Wavuvi: Mradi wa gesi unatupunguzia samaki baharini
>Katika kipindi cha zaidi ya miaka miwili sasa upatikanaji wa samaki wa kitoweo katika pwani ya Bahari ya Hindi, eneo la Mkoa wa Mtwara, umekuwa mgumu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
KwanzaJamii12 May
Wavuvi wanaozamia samaki wa mapambo wanadhulumiwa
5 years ago
BBCSwahili11 Jun
Ukatili baharini: Simulizi kuhusu wavuvi waliotoswa kwenye maji na Wachina
5 years ago
BBCSwahili07 Jun
Wavuvi saba Watanzania wawekwa karantini baada ya kuokolewa baharini Kenya
10 years ago
Habarileo09 Aug
Wavuvi wahoji soko la samaki Kalambo kudoda
WAVUVI wa vijiji vya mwambao mwa Ziwa Tanganyika wilayani Kalambo katika Mkoa wa Rukwa, wamesikitishwa kuona soko la kisasa la samaki likishindwa kufanya kazi miaka mitatu sasa tangu ujenzi wake ukamilike, huku ujenzi wake ukielezwa kugharimu zaidi ya Sh milioni 802.
11 years ago
Habarileo13 Apr
‘Wavuvi wanaua wanawake kuvutia samaki kwenye mitego’
WAKATI Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini (IGP), Ernest Mangu ametuma timu maalumu ya wataalamu wilaya ya Butiama mkoani Mara, kuchunguza matukio ya mauaji yanayowalenga wanawake, taarifa zinasema mauaji hayo hufanywa na wavuvi.
11 years ago
Mwananchi24 Jul
Gesi Mtwara kero kwa wavuvi
9 years ago
Dewji Blog12 Nov
Kituo cha kuendeleza Samaki Kanda ya Kati chatoa siku saba kwa wavuvi haramu kusalimisha zana haramu wanazotumia
Baadhi ya nyavu haramu zisizoruhusiwa kutumika kuvulia samaki kwenye bwawa la Kijiji cha Mwanzugi,wilayani Igunga.
Na. Jumbe Ismailly
[IGUNGA] Kituo cha kuendeleza samaki Kanda ya kati,chenye makao yake makuu wilayani Igunga,Mkoani Tabora kimetoa muda wa siku saba kuanzia sasa kwa watu wote wanaojishughulisha na uvuvi...
11 years ago
Tanzania Daima16 Apr
Wakulima wa mpunga Igunga kunufaika na mradi wa samaki
WAKULIMA wa zao la mpunga Kanda ya Kati, wanatarajia kunufaika na mfumo mpya wa serikali wa kuwaanzishia ujenzi wa Chuo cha Ufugaji Samaki kwa lengo la kuwaongezea kipato. Mkurugenzi Msaidizi...