Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ukatili baharini: Simulizi kuhusu wavuvi waliotoswa kwenye maji na Wachina

Video inayoonesha mwili wa kijana mmoja akitoswa kikatili baharini imesababisha kufanyika kwa uchunguzi kimataifa, na tukio hilo kuonesha kuwepo kwa viashiria vya hali ''kama ya utumwa''

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Wavuvi: Mradi wa gesi unatupunguzia samaki baharini

>Katika kipindi cha zaidi ya miaka miwili sasa upatikanaji wa samaki wa kitoweo katika pwani ya Bahari ya Hindi, eneo la Mkoa wa Mtwara, umekuwa mgumu.

 

5 years ago

BBCSwahili

Wavuvi saba Watanzania wawekwa karantini baada ya kuokolewa baharini Kenya

Wavuvi wa saba raia wa Tanzania waliookolewa baada ya boti yao kupinduka katika bahari ya hindi siku tatu zilizopita wamewekwa karantini.

 

10 years ago

BBCSwahili

Je, wajua maji ni adui kwa baadhi ya Wachina?

Je, una habari maji ni adui mkubwa kwa baadhi ya Wachina? Katika mazungumzo yangu na raia kutoka Afrika wanaoishi hapa Beijing wananieleza wenyeji hawatilii maanani sana kuoga kila siku

 

11 years ago

Dewji Blog

Waandishi 37 watunukiwa tuzo za maoni yao kuhusu kuboresha utoaji huduma kwenye sekta za elimu, afya na maji

RRMoE4

 Twaweza, kama sehemu ya kazi zake kwenye Mpango wa kuendesha shughuli za serikali kwa uwazi (OGP), imetoa tuzo za kompyuta (aina ya laptops) na taa zinazotumia nishati ya jua kwa waandishi 37 kutokana na mawazo yao juu ya namna Serikali na wananchi wanavyoweza kuboresha utoaji huduma kwenye sekta za elimu, afya na maji.

Shindano hili la kutafuta maoni ya wananchi lilizinduliwa kwa ushirikiano wa Twaweza pamoja na Serikali ya Tanzania mwezi Desemba 2012. Twaweza iliisaidia Serikali...

 

11 years ago

Mwananchi

Simulizi kuhusu watoto waliotenganishwa

Watoto hao walipewa majina ya Eliud na Elikana, walizaliwa Februari 20, mwaka jana mkoani Mbeya wakiwa wameungana huku mama yao Grace Joel (20) akiwa hana matumaini ya watoto hao kutenganishwa au kuendelea kuishi.

 

10 years ago

GPL

SIMULIZI YA MPOTO: BABA AMLILIA, AFUTA MACHOZI NA KUCHANGANYA NA MAJI, AKAMWAGIWA!

MPENZI msomaji wa simulizi hii tamu ya Mrisho Mpoto, wiki iliyopita tuliishia pale Mrisho alipowasiliana na baba yake kwa njia ya simu na kumtaka kwenda kumchukua Songea kwa kuwa hali yake kimaisha haikuwa nzuri. Alikubaliwa na mama yake na alipofika Songea kuna kitu kiliendelea. “Baba aliponiona tu kwa mara ya kwanza tangu aniache mdogo alilila sana. Alitoka machozi ya mtu mzima, akayakinga na kuchanganya na maji kisha...

 

11 years ago

Habarileo

‘Wavuvi wanaua wanawake kuvutia samaki kwenye mitego’

WAKATI Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini (IGP), Ernest Mangu ametuma timu maalumu ya wataalamu wilaya ya Butiama mkoani Mara, kuchunguza matukio ya mauaji yanayowalenga wanawake, taarifa zinasema mauaji hayo hufanywa na wavuvi.

 

10 years ago

Michuzi

TRA yawapa somo wachina kuhusu sheria za ukusanyaji kodi nchini

Mkurugenzi wa JITENG Consultant Company Bw. Andrew Huwang akiongea jumuiya ya wafanyabiashara kutoka China waishio Tanzania kuhusu ushiriki wao katika masuala ya ukusanyaji kodi na kuendelea kuongeza ushirikiano kwa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, wakati wa Semina iliyoandaliwa na Jumuiya ya wachina waishio Tanzania na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) iliyolenga kuwaeleimisha kuhusu ukusanyaji na sheria mbalimbali za Kodi Nchini leo Jijini Dar es Salaam, kushoto ni...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani