Je utajiri wa nchi ndio furaha ya wananchi?
Mafuta na gesi yameiletea Qatar utajiri mkubwa, pesa sio hoja.Je ina maana wengi wanafuraha isiyo na kifani?
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo502 Oct
Utafiti: Huu ndio umri ambao binadamu anakuwa na furaha zaidi
9 years ago
Bongo514 Aug
Huu ndio mpango wa ex wa Zari na mpambe wake wa kutaka kuharibu furaha ya ujio wa Tiffah
9 years ago
Vijimambo22 Sep
CCM ndio chama kinachopendwa zaidi na wananchi Takwimu zinaonyesha kwamba wananchi hawaelewi nafasi rasmi ya Ukawa
![](http://dar24.com/wp-content/uploads/2015/09/Lowassa-vs-Magufuli.jpg)
Chadema ni chama cha pili kinachopendwa kushinda vyama vingine vya...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-YB13EO7o7ug/VYGQSC-81nI/AAAAAAAAv2w/ozIl4BQTOI4/s72-c/LOWASSA%2BIKULU.jpg)
Kauli ya LOWASSA Yaleta Gumzo 'Maskini Akienda IKULU Ataiba si Ndio? Tajiri Akienda Ikulu Atawapa watu Mbinu za Utajiri'
![](http://2.bp.blogspot.com/-YB13EO7o7ug/VYGQSC-81nI/AAAAAAAAv2w/ozIl4BQTOI4/s640/LOWASSA%2BIKULU.jpg)
Kweli au si kweli? Maskini akienda IKULU ataiba si ndio? Tajiri akienda Ikulu atawapa watu mbinu za utajiri....ama, maskini akienda ataongoza kwa kuelewa matatizo ya wananchi wake na kuwapa kipaumbele...na tajiri yeye hatajali kundi la maskini wanahitaji nini maana hajui umaskini unafananaje?? Vyovyote vile!! Bado tunasikiliza na kupima sera za wagombea wote...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-0amyU4BLGNk/Vkv2Qu-6iSI/AAAAAAAAJMM/qOgmVVxutm0/s72-c/Daraja%2Bla%2Bmbweni%2Bjkt.jpg)
Kukamilika kwa daraja la Mbweni JKT ni furaha kwa wananchi
![](http://2.bp.blogspot.com/-0amyU4BLGNk/Vkv2Qu-6iSI/AAAAAAAAJMM/qOgmVVxutm0/s640/Daraja%2Bla%2Bmbweni%2Bjkt.jpg)
Katika pita pita ya mitandaoni, tuliona picha hizi ambazo tayari zimeshapokewa kwa shangwe kutokana na wananchi hao kuanza kulitumia. Ikumbukwe kwamba kutokuwapo kwa daraja hili kulileta usumbufu mkubwa kwa wananchi. Kabla ya uwapo wa daraja hili, magari...
11 years ago
Tanzania Daima06 Jul
Wananchi ndio wenye uhalali wa katiba mpya
KWA muda mrefu baadhi yetu tulikuwa tukipaza sauti zetu kulilia katiba mpya ambayo tunaamini itasaidia kukabiliana na baadhi ya changamoto zinazoonekana hivi sasa, hasa kutokana na tuliyonayo imedumu kwa kipindi...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-MMlfmBux8cg/VgEdMX5nXmI/AAAAAAAH6x4/Hi6kSzmJtDA/s72-c/index.jpg)
CCM NDIO CHAMA KINACHOPENDWA ZAIDI NA WANANCHI
![](http://3.bp.blogspot.com/-MMlfmBux8cg/VgEdMX5nXmI/AAAAAAAH6x4/Hi6kSzmJtDA/s1600/index.jpg)
22 Septemba, Dar es Salaam: Asilimia 62 ya wananchi wanasema kwamba wanajisikia wapo karibu zaidi na chama cha CCM kuliko vyama vingine. Aidha, walipoulizwa watawachagua wagombea wa chama gani – bila kutajiwa majina ya wagombea – wananchi 6 kati ya 10 walisema kwamba watawachagua wagombea wa CCM kwa Urais (66%), Ubunge (60%) na Udiwani (60%). Takwimu hizi zinatoa picha kwamba CCM inaungwa mkono, kama ilivyokuwa mwaka...
10 years ago
Vijimambo16 May
'Bwege' adai wananchi ndio wameochoka kuibeba Serikali ya CCM
Alisema wapo wabunge wanaoitetea serikali, kwa kuibeba, lakini wapo wabunge wanaofanya kazi zao za kuikosoa.
Akichangia hotuba ya mwelekeo wa kazi za serikali, makadirio ya matumizi ya fedha ya Ofisi ya Waziri Mkuu na Bunge kwa mwaka 2015/16 iliyowasilishwa na Waziri Mkuu Mizengo Pinda,...
9 years ago
Mzalendo Zanzibar08 Oct
HIZI NDIO MBINU ZA CCM ZA KUIBIA WANANCHI KURA ZAO
Asalamu Alaikhum Ndugu Watanzania wa kutoka Zanzibar na Tanganyika. Ama sina budi ila kumshukuru Allah Salawatu Wasalamu, kwakunipatia uzima, pumzi na wasia wakuweza kuandika Makala hii kwenu nyinyi WAZALENDO WA ZANZIBAR NA TANGANYIKA. Kama tulivosikia katika […]
The post HIZI NDIO MBINU ZA CCM ZA KUIBIA WANANCHI KURA ZAO appeared first on Mzalendo.net.