Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ITA yahitaji bil. 67/- upanuzi miundombinu

CHUO cha Kodi (ITA) kinahitaji zaidi ya sh bilioni 67 kwa ajili ya upanuzi wa miundombinu ili kuendana na kasi ya wanafunzi wanaohitaji mafunzo hayo. Kauli hiyo ilitolewa jijini Dar...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

ZIARA YA KATIBU MKUU WA CCM,KINANA ILIVYOKUMBANA NA CHANGAMOTO YA MIUNDOMBINU WAKATI AKIELEKEA KUKAGUA UPANUZI WA CHANZO CHA MAJI RUVU CHINI

Gari ya Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam,Meck Sadicky likinasuliwa kwenye tope baada ya kukwama katika kijiji cha Mataya-Ruvu Chini,yote hiyo ikiwa ni sehemu ya changamoto ya Miundo mbinu hasa barabara,Wakati wakiongoza msafara wa Katibu MKuu wa CCM,Ndugu Abdulrahman Kinana alipokuwa anakwenda kukagua chanzo cha Maji Ruvu chini na kujionea upanuzi wa chanzo hicho mapema jana jioni;wakati Ndugu Kinana alipokuwa akihimitimisha ziara yake ya siku tatu ndani ya wilaya ya Kinondoni,ziara hiyo...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Bil. 78/- kuboresha miundombinu Chalinze

SERIKALI inatarajia kutumia sh bilioni 78.4 kuboresha miundombinu ya maji katika mji wa Chalinze na vitongoji vyake kupitia mradi wa maji Wami-Chalinze. Hayo yalibainishwa na Meneja wa Mamlaka ya Maji...

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Bil. 1.8 zajenga miundombinu ya maji


SERIKALI imetumia sh. bilioni 1.8 kwa ajili ya ujenzi wa miundombinu ya maji katika Kijiji cha Kibirizi wilayani Bukoba.
Fedha hizo zimetumika kuchimba mitaro saba yenye urefu wa kilometa 84 na magati 110, tanki za kuhifadhia huku kazi iliyobaki kwa sasa ni kulaza mabomba na kujenga magati 15.
Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (TAMISEMI), Agrey Mwanri, alisema bungeni jana kuwa hatua hiyo inalenga kuhakikisha wakazi wa kijiji hicho wanapata maji safi na salama.
Alikuwa akijibu swali la...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Bil. 5/- kukarabati miundombinu Ilala

ZAIDI ya sh bilioni tano zinahitajika kukarabati miundombinu mbalimbali katika Manispaa ya Ilala, Dar es Salaam iliyoharibiwa na mvua zinazoendelea kunyesha maeneo mbalimbali nchini. Akizungumza na Tanzania Daima jana, Ofisa...

 

9 years ago

TheCitizen

WINNING LEADERSHIP : No, it’s not your title at all; It’s all about you

“I want be my own person” is a very common desire. I truly believe that sometimes people just say they want that which they don’t have but on the slightest possibility that it could come to be, they shy away. I am not going to give you that tired “you are your own enemy” line. Well, not today.

 

5 years ago

Michuzi

KAMATI YA BUNGE YA MIUNDOMBINU YA YAAGIZA ULINZI WA MIUNDOMBINU

KAMATI YA YAAGIZA ULINZI WA MIUNDOMBINU
KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu imeitaka Serikali kuhakikisha inaweka ulinzi madhubuti katika miundombinu ya mradi wa barabara za juu (Interchange) katika makutano ya eneo la Ubungo jijini Dar es Salaam ili idumu kwa kipindi kirefu. 
Mradi huo wenye lengo la kupunguza msongamano wa magari katika njia za barabara za Morogoro, Mandela na Sam Nujoma unagharimu kiasi cha shilingi bilioni 229 na huku Serikali ikichangia fedha za fidia kwa wananchi...

 

5 years ago

CCM Blog

WAZIRI BITEKO:SEKTA YA MADINI YAONGOZA KWA UKUAJI NCHINI. MAKUSANYO YAPAA KUTOKA BIL. 39 HADI BIL.58 APRILI



Nuru Mwasampeta na Tito Mselem,WM- Dodoma

WAZIRI wa Madini, Doto Biteko amesema ukuaji na mchango wa Sekta ya Madini kwenye pato la taifa unakua kwa kasi na kuwa mwaka 2019 mchango huo umeongezeka na kufikia asilimia 17.7 kutoka ukuaji wa asilimia 1.5 kwa mwaka 2018.
Amesema, kwa ukuaji huo sekta ya madini imeongoza sekta zote kwa ukuaji ikifuatiwa na sekta ya ujenzi ikiwa na ukuaji wa asilimia 14.1.
Ameongeza kuwa, wizara yake imekuwa ikikusanya kiasi cha wastani wa shilingi bilioni 39 kwa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mazingira yahitaji hatua haraka

Jopo la UN la wataalamu wa sayansi ya hali ya hewa laonya mabadiliko yatayotokea iwapo hatua hazikuchukuliwa na viongozi wa nchi

 

10 years ago

Mwananchi

Nishati yahitaji wawekezaji wakubwa

Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo amesema sekta ya nishati nchini inahitaji uwekezaji mkubwa kutoka kampuni binafsi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani