Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Je, wajua maji ni adui kwa baadhi ya Wachina?

Je, una habari maji ni adui mkubwa kwa baadhi ya Wachina? Katika mazungumzo yangu na raia kutoka Afrika wanaoishi hapa Beijing wananieleza wenyeji hawatilii maanani sana kuoga kila siku

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Ukatili baharini: Simulizi kuhusu wavuvi waliotoswa kwenye maji na Wachina

Video inayoonesha mwili wa kijana mmoja akitoswa kikatili baharini imesababisha kufanyika kwa uchunguzi kimataifa, na tukio hilo kuonesha kuwepo kwa viashiria vya hali ''kama ya utumwa''

 

10 years ago

Vijimambo

HAYA NDIO BAADHI YA MAAZIMIO YALIYOSABABISHA BUNGE KUAHIRISHWA KWA KUPINGA BAADHI YA MAADHIMIO YA KUWALINDA WATUHUMIWA WA SAKATA LA ESCROW



MAAZIMIO
Pendekezo la kwanza la kumkamata na kumfilisi bwana Seth lina marekebisho ya serikali, naibu waziri wa Sheria anasema haiwezekani

Pendekezo la pili kuhusu Rugemalira, serikali imeweka marekebisho kuhusu uhalali wa pesa za Rugemalira alizogawa

Azimio la TATU limerekebishwa kuwa waliopokea pesa wachunguzwe na kuchukuliwa hatua mahususi kwa mujibu wa sheria

Pendekezo la NNE. Kamati inazitaka mamlaka kuzitangaza benki za Mkombozi na Stanbic kama asasi za utakatishaji fedha
Azimio la 4...

 

11 years ago

Mwananchi

Baadhi ya maeneo jijini D’Salaam kukosa maji

Kampuni ya Usambazaji Maji katika Jiji la Dar es Salaam (Dawasco) imesema kuwa baadhi ya maeneo ya Jiji la Dar es Salaam yatakosa maji kwa muda usiojulikana.

 

10 years ago

Mwananchi

Machinga Complex ‘kuuzwa’ kwa wachina

Dar es Salaam. Jengo la Machinga Complex linatarajiwa kuuzwa kwa wafanyabiashara wa China kwa Sh86 bilioni na Manispaa ya Jiji la Dar es Salaam baada ya kushindwa kulipa kodi.

 

9 years ago

Mwananchi

Wachina kizimbani kwa pembe za faru

Raia wanne kutoka China, jana walipandishwa katika kizimba cha Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Mbeya kujibu mashtaka matatu ya uhujumu uchumi likiwamo la kukutwa na pembe kumi na moja za faru zenye thamani ya Sh 902.8milioni. 

 

10 years ago

GPL

WACHINA 15 MBARONI KWA KUGUSHI VYETI

Wanafunzi amabo ni raia wa China wanaosoma katika Chuo Kikuu cha New York nchini Mrekani. Raia wa China wakiwa 'kortini'. Raia 15 wa China wamekamatwa na kufunguliwa mashtaka nchini Marekani kwa tuhuma za udanganyifu wa matokeo ya elimu zao na kugushi nyaraka za kitaaluma walizozitumia wakati wakijiunga na elimu ya juu nchini Marekani. Kwa mjibu wa waendesha mashtaka nchini marekani, wamebaini kuwa vijana hao wa China wamekuwa...

 

9 years ago

MillardAyo

Baada ya Danny Mrwanda kusajiliwa na Maji Maji FC na kutowasili, uongozi wa Maji Maji umeamua hivi (+Audio)

Headlines za soka la bongo mtu wangu wa nguvu zimenifikia, safari hii sio kuhusu Simba na Yanga bali ni kuhusu staa wa soka aliyewahi kuvitumikia vilabu hivyo kwa nyakati mbili tofauti Danny Mrwanda, staa huyo ameingia kwenye headlines baada ya kuingia mkataba wa kuitumikia klabu ya Maji Maji FC ya Songea na kupewa malipo yake […]

The post Baada ya Danny Mrwanda kusajiliwa na Maji Maji FC na kutowasili, uongozi wa Maji Maji umeamua hivi (+Audio) appeared first on TZA_MillardAyo.

 

10 years ago

Mwananchi

Baadhi ya makosa yanayojitokeza katika baadhi ya magazeti ya kiswahili

MAKOSA  yanayojitokeza katika magazeti  mengi ya Kiswahili ni kutokana na waandishi kutokuwa makini na wengine kutokuwa na ujuzi wa kutosha katika sarufi na fasihi Ya Kiswahili

 

10 years ago

Vijimambo

Interpol yawasaka Wachina 30 kwa ujangili wa tembo



Kamishna wa Interpol Tawi la Tanzania, Gustav Babile
Dar/Dodoma. Siku tano baada ya Serikali kukanusha vikali ripoti ya Shirika la Kimataifa la Mazingira (EIA) iliyoihusisha China na utoroshaji wa meno ya tembo nchini wakati wa ziara ya Rais wa nchi hiyo, Xi Jinping mwaka jana, Shirika la Polisi la Kimataifa (Intepol), Tawi la Tanzania limesema linawatafuta raia zaidi ya 30 wa China ambao wanatuhumiwa kusafirisha meno ya tembo na kufanya uharamia wa kimazingira katika hifadhi za Taifa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani