Jumuiya ya Kiislamu yaungana na maaskofu kumtetea Warioba
Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Tanzania imeungana na maaskofu mbalimbali kuwataka wajumbe wa Bunge la Katiba kuheshimu Rasimu ya Katiba iliyowasilishwa kwa mujibu wa sheria na Tume ya Mabadiliko ya Katiba.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi19 Mar
Wanazuoni wa Kiislamu wajibu hoja ya maaskofu
9 years ago
Mtanzania07 Jan
Jumuiya za Kiislamu Zanzibar zapinga kurudiwa uchaguzi
Na Mwandishi Wetu, Zanzibar
JUMUIYA ya Maimamu Zanzibar (JUMAZA) pamoja na Taasisi za Kiislam Zanzibar zimepinga kurudiwa kwa uchaguzi visiwani humo, kwa hoja kwamba hazioni busara yoyote ya kurejewa kwa Uchaguzi Mkuu Zanzibar kwa sababu ule wa awali ulifanyika kwa ufanisi na kukamilika vizuri.
Katika waraka wao walioutoa kwa vyombo vya habari jana, viongozi hao wa dini, walisema wanashangazwa na hatua ya kufuta uchaguzi huo iliyochukuliwa na Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC),...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-r6l3huWtH_M/U7QNNI7Q5JI/AAAAAAAFuX0/zH0ByuxyCvc/s72-c/unnamed+(37).jpg)
JUMUIYA YA KIISLAMU YA MUZDALIFAT WATOA SADAKA YA RAMADHANI ZANZIBAR
![](http://1.bp.blogspot.com/-r6l3huWtH_M/U7QNNI7Q5JI/AAAAAAAFuX0/zH0ByuxyCvc/s1600/unnamed+(37).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-BPLQ9dNyp2U/U7QNNozbuLI/AAAAAAAFuYA/BRM6zYQyPcE/s1600/unnamed+(38).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-OPXnZxhafwY/U7QNNlEOfrI/AAAAAAAFuX4/ohgjkgktYp8/s1600/unnamed+(39).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-TwWe_Yd398Y/U7QNOiRH4oI/AAAAAAAFuYE/_9y72wiIQCE/s1600/unnamed+(40).jpg)
11 years ago
Mwananchi21 Apr
Maaskofu 32 Katoliki wataka Tume ya Warioba iheshimiwe
10 years ago
Habarileo10 Nov
Wabunge waahidi kumtetea Shy-Rose
MBUNGE wa Bunge la Afrika Mashariki, Twaha Tasilima, amesema wabunge wenzake wa Tanzania waliopo kwenye Bunge hilo, watasimama kidete kumtetea mbunge mwenzao, Shy-Rose Bhanji kwani hajatendewa haki ya kusikilizwa juu ya tuhuma anazoshutumiwa na wenzake.
11 years ago
BBCSwahili06 May
Mashahidi zaidi kumtetea Oscar Pistorius
11 years ago
Mwananchi14 Jan
Mbunge Ndesamburo ajitosa kumtetea Lowassa
10 years ago
BBCSwahili03 Sep
Msichana auawa kwa kumtetea babake India
11 years ago
Tanzania Daima12 Mar
Wakili Mluge ajitolea kumtetea mwandishi kortini
WAKILI wa Kujitegemea, Karoli Mluge, amejitolea kumtetea mwandishi wa habari, Editha Majura, kudai makazi yake kwa wasimamizi wa mirathi ya baba mzazi wa watoto wake wawili, marehemu Samweli Komba. Shauri...