Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Jamaa wajitayarisha kwa habari mbaya

Jamaa wa abiria waliopanda ndege ya Malaysia iliyopotea waambiwa wajitayarishe kwa habari mbaya ingawa ndege bado haikupatikana

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

HABARI MBAYA KWA MAN UNITED! ROBIN VAN PERSIE NJE, KUKOSA MECHI 8

Straika wa Man United, Robin van Persie. Straika wa Man United, Robin van Persie atakuwa nje ya uwanja kwa muda wa mwezi moja na kukosa mechi nane za timu yake kutokana na kusumbuliwa na maumivu ya nyama za paja.
Mshambuliaji huyo alianza kupata maumivu katika mechi dhidi ya Shakhtar Donetsk, Jumanne iliyopita, maana yake ni kuwa atakuwa nje ya uwanja mpaka Januari mwakani.
Mechi ambazo atazikosa Van Persie ni:
Aston Villa,...

 

10 years ago

Vijimambo

JAMAA AKIJIMWAGIA MAJI KICHWANI KWA STYLE YA PASSPORT SIZE

Joto la Dar ni shiiiida jamaa aliona ni bora ajimwagie maji japo kichwani maana alihisi kama kichwa kina taka kuyeyuka vile na ukizingatia anakipara ndiyo kabisaaaa. Ni vijimambo vya hapa na pale ndani ya Bongo Daresalaama.

 

10 years ago

GPL

JAMAA ANUSA KIFO, WIZI WA FEDHA KWA MITANDAO YA SIMU

Deogratius Mongela na Chande Abdallah/Ijumaa wikienda
Kibano! Jamaa mmoja ambaye jina halikupatikana mara moja, amejikuta akinusa kifo baada ya kula kipigo ‘hevi’ wakati akifanya jaribio la wizi wa fedha kiasi cha shilingi laki 450,000 kupitia huduma za fedha kwa mitandao ya simu. Akiomba kuachiwa baada ya kupewa kichapo kikali. Tukio hilo lililoshuhudiwa na Ijumaa Wikienda lilijiri wikiendi iliyopita maeneo ya...

 

10 years ago

GPL

VITUKO UGHAIBUNI: JAMAA AZIGAWA MALI ZAKE NUSU KWA NUSU BAADA YA KUMWAGANA NA MKEWE

Baiskeli iliyokatwa na jamaa huyo. Gari hili nalo lilikatwa katikati kwa ajili ya kumaliza mgogoro kati ya jamaa huyo na mkewe. Video ya jamaa huyo akikata mali zake katikati. NJEMBA mmmoja nchini Ujerumani amezua sintofahamu baada ya kuamua kugawa nusu kwa nusu kila mali…

 

10 years ago

Vijimambo

Michepuko Embu Ooneeni Huruma Ndoa za Wenzenu..Someni Hapa Jinsi ya Kuandika Meseji Kwa Jamaa yako ili Hata ikisomwa na Mkewe Isiwe Shida


Embu hili swala liangaliwe vizuri ili kutosababisha matatizo ktk ndoa za watu.Jana nimetoka kazini, nikakatext ka mchepuko ka kitambo kidogo.Mimi: Mambo vipi!Mchepuko: Poa tu mpenzi wangu.
Aisee nikashtuka nikaidelete sms haraka. Nikajiuliza vipi kama ingepokelewa na mke wangu.
Jamani michepuko ifike mahala mjue kabisa tuko na familia zetu, lakini pia tunawajali. Chondechonde msilainishe sms. Andikeni sms ngumu ngumu., ili hata ikisomwa kwa bahati mbaya na wake zetu wasilete shida.
Mfano:Mimi:...

 

11 years ago

Michuzi

VYOMBO VYA HABARI VYAASWA KUTOA KIPAUMBELE KWA HABARI ZINAZOJENGA JAMII

Msemaji wa Serikali na Mkurugenzi wa Idara ya Habari Bw. Assah Mwambene (kushoto) akizungumza na wahariri wa Gazeti la Jamhuri Bw. Deodatus Balile, Muhariri Mtendaji (katikati) na Bw. Manyerere Jackton , Naibu Muhariri Mtendaji (kulia) alipotembelea Ofisi za gazeti hilo mtaa wa Samora leo jijini Dar es salaam ikiwa ni sehemu ya utaratibu wa watendaji wa Idara ya Habari kuvitembelea vyombo vya habari kwa lengo la kuimarisha ushirikiano na kutatua changamoto zinazoikabili tasnia ya Habari...

 

10 years ago

Vijimambo

HABARI KWA KINA MKUTANO WA CUF NA WAANDISHI WA HABARI

Naibu Katibu Mkuu wa Chama Cha Wananchi CUF, Magdalena Sakaya akizungumza, Dar es Salaam jana kuhusu vikao vya Baraza kuu la uongozi wa Chama hicho kwa ajili ya kutoa uamuzi wa kumsimamisha mgombea wa nafasi ya Urais kupitia Umoja wa katiba ya Wananchi Ukawa. Kulia ni Mkurugenzi wa Habari, Abdul Kambaya. Picha na Venance Nestory
Dar es Salaam. Baraza Kuu la Uongozi wa Taifa la Chama cha Wananchi (CUF), limeutaka uongozi wa chama hicho kusitisha uamuzi wa kumpata mgombea urais wa Jamhuri ya...

 

5 years ago

BBCSwahili

Hali ya upashaji habari ilivyo baada ya kufungwa kwa baadhi ya vyombo vya habari Burundi

Baadhi ya vyombo vya habari vilivyopigwa marufuku kwa sasa hivi vimeanza kupeperusha matangazo yake mtandaoni.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani