Mama Abdul
Mimi mwanao, nakuandikia barua hii huku machozi yakinidondoka! Mama laiti ungekuwa unaniona, ungenionea huruma.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/gLRz0qCeA0Ws0dNmnootdv5ru1RG425QFRnN1fiUjlXfEUntKeNbIvT1lr6C4myBsTdLKNqHjfICNlIVAzlMsW4LHemNX6hW/mamaABDUL.jpg)
MAMA ABDUL ACHARUKIA WEZI KWENYE MISIBA
Stori: Hamida Hassan
STAA wa filamu ya Kigodoro, Mama Abdul ‘Kantangaze’ hivi karibuni alitoa kali ya mwaka baada ya kuwacharukia wezi wa nyama misibani, hasa akina mama. Staa wa filamu ya Kigodoro, Mama Abdul ‘Kantangaze’. Mama Abdul alitoa kauli hiyo baada ya kuwaona akina mama wakidokoa nyama kwenye sahani za vyakula zilipokuwa zikipitishwa wakati wa msiba wa Mc Chimamy, eneo la Sinza jijini Dar...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LXZYmTRupZ*Qnc8KbjCtpRf-K0wZL7JPIWhxHvmBAY3Nh8z71x7vCPL80Xnl5oB20KBQ9yMCRiuoT6WfvHtcJw8Y1I0qwifp/MaAbdul.jpg?width=650)
MAMA ABDUL AWACHARUKIA WALIOSUSIA KITABU CHA KANUMBA
Na Deogratius Mongela /UWAZI
MUIGIZAJI mkongwe nchini, Salome Nonge ‘Mama Abdul’ amewacharukia mastaa wa filamu Bongo kwa kususia kujitokeza katika uzinduzi wa kitabu cha Kanumba. Muigizaji mkongwe nchini, Salome Nonge ‘Mama Abdul’. Akizungumza na Uwazi, Mama Abdul aliyasema hayo muda mfupi baada ya kuisha kwa uzinduzi wa kitabu hicho uliofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita katika Ukumbi wa Landmark,...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-eLNypboZA24/VY4RCDo-YfI/AAAAAAADtjs/ToL2jYU2kAI/s72-c/Ally.jpg)
Hongera Abdul Ally
![](http://3.bp.blogspot.com/-eLNypboZA24/VY4RCDo-YfI/AAAAAAADtjs/ToL2jYU2kAI/s640/Ally.jpg)
Timu ya Vijimambo inakupongeza Abdul Ally kwa kukamata nondos kutoka shule ya Bushwick High School For Social Justice. Hongera sana.
11 years ago
Mwananchi29 Apr
Luhende, Abdul sokoni
>Mabeki wa Yanga, David Luhende na Juma Abdul wamefungua milango kwa klabu nyingine zinazotaka kuwasajili kuwafuata sasa ili wazichezea msimu ujao wa Ligi Kuu Bara.
11 years ago
Mwananchi22 May
Joshua, Abdul wajifunga Yanga
Mabeki Oscar Joshua na Juma Abdul kila mmoja amesaini mkataba ya miaka miwili wa kuendelea kuichezea Yanga.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ok30SVir64nNr72EkJu3Ql9hsYaoTy68FdAUBVlBwWET6evsHQ4O44OIMqLZUQytpFFVFxjyAxFxoJfyFYibXI4y5XQNSMZP/bonge.jpg)
TANZIA: ABDUL BONGE AFARIKI DUNIA
Abdul Bonge enzi za uhai wake. ALIYEWAHI kuwa Meneja wa wasanii na mwanzilishi wa Kundi la Tip Top Connection, Abdul Bonge amefariki dunia ghafla usiku wa kuamkia leo akiwa nyumbani kwake jijini Dar es Salaam. Chanzo cha kifo cha Abdul Bonge bado hakijafahamika ila msiba upo Manzese Tip Top. Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi. AMEN
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/UQSvRDwuxJJ03nmrYCbFOwREdT0pTOCwU8LKpiWW0C9VACeOvFV-lUyGs*AP5uozNULD9tf2fQnjCEXoOpUGJ2-XWZRP-lXU/can.gif?width=650)
Cannavaro, Abdul wazichapa kavukavu Taifa
NAHODHA wa Yanga, Nadir Haroub ‘Cannavaro’. Musa Mateja,Dar es Salaam
NAHODHA wa Yanga, Nadir Haroub ‘Cannavaro’, juzi Jumatano alijikuta akivaana na beki mwenzake wa timu moja, Juma Abdul na kurushiana makonde walipokuwa wakiingia kwenye vyumba vya kupumzika wakati wa mchezo dhidi ya JKT Ruvu kwenye Uwanja wa Taifa. Mtiririko wa tukio hilo ambalo lilikuwa kama filamu, katika mechi hiyo ambayo Yanga...
10 years ago
BBCSwahili18 Nov
Familia ya Kassig yamlilia Abdul-Rahman
Wazazi wa Abdul-Rahman Kassig raia wa Marekani aliyekuwa akifanya kazi katika mashirika ya misaada watoa rambi rambi maalumu.
9 years ago
Bongo520 Sep
Picha: Huyu ndio Latiffah Nasibu Abdul
Diamond Platnumz na Zari Hassan wamemuonesha mtoto wao Latiffah kwa mara ya kwanza Jumapili. Tiffah Mastaa hao wamesherehekea siku 40 tangu kuzaliwa kwa mtoto huyo maarufu kwa kualika marafiki na watu wa karibu kwenye hafla iliyofanyika kwenye makazi yao, wanayoyaita State House. Mastaa mbalimbali wamehudhuria hafla hiyo ya kumtoa hadharani kwa mara ya kwanza mtoto […]
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania