Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Luhende, Abdul sokoni

>Mabeki wa Yanga, David Luhende na Juma Abdul wamefungua milango kwa klabu nyingine zinazotaka kuwasajili kuwafuata sasa ili wazichezea msimu ujao wa Ligi Kuu Bara.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Mama Abdul

Mimi mwanao, nakuandikia barua hii huku machozi yakinidondoka! Mama  laiti ungekuwa unaniona, ungenionea huruma.

 

10 years ago

Vijimambo

Hongera Abdul Ally


Timu ya Vijimambo inakupongeza Abdul Ally kwa kukamata nondos kutoka shule ya Bushwick High School For Social Justice. Hongera sana.

 

11 years ago

Mwananchi

Joshua, Abdul wajifunga Yanga

Mabeki Oscar Joshua na Juma Abdul kila mmoja amesaini mkataba ya miaka miwili wa kuendelea kuichezea Yanga.

 

10 years ago

GPL

TANZIA: ABDUL BONGE AFARIKI DUNIA

Abdul Bonge enzi za uhai wake. ALIYEWAHI kuwa Meneja wa wasanii na mwanzilishi wa Kundi la Tip Top Connection, Abdul Bonge amefariki dunia ghafla usiku wa kuamkia leo akiwa nyumbani kwake jijini Dar es Salaam. Chanzo cha kifo cha Abdul Bonge bado hakijafahamika ila msiba upo Manzese Tip Top. Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi. AMEN

 

10 years ago

GPL

Cannavaro, Abdul wazichapa kavukavu Taifa

NAHODHA wa Yanga, Nadir Haroub ‘Cannavaro’. Musa Mateja,Dar es Salaam
NAHODHA wa Yanga, Nadir Haroub ‘Cannavaro’, juzi Jumatano alijikuta akivaana na beki mwenzake wa timu moja, Juma Abdul na kurushiana makonde walipokuwa wakiingia kwenye vyumba vya kupumzika wakati wa mchezo dhidi ya JKT Ruvu kwenye Uwanja wa Taifa. Mtiririko wa tukio hilo ambalo lilikuwa kama filamu, katika mechi hiyo ambayo Yanga...

 

10 years ago

BBCSwahili

Familia ya Kassig yamlilia Abdul-Rahman

Wazazi wa Abdul-Rahman Kassig raia wa Marekani aliyekuwa akifanya kazi katika mashirika ya misaada watoa rambi rambi maalumu.

 

10 years ago

GPL

MAMA ABDUL ACHARUKIA WEZI KWENYE MISIBA

Stori: Hamida Hassan
STAA wa filamu ya Kigodoro, Mama Abdul ‘Kantangaze’ hivi karibuni alitoa kali ya mwaka baada ya kuwacharukia wezi wa nyama misibani, hasa akina mama. Staa wa filamu ya Kigodoro, Mama Abdul ‘Kantangaze’. Mama Abdul alitoa kauli hiyo baada ya kuwaona akina mama wakidokoa nyama kwenye sahani za vyakula zilipokuwa zikipitishwa wakati wa msiba wa Mc Chimamy, eneo la Sinza jijini Dar...

 

10 years ago

CloudsFM

Abdul Bonge kuzikwa leo mkoani Morogoro

Mwanzilishi wa kundi la Tip Top Connection na Meneja wa kundi hilo, marehemu Abdul Shaban Tale Tale 'Abdu Bonge' anatarajiwa kuzikwa kijijini kwao,Matombo mkoani Morogoro.

Akizungumza na mtandao huu, Meneja wa Kundi la Tip Top Connection na mdogo wa marehemu, Hamisi Shaban ‘Bab Tale’, alisema siku ya tukio Abdul Bonge akiwa maskani ya Tip Top Connection iliyopo Magomeni-Kagera alifuatwa na kijana mmoja na kuambiwa rafiki yake aitwaye Nassoro Idd alikuwa akipigana na mkewe hivyo aliagizwa na...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kalikitimoto: Sina mpinzani wa kinanda zaidi ya Abdul

TASNIA ya muziki wa taarabu nchini inazidi kuwa moja ya ajira kutokana na vijana wengi wenye vipaji wanaume kwa wanawake kuibuka kila kukicha kuchukua nafasi za magwiji waliopo ambao wamekuwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani