Je, wajua maji ni adui kwa baadhi ya Wachina?
Je, una habari maji ni adui mkubwa kwa baadhi ya Wachina? Katika mazungumzo yangu na raia kutoka Afrika wanaoishi hapa Beijing wananieleza wenyeji hawatilii maanani sana kuoga kila siku
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili11 Jun
Ukatili baharini: Simulizi kuhusu wavuvi waliotoswa kwenye maji na Wachina
10 years ago
Vijimambo29 Nov
HAYA NDIO BAADHI YA MAAZIMIO YALIYOSABABISHA BUNGE KUAHIRISHWA KWA KUPINGA BAADHI YA MAADHIMIO YA KUWALINDA WATUHUMIWA WA SAKATA LA ESCROW
MAAZIMIO
Pendekezo la kwanza la kumkamata na kumfilisi bwana Seth lina marekebisho ya serikali, naibu waziri wa Sheria anasema haiwezekani
Pendekezo la pili kuhusu Rugemalira, serikali imeweka marekebisho kuhusu uhalali wa pesa za Rugemalira alizogawa
Azimio la TATU limerekebishwa kuwa waliopokea pesa wachunguzwe na kuchukuliwa hatua mahususi kwa mujibu wa sheria
Pendekezo la NNE. Kamati inazitaka mamlaka kuzitangaza benki za Mkombozi na Stanbic kama asasi za utakatishaji fedha
Azimio la 4...
11 years ago
Mwananchi16 Apr
Baadhi ya maeneo jijini D’Salaam kukosa maji
10 years ago
Mwananchi06 Jun
Machinga Complex ‘kuuzwa’ kwa wachina
9 years ago
Mwananchi25 Nov
Wachina kizimbani kwa pembe za faru
10 years ago
GPL
WACHINA 15 MBARONI KWA KUGUSHI VYETI
9 years ago
MillardAyo24 Dec
Baada ya Danny Mrwanda kusajiliwa na Maji Maji FC na kutowasili, uongozi wa Maji Maji umeamua hivi (+Audio)
Headlines za soka la bongo mtu wangu wa nguvu zimenifikia, safari hii sio kuhusu Simba na Yanga bali ni kuhusu staa wa soka aliyewahi kuvitumikia vilabu hivyo kwa nyakati mbili tofauti Danny Mrwanda, staa huyo ameingia kwenye headlines baada ya kuingia mkataba wa kuitumikia klabu ya Maji Maji FC ya Songea na kupewa malipo yake […]
The post Baada ya Danny Mrwanda kusajiliwa na Maji Maji FC na kutowasili, uongozi wa Maji Maji umeamua hivi (+Audio) appeared first on TZA_MillardAyo.
10 years ago
Mwananchi18 Mar
Baadhi ya makosa yanayojitokeza katika baadhi ya magazeti ya kiswahili
10 years ago
Vijimambo
Interpol yawasaka Wachina 30 kwa ujangili wa tembo

Kamishna wa Interpol Tawi la Tanzania, Gustav Babile
Dar/Dodoma. Siku tano baada ya Serikali kukanusha vikali ripoti ya Shirika la Kimataifa la Mazingira (EIA) iliyoihusisha China na utoroshaji wa meno ya tembo nchini wakati wa ziara ya Rais wa nchi hiyo, Xi Jinping mwaka jana, Shirika la Polisi la Kimataifa (Intepol), Tawi la Tanzania limesema linawatafuta raia zaidi ya 30 wa China ambao wanatuhumiwa kusafirisha meno ya tembo na kufanya uharamia wa kimazingira katika hifadhi za Taifa...