Jamaa wajitayarisha kwa habari mbaya
Jamaa wa abiria waliopanda ndege ya Malaysia iliyopotea waambiwa wajitayarishe kwa habari mbaya ingawa ndege bado haikupatikana
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mWq-Pv8RWzQIqqfnYnqgFXEc0XAoZNfLDKCMz29J6xKyihHA-VHnkxTaCpdntJEJGdLf26w3EvFeAPAKk*VG0zHKeW*JCZQA/RobinvanPersie.jpg?width=650)
HABARI MBAYA KWA MAN UNITED! ROBIN VAN PERSIE NJE, KUKOSA MECHI 8
Straika wa Man United, Robin van Persie. Straika wa Man United, Robin van Persie atakuwa nje ya uwanja kwa muda wa mwezi moja na kukosa mechi nane za timu yake kutokana na kusumbuliwa na maumivu ya nyama za paja.
Mshambuliaji huyo alianza kupata maumivu katika mechi dhidi ya Shakhtar Donetsk, Jumanne iliyopita, maana yake ni kuwa atakuwa nje ya uwanja mpaka Januari mwakani.
Mechi ambazo atazikosa Van Persie ni:
Aston Villa,...
10 years ago
VijimamboJAMAA AKIJIMWAGIA MAJI KICHWANI KWA STYLE YA PASSPORT SIZE
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/QxYZWE5p2qtWLZWAwR98bKPwALM7f0m26enTv2CGJBT8KmHyMmejdlU9vly6OQ2DyLqJgzbdqKP4x1RFcuGV-h*uezr9-knI/3.jpg)
JAMAA ANUSA KIFO, WIZI WA FEDHA KWA MITANDAO YA SIMU
Deogratius Mongela na Chande Abdallah/Ijumaa wikienda
Kibano! Jamaa mmoja ambaye jina halikupatikana mara moja, amejikuta akinusa kifo baada ya kula kipigo ‘hevi’ wakati akifanya jaribio la wizi wa fedha kiasi cha shilingi laki 450,000 kupitia huduma za fedha kwa mitandao ya simu. Akiomba kuachiwa baada ya kupewa kichapo kikali. Tukio hilo lililoshuhudiwa na Ijumaa Wikienda lilijiri wikiendi iliyopita maeneo ya...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pX4h1nu50oHcLANGBIf3pTAVGFnYO38T9RG-8Y4dF57LNWXdObV92RpEQP2L3dWc-3NNnlHm7UW-z*CtQh3QPy3PgrnKiyYK/halfbike.jpg?width=650)
VITUKO UGHAIBUNI: JAMAA AZIGAWA MALI ZAKE NUSU KWA NUSU BAADA YA KUMWAGANA NA MKEWE
Baiskeli iliyokatwa na jamaa huyo. Gari hili nalo lilikatwa katikati kwa ajili ya kumaliza mgogoro kati ya jamaa huyo na mkewe. Video ya jamaa huyo akikata mali zake katikati. NJEMBA mmmoja nchini Ujerumani amezua sintofahamu baada ya kuamua kugawa nusu kwa nusu kila mali…
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-IGK5_aHR83U/VYVTkuPCJqI/AAAAAAAAwBs/dM1G-dLehVo/s72-c/black-couple-kissing1.jpg)
Michepuko Embu Ooneeni Huruma Ndoa za Wenzenu..Someni Hapa Jinsi ya Kuandika Meseji Kwa Jamaa yako ili Hata ikisomwa na Mkewe Isiwe Shida
![](http://1.bp.blogspot.com/-IGK5_aHR83U/VYVTkuPCJqI/AAAAAAAAwBs/dM1G-dLehVo/s640/black-couple-kissing1.jpg)
Embu hili swala liangaliwe vizuri ili kutosababisha matatizo ktk ndoa za watu.Jana nimetoka kazini, nikakatext ka mchepuko ka kitambo kidogo.Mimi: Mambo vipi!Mchepuko: Poa tu mpenzi wangu.
Aisee nikashtuka nikaidelete sms haraka. Nikajiuliza vipi kama ingepokelewa na mke wangu.
Jamani michepuko ifike mahala mjue kabisa tuko na familia zetu, lakini pia tunawajali. Chondechonde msilainishe sms. Andikeni sms ngumu ngumu., ili hata ikisomwa kwa bahati mbaya na wake zetu wasilete shida.
Mfano:Mimi:...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-1jYxjGTfI4Q/U0TeQMS0j8I/AAAAAAAFZXc/iSfynIQj1SI/s72-c/Jamhuri+-+1.jpg)
VYOMBO VYA HABARI VYAASWA KUTOA KIPAUMBELE KWA HABARI ZINAZOJENGA JAMII
![](http://4.bp.blogspot.com/-1jYxjGTfI4Q/U0TeQMS0j8I/AAAAAAAFZXc/iSfynIQj1SI/s1600/Jamhuri+-+1.jpg)
10 years ago
Vijimambo16 Jul
HABARI KWA KINA MKUTANO WA CUF NA WAANDISHI WA HABARI
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2791042/highRes/1063499/-/maxw/600/-/118eetjz/-/pic+cuf.jpg)
Dar es Salaam. Baraza Kuu la Uongozi wa Taifa la Chama cha Wananchi (CUF), limeutaka uongozi wa chama hicho kusitisha uamuzi wa kumpata mgombea urais wa Jamhuri ya...
5 years ago
BBCSwahili14 Jun
Hali ya upashaji habari ilivyo baada ya kufungwa kwa baadhi ya vyombo vya habari Burundi
Baadhi ya vyombo vya habari vilivyopigwa marufuku kwa sasa hivi vimeanza kupeperusha matangazo yake mtandaoni.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania