Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


JOTI, MCREGAN NUSURA ‘WAUE’ TABORA

Wasanii wa Kundi la Orijino Komedi, Lucas Mhuvile ‘Joti’ na mwenzake Alex Chalamila ‘McRegan’. Na Richard Bukos, Tabora Wasanii wa Kundi la Orijino Komedi, Lucas Mhuvile ‘Joti’ na mwenzake Alex Chalamila ‘McRegan’ hivi karibuni walizua tafrani ya aina yake na kutaka kusababisha vifo baada ya kupanda kwenye jukwaa la kampeni za CCM zilizofanyika hivi karibuni katika Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi, Tabora. Tukio hilo...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo Movies

Joti, Mc Regan Walizua Tafrani Tabora

Wasanii wa Kundi la Orijino Komedi, Lucas Mhuvile ‘Joti’ na mwenzake Alex Chalamila ‘McRegan’ hivi karibuni walizua tafrani ya aina yake na kutaka kusababisha vifo baada ya kupanda kwenye jukwaa la kampeni za CCM zilizofanyika hivi karibuni katika Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi, Tabora.

Tukio hilo lilitokea baada ya umati uliokuwa umefurika uwanjani hapo kwa ajili ya kusikiliza kampeni za mgombea urais, John Magufuli kila mmoja kutaka kusogea mbele ili kuwaona wasanii hao wakitoa burudani,...

 

11 years ago

Habarileo

Wakodiwa kwa mil.3/- waue mtu

WATU watano, wakiwemo wanawake wawili wanaodaiwa kukodi wauaji, wamefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Hakimu Mkazi ya Nkasi, mkoani Rukwa. Wote wanatuhumiwa kula njama ya kuua kwa imani za kishirikina kwa malipo ya Sh milioni 3.

 

10 years ago

CloudsFM

JOTI ACHUMBIA?

Mwigizaji wa vichekesho wa kundi la Orijino Komedi,Lucas Mhavile, ‘Joti’, amedaiwa kumvisha pete mpenzi wake wa siku nyingi, ikiwa ni ishara na dalili njema kuelekea kwenye kufunga ndoa.
Picha iliyosambaa mtandaoni inaonyesha akiwa na swahiba wake wa siku nyingi, Mr. Mjuni Sylvatory a.k.a Mpoki, Joti ameonekana mwenye furaha muda wote kwa kutimiza tendo hilo huku akiwa amealika watu wachache sana kuhudhuria tukio hilo.

Hata hivyo Clouds FM imemtafuta Joti kuzungumzia picha hiyo kwenye simu...

 

10 years ago

Mwananchi

KUELEKEA MAJIMBONI : Mkoa wa Tabora hali si nzuri kwa Ukawa majimbo ya Uyui, Tabora na Igalula

Wilaya ya Uyui ni moja kati ya wilaya saba za mkoa wa Tabora na inaundwa na kata 29, vijiji 156 na vitongoji 688. Kwa mujibu wa sensa ya watu na makazi ya mwaka 2012 wilaya hii ina jumla ya wakazi 396,623 kwa maana ya wanaume 196,446, wanawake 200,177 na kuna wastani wa watu 6.6 katika kila kaya.

 

5 years ago

Michuzi

Maji ya Ziwa Victoria Kufika Tabora sio ndoto tena, ni kweli tumeyaona- Wananchi wa Tabora



 Mkurugenzi wa Idara ya Usambazaji Maji, Wizara ya Maji Mhandisi Nadhifa Kemikimba akipanda katika tanki la maji la Ushirika wilayani Igunga kujionea kiwango cha msukumo wa maji. Tanki hilo lina uwezo wa kutunza maji lita milioni 2.5 na linatosha kuhudumia mji wa Igunga na pembezoni..Moja ya tanki la kuhifadhi maji kwa ajili ya huduma kwa wananchi...

 

10 years ago

GPL

JOTI, LULU BALAA

Stori: Waandishi wetu
Mastaa wawili Bongo waliokuwa watangazaji wa Shindano la Kuibua Vipaji vya Kuigiza, Tanzania Movie Talents (TMT), Elizabeth Michael ‘Lulu’ na Lucas Mhuvile ‘Joti’ wamezua balaa na kuwaacha hoi mashabiki waliohudhuria fainali za shindano hilo kufuatia aina ya viwalo walivyokuwa wamepigilia. Staa wa Bongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ akiingia ukumbini na kigauni...

 

11 years ago

Michuzi

JOTI AJA NA "SANDUKU LA BABU"

MSANII wa Komedi Bongo Lucas Mhuvile ‘Joti’ ametengeneza filamu inayokwenda kwa jina la Sanduku la Babu. Msanii huyo anajivunia aina ya mfumo aliotumia katika kuandaa sinema hiyo kwa kuirekodi na kushiriki katika nafasi zote pekee yake na kuifanya kuwa filamu sawa na iliyoshirikisha wasanii wengi.  Filamu hiyo ambayo inaonekana ni ya maajabu ni kutokana na Teknolojia iliyotumika kwa nafasi zote kuchezwa na mhusika mmoja, ambapo Joti amecheza katika sinema ya Sanduku la Babu kucheza nafasi...

 

10 years ago

Bongo Movies

Joti Awashukia Waliomzushia kifo Vengu

Uvumi uliozagaa katika mitandao ya kijamii kuwa mwigizaji wa kundi la Orijino Komedi Joseph Shamba ‘Vengu’ kuwa amefariki hazina ukweli wowote na zimeleta usumbufu kwa ndugu na jamaa wa msanii huyo ambaye ni mzima wa afya akiwa yupo kwake, amedhibitisha msanii mwezake Joti.
 

“Hatujui watu hawa wana nia gani na mwezetu, ni mtu kajisikia tu kuposti ujinga aliofikiria kama unaweza kumpatia kiki labda kwa akili yake, toka asubuhi leo simu ni nyingi sana kila mtu akikupigia na swali hilo hilo...

 

11 years ago

TheCitizen

THE PUB: Joti is right; the title ‘mzee’ can be costly

>You’re at your neighbourhood “grocery” having a drink as you wait for the rain to stop so that you can walk home. With you is Vita, the youthful associate of yours.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani