Joshua, Abdul wajifunga Yanga
Mabeki Oscar Joshua na Juma Abdul kila mmoja amesaini mkataba ya miaka miwili wa kuendelea kuichezea Yanga.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi17 Mar
Mama Abdul
Mimi mwanao, nakuandikia barua hii huku machozi yakinidondoka! Mama laiti ungekuwa unaniona, ungenionea huruma.
11 years ago
Mwananchi29 Apr
Luhende, Abdul sokoni
>Mabeki wa Yanga, David Luhende na Juma Abdul wamefungua milango kwa klabu nyingine zinazotaka kuwasajili kuwafuata sasa ili wazichezea msimu ujao wa Ligi Kuu Bara.
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-eLNypboZA24/VY4RCDo-YfI/AAAAAAADtjs/ToL2jYU2kAI/s72-c/Ally.jpg)
Hongera Abdul Ally
![](http://3.bp.blogspot.com/-eLNypboZA24/VY4RCDo-YfI/AAAAAAADtjs/ToL2jYU2kAI/s640/Ally.jpg)
Timu ya Vijimambo inakupongeza Abdul Ally kwa kukamata nondos kutoka shule ya Bushwick High School For Social Justice. Hongera sana.
10 years ago
Vijimambo22 Sep
KANISA LA TB JOSHUA LALOPOROMOKA
![](http://api.ning.com/files/2Tkrz8bmcYgr2MBCXpIb5xrx9CzzxNNNAzneOC48INGTbVjm8NC6HeiOr3VaR1LTg7czZ0Rp5QtBr2*UU5D0qKYdNgXVN7Gp/vifo.jpg)
IDADI ya watu waliofariki dunia baada ya Kanisa la Mhubiri TB Joshua kuporomoka nchini Nigeria hivi karibuni imefikia 115, huku 84 wakiwa raia wa Afrika Kusini, 7 wa Nigeria na wengine waliobaki wakiwa bado hawajafahamika wanatoka nchi gani.
Zaidi ya watu 300 kutoka Afrika Kusini walikuwa wametembelea Kanisa hilo la 'All Nations in Lagos' lililoporomoka siku 10 zilizopita.
Inaarifiwa jengo hilo liliporomoka kutokana na ujenzi mbovu.
Ndege...
9 years ago
The Zimbabwe Standard08 Nov
TB Joshua prays for Mugabe
The Zimbabwe Standard
The Zimbabwe Standard
Popular Nigerian televangelist Temitope Balogun Joshua, popularly known as TB Joshua, on Friday night prayed for President Robert Mugabe and also declared “a new dawn” for the country. By XOLISANI NCUBE. The world-famous Nigerian prophet ...
VIDEO: Accept election results, TB Joshua urges Tanzanian opposition leaderP.M. News
all 2
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/RbZs-7F4B2w/default.jpg)
10 years ago
BBCSwahili18 Nov
Familia ya Kassig yamlilia Abdul-Rahman
Wazazi wa Abdul-Rahman Kassig raia wa Marekani aliyekuwa akifanya kazi katika mashirika ya misaada watoa rambi rambi maalumu.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/UQSvRDwuxJJ03nmrYCbFOwREdT0pTOCwU8LKpiWW0C9VACeOvFV-lUyGs*AP5uozNULD9tf2fQnjCEXoOpUGJ2-XWZRP-lXU/can.gif?width=650)
Cannavaro, Abdul wazichapa kavukavu Taifa
NAHODHA wa Yanga, Nadir Haroub ‘Cannavaro’. Musa Mateja,Dar es Salaam
NAHODHA wa Yanga, Nadir Haroub ‘Cannavaro’, juzi Jumatano alijikuta akivaana na beki mwenzake wa timu moja, Juma Abdul na kurushiana makonde walipokuwa wakiingia kwenye vyumba vya kupumzika wakati wa mchezo dhidi ya JKT Ruvu kwenye Uwanja wa Taifa. Mtiririko wa tukio hilo ambalo lilikuwa kama filamu, katika mechi hiyo ambayo Yanga...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ok30SVir64nNr72EkJu3Ql9hsYaoTy68FdAUBVlBwWET6evsHQ4O44OIMqLZUQytpFFVFxjyAxFxoJfyFYibXI4y5XQNSMZP/bonge.jpg)
TANZIA: ABDUL BONGE AFARIKI DUNIA
Abdul Bonge enzi za uhai wake. ALIYEWAHI kuwa Meneja wa wasanii na mwanzilishi wa Kundi la Tip Top Connection, Abdul Bonge amefariki dunia ghafla usiku wa kuamkia leo akiwa nyumbani kwake jijini Dar es Salaam. Chanzo cha kifo cha Abdul Bonge bado hakijafahamika ila msiba upo Manzese Tip Top. Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi. AMEN
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania