JK kuteta na Watanzania Marekani
Rais Jakaya Kikwete
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
RAIS Jakaya Kikwete anatarajiwa kukutana na Watanzania waishio nchini Marekani Agosti 2, mwaka huu.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa jana na Balozi wa Tanzania nchini Marekani, Leberata Mulamula, aliwataka Watanzania wote kuhakikisha wanahudhuria mkutano huo.
“Ninapenda kuwaalika Watanzania wote wa maeneo ya DMV pamoja na majimbo mengine ya hapa nchini Marekani kuhudhuria mkutano maalumu wa Rais Jakaya Kikwete Agosti 2, mwaka huu...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo24 Jul
MHE. BALOZI WA TANZANIA NCHINI MAREKANI ANAWAKARIBISHA WATANZANIA WOTE WAISHIO MAREKANI KATIKA HAFLA YA KUWAAGA ITAKAYOFANYIKA JUMAMOSI TAREHE 25 JULAI 2015.
![](http://vip-adventuretours.com/german/files/2012/08/Tansania-Emblem.png)
The Ambassador of the United Republic of Tanzania
to the United States of America
H.E. Ambassador Liberata Mulamula
has the pleasure to cordially invite you
to a Barbeque Farewell
Saturday, July 25th 2015
from Three - Seven in the evening (3:00 – 7:00pm)
at
Ambassador’s Residence
1 Highboro Court
Bethesda, MD...
10 years ago
Michuzi08 Sep
NHIF YAKUTANA NA KUTETA NA WASANII BASATA
![2](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/09/212.jpg)
![9](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/09/95.jpg)
10 years ago
Mtanzania02 Feb
Profesa Lipumba kuteta na Rais Kikwete
Na Fredy Azzah, Dar es Salaam
SIKU chache baada ya polisi kuwapiga wanachama wa Chama cha Wananchi (CUF), Mwenyekiti wake, Profesa Ibrahim Lipumba, amesema ataonana na Rais Jakaya Kikwete azungumze naye kuhusu jinsi Jeshi la Polisi linavyotumia nguvu dhidi ya raia na kufuta mashtaka dhidi ya wanachama wake.
Akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, Profesa Lipumba alisema anashangazwa na hatu ya Jeshi la Polisi kutumia nguvu na hata kuwapiga wanachama wa CUF bila hatia.
“Hali...
9 years ago
Habarileo12 Sep
Mabosi wa uchaguzi TFF, DRFA kuteta
KAMATI ya Uchaguzi ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) chini ya Mwenyekiti wake Aloyce Komba, inatarajia kukutana na Mwenyekiti wa Kamati ya Uchaguzi ya Chama cha Soka Mkoa wa Dar es Salaam (DRFA), Rashid Sadallah kuzungumzia mambo mbalimbali kuhusu uchaguzi wa Chama cha Soka Temeke (TEFA).
11 years ago
Mwananchi06 Jul
Watanzania waitikisa Marekani kwa utapeli
10 years ago
VijimamboBALOZI LIBERATA MULAMULA AWAAGA WATANZANIA MAREKANI
11 years ago
Tanzania Daima08 Apr
Sitta kuteta na Kardinali Pengo, Mufti Simba leo
WAKATI mjadala wa Bunge Maalumu la Katiba ukizidi kupoteza mwelekeo, huku Mwenyekiti wake, Samuel Sitta, akionekana kuyumba, kiongozi huyo wa Bunge leo anatarajia kukutana na viongozi wakuu wa dini nchini....
5 years ago
CHADEMA Blog![](https://img.youtube.com/vi/5aOVgzxih34/default.jpg)
11 years ago
Michuzi03 Aug