Bil. 5/- kukarabati miundombinu Ilala
ZAIDI ya sh bilioni tano zinahitajika kukarabati miundombinu mbalimbali katika Manispaa ya Ilala, Dar es Salaam iliyoharibiwa na mvua zinazoendelea kunyesha maeneo mbalimbali nchini. Akizungumza na Tanzania Daima jana, Ofisa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo12 Dec
Bil.1/- kukarabati shule Z’bar
WIZARA ya Elimu na Mafunzo ya Amali ya Zanzibar imesema imetenga jumla ya Sh bilioni moja kwa ajili ya kufanyia ukarabati majengo ya shule ambayo yamechakaa na yapo katika hatari ya kuanguka.
11 years ago
Tanzania Daima13 Feb
Bil. 78/- kuboresha miundombinu Chalinze
SERIKALI inatarajia kutumia sh bilioni 78.4 kuboresha miundombinu ya maji katika mji wa Chalinze na vitongoji vyake kupitia mradi wa maji Wami-Chalinze. Hayo yalibainishwa na Meneja wa Mamlaka ya Maji...
10 years ago
Uhuru Newspaper18 Mar
Bil. 1.8 zajenga miundombinu ya maji
SERIKALI imetumia sh. bilioni 1.8 kwa ajili ya ujenzi wa miundombinu ya maji katika Kijiji cha Kibirizi wilayani Bukoba.
Fedha hizo zimetumika kuchimba mitaro saba yenye urefu wa kilometa 84 na magati 110, tanki za kuhifadhia huku kazi iliyobaki kwa sasa ni kulaza mabomba na kujenga magati 15.
Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (TAMISEMI), Agrey Mwanri, alisema bungeni jana kuwa hatua hiyo inalenga kuhakikisha wakazi wa kijiji hicho wanapata maji safi na salama.
Alikuwa akijibu swali la...
11 years ago
Tanzania Daima21 Feb
ITA yahitaji bil. 67/- upanuzi miundombinu
CHUO cha Kodi (ITA) kinahitaji zaidi ya sh bilioni 67 kwa ajili ya upanuzi wa miundombinu ili kuendana na kasi ya wanafunzi wanaohitaji mafunzo hayo. Kauli hiyo ilitolewa jijini Dar...
10 years ago
Dewji Blog13 Dec
TBL yatoa sh. mil 18 za kusaidia ukarabati wa miundombinu iliyoharibika soko la Machinga Ilala, Dar
Mkurugenzi wa Uhusiano na Sheria wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Steve Kilindo (kulia) akimkabidhi hundi yenye thamani ya sh. mil. 18.9, kwa Mkurugenzi wa Kampuni ya Gotam General Traders, Winner Taluka (wa pili kushoto) kwa ajili ya kusaidia ukarabati wa miundombinu ya maji iliyoharibika baada ya Soko la Mchikichini Ilala kuteketea kwa moto. Wanaoshuhudia hafla hiyo iliyofanyika Dar es Salaam jana, kutoka kushoto ni Makamu Mwenyekiti wa soko hilo, Rehema Matali, Mjumbe wa Kamati ya...
11 years ago
Michuzi12 Feb
TBL YAKABIDHI WODI YA WAZAZI NA MIUNDOMBINU YA MAJI ILIYOKARABATIWA KATIKA HOSPITALI YA RUFAA YA AMANA, ILALA
5 years ago
MichuziKAMATI YA BUNGE YA MIUNDOMBINU YA YAAGIZA ULINZI WA MIUNDOMBINU
KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu imeitaka Serikali kuhakikisha inaweka ulinzi madhubuti katika miundombinu ya mradi wa barabara za juu (Interchange) katika makutano ya eneo la Ubungo jijini Dar es Salaam ili idumu kwa kipindi kirefu.
Mradi huo wenye lengo la kupunguza msongamano wa magari katika njia za barabara za Morogoro, Mandela na Sam Nujoma unagharimu kiasi cha shilingi bilioni 229 na huku Serikali ikichangia fedha za fidia kwa wananchi...
5 years ago
CCM BlogWAZIRI BITEKO:SEKTA YA MADINI YAONGOZA KWA UKUAJI NCHINI. MAKUSANYO YAPAA KUTOKA BIL. 39 HADI BIL.58 APRILI
Nuru Mwasampeta na Tito Mselem,WM- Dodoma
WAZIRI wa Madini, Doto Biteko amesema ukuaji na mchango wa Sekta ya Madini kwenye pato la taifa unakua kwa kasi na kuwa mwaka 2019 mchango huo umeongezeka na kufikia asilimia 17.7 kutoka ukuaji wa asilimia 1.5 kwa mwaka 2018.
Amesema, kwa ukuaji huo sekta ya madini imeongoza sekta zote kwa ukuaji ikifuatiwa na sekta ya ujenzi ikiwa na ukuaji wa asilimia 14.1.
Ameongeza kuwa, wizara yake imekuwa ikikusanya kiasi cha wastani wa shilingi bilioni 39 kwa...
11 years ago
Mwananchi02 Feb
Wajapani kukarabati Reli ya Kati