JAMAA AKIJIMWAGIA MAJI KICHWANI KWA STYLE YA PASSPORT SIZE
Joto la Dar ni shiiiida jamaa aliona ni bora ajimwagie maji japo kichwani maana alihisi kama kichwa kina taka kuyeyuka vile na ukizingatia anakipara ndiyo kabisaaaa. Ni vijimambo vya hapa na pale ndani ya Bongo Daresalaama.
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi10 Sep
Vyoo vya ‘passport size’ dili Dar es Salaam
11 years ago
Habarileo03 Mar
Amuua mwanawe kwa kumpiga nyundo kichwani
MCHINJA nguruwe katika Kitongoji cha Sokoni Mji mdogo wa Sirari, Tarime Ezekiel Magige (39) amelazwa katika Hospitali ya Wilaya ya Tarime baada ya kupigwa mawe na wananchi wenye hasira kali.
10 years ago
StarTV16 Dec
Mfuasi CHADEMA afariki kwa kupigwa jembe kichwani
Na Shaabani Alley
Shinyanga
Mkazi wa Halmashauri ya wilaya ya Ushetu wilayani Kahama ambaye ni mfuasi wa Chama cha Demokrasia na Maendelea CHADEMA amefariki kwa kupigwa jembe kichwani na watu wanaodaiwa kuwa wafuasi wa Chama cha Mapinduzi CCM wakati akishangilia ushindi wa chama chake.
Kamanda wa Polisi mkoani Shinyanga Kamishna msaidizi mwandamizi wa Polisi Justus Kamugisha alisema tukio hilo ni miongoni mwa matukio kadhaa ya kuvuruga uchaguzi huo.
Hata hivyo Kamanda Kamugisha...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/640cdJ4qjLQali9drJvOS2jshJ1UvcH0pF3MtvS7rLGtSlxF7tGemGWjobaEqpMAf2xaquu50AhdjCcj5vHeT30QPILeqa51/Happy.jpg?width=650)
MUME AMUUA MKEWE KWA KUMPIGA MISUMARI KICHWANI
9 years ago
Mwananchi17 Dec
Mke amuua mume kwa kumpiga nondo kichwani
11 years ago
BBCSwahili09 Mar
Jamaa wajitayarisha kwa habari mbaya
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/QxYZWE5p2qtWLZWAwR98bKPwALM7f0m26enTv2CGJBT8KmHyMmejdlU9vly6OQ2DyLqJgzbdqKP4x1RFcuGV-h*uezr9-knI/3.jpg)
JAMAA ANUSA KIFO, WIZI WA FEDHA KWA MITANDAO YA SIMU
10 years ago
Mwananchi27 Jan
Baba mzazi ampiga kichanga cha mwezi kwa mchi kichwani, ni katika ugomvi
11 years ago
CloudsFM10 Jun
AJIUA KWA KUJIPIGA RISASI KICHWANI BAADA YA KUGONGA MARA MBILI AKIWA ANAENDESHA GARI
MFANYABIASHARA wa madini, Richard Lucas (29), amejipiga risasi kichwani baada ya kusababisha ajali mbili tofauti na gari lake kupinduka.
Tukio hilo lilitokea juzi majira ya saa 12 jioni nyumbani kwa marehemu eneo la Kimandolu.
Akizungumza na waandishi wa habari, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha, Liberatus Sabas, alithibitisha kutokea kwa tukio hilo.
Alisema kuwa Lucas alijipiga risasi ya kichwa kwa kutumia bastola aina ya Luger yenye namba B136986 baada ya kuwagonga watu hao.
Kamanda Sabas,...