Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


JB: AWACHANGANYA WASAMBAZAJI WAWILI WA SINEMA, MMOJA ACHACHAMAA!

Hakika simulizi hii ya maisha ya JB, inabadilisha mtazamo wa watu wengi juu ya maisha. Waliokuwa wamekata tamaa, wamepata matumaini mapya. Wametiwa moyo na jinsi ambavyo msanii huyu ameweza kupambana na maisha hadi kufika mahali alipo sasa.  Mateso, maumivu, dhoruba na mikikimikiki ambayo JB amekutana nayo katika safari ya maisha, imekuwa somo kubwa kwa wengi. Nimekuwa nikipokea simu na meseji nyingi sana kutoka kwa wasomaji,...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

WAFALME WAWILI, MALKIA MMOJA, JUKWAA MOJA PASAKA DAR LIVE

MACHO na masikio ya wapenda burudani wote yamehamia ndani ya Uwanja wa Taifa wa Burudani, Dar Live uliopo Mbagala-Zakhem, jijini Dar ambapo wafalme wawili wa muziki Bongo, Mfalme wa Vigodoro, Msaga Sumu pamoja na Mfalme wa Bongo Fleva, Ali Kiba wataungana na Malkia wa Masauti, Isha Mashauzi katika kuandika historia kwa mara ya kwanza. Mfalme wa Bongo Fleva, Ali Kiba. Akizungumza na Showbiz, mratibu wa burudani wa ukumbi huo,...

 

10 years ago

Michuzi

MMOJA NA WENZAKE WAWILI MBARONI KWA KUKUTWA NA PEMBE ZA NDOVU MKOANI DODOMA

Na. Sylvester Onesmo wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Dodoma.
Jeshi la Polisi Mkoa wa Dodoma linamshikilia mtu mmoja aliyefahamika kw ajina la DOUGLAS S/O MNYEKE, Miaka 46, Mkaguru Mukulima na Mkazi wa kijiji cha Silwa Kata ya Pandambili, Wilaya ya Kongwa Mkoani Dodoma akiwa na pembe za ndovu vipande vitatu vyenye uzito wa jumla ya kilo 12 na gramu 30 vyenye thamani ya Tshs. 11, 162, 250/= vikiwa nyumbani kwake.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi DAVID MISIME –...

 

11 years ago

Dewji Blog

Basi la Lushanga laua mmoja na kujeruhi wawili Sengerema, Picha na habari ziko hapa!

 

DSC_0221

Kijana ambaye ni dereva wa toroli la miguu minne jina lake halikuweza kupatikana mara moja anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 32 amefariki dunia papo hapo na kupasuka Kichwa baada ya kugongwa na basi la abiria lililokuwa likitokea mkoa wa Geita kuelekea jijini Mwanza kwenye makutano ya barabara ya Kamanga na Busisi wilayani Sengerema mkoani Mwanza. Kijana huyo pia alikuwa akiendesha Pikipiki bila kuvaa “Helmet” huenda ingemsaidia asipasuke Kichwa.(Picha na Zainul Mzige).

Na MOblog,...

 

10 years ago

Mwananchi

Spika Anna Makinda achachamaa

Spika wa Bunge, Anne Makinda amezitaka kamati tatu za Bunge ambazo wenyeviti wake walitakiwa kuwajibika kutokana na kashfa ya Akaunti ya Tegeta Escrow, kufanya uchaguzi wa wenyeviti wengine kabla ya kuanza kwa Mkutano wa 18 wa Bunge, Januari 27 mwaka huu mjini Dodoma.

 

10 years ago

Habarileo

Mwakyembe achachamaa, amng’ang’ania bosi TICTS

Dk Harison Mwakyembe.MKURUGENZI Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya ushushaji mizigo bandarini (TICTS), Paul Wallace na menejimenti yake wanatakiwa kufika leo saa 2:00 asubuhi ofisini kwa Waziri wa Uchukuzi, Dk Harrison Mwakyembe kutoa maelezo kwa kukiuka Sheria na kutumia viwango vya ubadilishaji fedha za kigeni, tofauti na vile vinavyoelekezwa na Benki Kuu Tanzania (BoT).

 

11 years ago

Mwananchi

JK awachanganya wananchi

 Wananchi mbalimbali wa mikoani na Zanzibar wakiwamo wasomi na viongozi wa dini, wamepokea kwa hisia tofauti hotuba ya Rais Jakaya Kikwete, huku wengi wakipongeza na wengine wakimlaumu kwa kuweka msimamo wake juu ya muundo wa Serikali.

 

11 years ago

Habarileo

Warioba awachanganya wabunge

BAADHI ya wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, wamekiri kuchanganywa kutokana na hotuba ya Mwenyekiti wa Tume ya Marekebisho ya Katiba, Jaji Joseph Warioba ambayo walidai imeibua mambo mengi ambayo hawakuwa wanayafahamu.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Lembeli awachanganya viongozi wa CCM 

VIONGOZI wa Chama Cha Mapinduzi ‘CCM’ wilayani Kahama wanapata wakati mgumu kuchukua maamuzi kwa Mbunge wa Jimbo hilo, James Lembeli, kutokana na kukinzana na chama chake juu ya muundo wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani