

 

10 years ago

BBCSwahili

ICC yaitaka A. Kusini kumkamata Bashir

Mahakama ya kimataifa ya uhalifu wa kivita ICC imeitaka Afrika Kusini kumkamata rais wa Sudan Omar Al-Bashir

 

10 years ago

Habarileo

Amri ya kumkamata bosi TRA yaondolewa

KATIBU wa Bodi ya Rufaa ya Kodi katika Mahakama Kuu Kitengo cha Biashara, Respicius Mwijage ameamuru maombi ya kumkamata Kamishna wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) na kumpeleka gerezani kwa kukiuka amri ya bodi hiyo, yaondolewe.

 

10 years ago

BBCSwahili

Seleka wadai malipo kwa kumkamata Ongwen

Waasi wa kundi la Seleka katika Jamhuri ya Afrika ya Kati, wanasema kuwa wanapaswa kutuzwa kwa kumkamata kamanda mkuu wa kundi la waasi la Uganda, LRA.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani