Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Joell Ortiz anatuasa kwanini ni vibaya kukagua simu ya mpenzi wako kwenye video hii kali

Unatabia ya kukagua simu ya mpenzi wako na kusoma meseji anazotumiwa na kutuma? Joell Ortiz anatueleza kwenye video ya ngoma yake ‘Phone’ kwanini si kitu kizuri.

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Kwanini Diamond Platnumz alilia kwenye video hii?

Hakuna siri kuwa Diamond Platnumz na Yemi Alade walifanya kazi nzuri kwenye msimu wa pili wa Coke Studio Africa. Miongoni mwa nyimbo zilizofurahiwa zaidi ni Johny ya Yemi na Ukimwona ya Diamond ambazo waliziimba pamoja. Lakini kilichofurahisha zaidi na pengine ambacho watu wengi hawajakigundua ni pale Diamond alikuwa akijadiliana na producer wa video ya live […]

 

10 years ago

GPL

KUNA UMUHIMU WA KUPEKUA SIMU YA MPENZI WAKO?-2

“Ndugu mwandishi, nakupongeza kwa mada yako nzuri lakini nasikitika kwamba umeandika kwa kuegemea upande mmoja tu. Ni kweli siyo vizuri kupekua simu ya mwenzi wako lakini je, pale unapopekua na kufuma meseji za mapenzi kwenye simu ya mwenzi wako, nani mwenye makosa? Wewe uliyepekua au yeye anayekusaliti?” Nimeamua kuanza kwa staili tofauti leo, huo hapo juu ni ujumbe nilioupata kutoka kwa msomaji wangu mmoja baada ya...

 

10 years ago

GPL

KUNA UMUHIMU WA KUPEKUA SIMU YA MPENZI WAKO

Nianze kwa kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kunijalia kuiona siku hii ya leo. Ni matumaini yangu kwamba msomaji wangu unaendelea vizuri na majukumu yako ya kila siku.
Karibu tena kwenye zulia la mahaba, mahali tunapojuzana, kuelimishana na kubadilishana mawazo kuhusu suala zima la mapenzi. Leo ningependa kujadili na wewe msomaji wangu mada hii kama inavyojieleza. Je, kuna umuhimu wa wewe kupekua simu ya mwenzi wako? Unapata faida...

 

9 years ago

GPL

UNAPIGIWA SIMU HUPOKEI, UNASONYA...UNATUMA MESEJI... MPENZI WAKO AKUELEWE VIPI?

ASSALAAM aleikum na Bwana Yesu asifiwe wapenzi wasomaji. Ninafurahishwa na jinsi mnavyoniunga mkono kunisoma na kunipa maoni yenu. Hakika nitaendelea kuwaelimisha kwa kila ninachoona kinafaa kuwafikia ili kuwekana sawa ndani ya maisha ya uhusiano. Leo nimekuja na mada hii; UNAPIGIWA SIMU HUPOKEI, UNASONYA...UNATUMA MESEJI...MPENZI WAKO AKUELEWE VIPI?
Mada hii inawahusu wapendanao wote. Wewe mwanamke na wewe mwanaume....

 

10 years ago

GPL

HAJIBU MESEJI, HAPOKEI SIMU, MAPENZI YAMEPUNGUA, ANA SIFA ZA KUWA MPENZI WAKO? JIONGEZE!

NAMSHUKURU Mungu kwa kunikutanisha nanyi marafiki Jumamosi ya leo. Mungu ni mwema sana ndiyo maana anazidi kutubariki kila kukicha. Tunakutana tena katika darasa letu huru, tunafundishana masuala yahusuyo uhusiano wa mapenzi. Leo nimependa tujadili mada hii ambayo naamini inagusa watu wengi. Wengi wetu tunakubaliana kwamba tumekutana na jambo hili kwa nyakati tofauti.Unampigia simu mpenzi wako hapokei, meseji hajibu na wala hana...

 

10 years ago

GPL

KAMA MPENZI WAKO ANA WIVU, HII INAKUHUSU SANA!

Mpenzi msomaji wangu, katika mapenzi kuna kitu kinaitwa wivu. Wivu umekuwa ukiwatesa wengi na kujikuta wakijipa presha na vidonda vya tumbo bila kutarajia.Wanaofikia hatua hii ni wale ambao wivu wao umepitiliza. Nasema umepitiliza kwa kuwa, wivu wa kawaida unatakiwa kwenye mapenzi ili yawe imara.  Kama upo kwenye uhusiano na mtu mwenye wivu uliopitiliza kiwango, unatakiwa kuwa makini sana ili msije mkaachana wakati bado...

 

10 years ago

GPL

MPENZI WA ZAMANI WA MPENZI WAKO ANAPOKUWA KIRUSI HATARI!

Niwazi kila mmoja wetu ana historia katika maisha yake ya kimapenzi. Huenda mpaka sasa wewe msomaji ulishawahi kuwa na uhusiano na watu zaidi ya mmoja. Wala siyo ajabu! Yawezekana pia kati ya wale uliowahi kuwa nao wapo uliomwagana nao kwa shari lakini wapo pia ulioachana nao kiroho safi. Jambo ambalo leo nataka kulizungumzia ni hili la mtu kuendelea kuwa na mawasiliano na mpenzi wake wa zamani eti kwa sababu waliachana kwa...

 

9 years ago

Bongo5

Video: Hemedy ana ushauri kwa wanaume wa jinsi ya kumfanya mpenzi wako asikuache kamwe!

Hemedy PHD amejifunza kuwa kutulia na mpenzi mmoja, kuwa mwaminifu, kumpa muda wako mwingi haitoshi kumfanya mwanamke awe na furaha. Akiongea na Round Up, Hemedy amesema amegundua kuwa kuna vitu vingine vinavyoonekana kuwa ni vidogo lakini ni sumu katika uhusiano. “Ni tabia ndogo ndogo za wivu, ukorofi, ni vitu ambavyo mimi nilikuwa navyo ambavyo nilikuwa […]

 

9 years ago

MillardAyo

Kama mpango wako ni kuanza 2016 na simu mpya kwenye ubora wake, unaweza kuanza na TECNO Phantom 5

Kila mtu anaanza mwaka na mipango yake, 2016 ndio hii kwenye countdown ya tarehe za January… kama ishu ya kubadili simu iko kwenye mipango yako ya mwanzo mwanzo wa mwaka basi naomba nikufahamishe machache kuhusu hii Phantom 5. Kwa sababu Tecno wamethibitisha kuwasogezea Watanzania matoleo kadhaa ya simu za smartphones zenye viwango vyake sokoni, basi kuna […]

The post Kama mpango wako ni kuanza 2016 na simu mpya kwenye ubora wake, unaweza kuanza na TECNO Phantom 5 appeared first on...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani