Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KAMANDA NZOWA ATUMIWA PAKA 3 OFISINI

Stori: Makongoro Oging’
MAAJABU! Paka watatu wenye macho mekundu walimshangaza Kamanda wa Polisi Kikosi cha Kuzuia na Kupambana na Madawa ya Kulevya Tanzania, SACP Godfrey Nzowa pale alipowakuta katika mlango wa ofisi yake na kumng’ang’ania miguuni. Kamanda wa Polisi Kikosi cha Kuzuia na Kupambana na Madawa ya Kulevya Tanzania, SACP Godfrey Nzowa akiwa ofisini kwake. Sakata hilo lilitokea wiki iliyopita...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

KAMANDA MPYA WA KIPOLISI MKOA WA TEMEKE AKIWA OFISINI

Kamanda mpya wa Mkoa wa Polisi Temeke, Andrew Masatya Satta akiwa ofisini kwake alikutwa na mpiga picha wetu jana Makongoro Oging'  amechukua nafasi ya Kihenya M. Kihenya aliyeamishiwa makao makuu ya polisi jijini Dar. Muonekano wa Kamanda huyo kwa karibu. (PICHA: MAKONGORO…

 

11 years ago

Tanzania Daima

Dk. Migiro atumiwa kumdhibiti Lowassa

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimepanga mkakati mpya wa kuengua wataka urais wanaume kwa kuingiza hisia za kijinsia kama walivyofanya kumdhibiti aliyekuwa Spika wa Bunge la Tisa, Samuel Sitta, alipotaka kugombea...

 

11 years ago

IPPmedia

Senior Assistant Commissioner of Police (SACP), Godfrey Nzowa


IPPmedia
Senior Assistant Commissioner of Police (SACP), Godfrey Nzowa
IPPmedia
Head of the Anti Drugs Unit (ADU), Senior Assistant Commissioner of Police (SACP), Godfrey Nzowa and Kinondoni deputy mayor in Dar es Salaam have named city streets which are common in drug trafficking business, saying the public should work hand ...

 

11 years ago

Michuzi

HONGERA KAMANDA MZINGA KWA KUTEULIWA KUWA KAMANDA WA POLISI MKOA WA LINDI

Klabu ya Waandishi wa Habari Mkoa wa Lindi(LPC) Inatoa Pongezi kwa ACP Renatha Mzinga(pichani) aliekuwa Ofisa Mnadhimu wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Lindi kwa kuteuliwa na MKUU wa Jeshi la Polisi, IGP Ernest Mangu kuwa Kamanda wa Polisi Mkoa wa LINDI. Taarifa iliyotolewa leo na Mwenyekiti wa Klabu ya Waandishi wa Habari Mkoa wa Lindi,Abdulaziz Ahmeid ameeleza kuwa kuwa Klabu hiyo Imepokea mabadiliko hayo na kuhaidi Ushirikiano mkubwa baina ya klabu na Jeshi hilo.  "Kwa niaba ya wanahabari...

 

10 years ago

Bongo5

Nzowa asema dawa za kulevya alizokamatwa nazo Chid Benz ni Heroine

Kamanda wa Kikosi cha Kuzuia na Kupambana na Madawa ya Kulevya Tanzania, Godfrey Nzowa amesema dawa za kulevya alizokamatwa nazo rapper Rashidi Abdallah Makwiro a.k.a Chidi Benz katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere Ijumaa iliyopita (Oct. 24) ni aina ya Heroine. “Alikuwa na dawa Heroine kete 14″, amethibitisha Nzowa kupitia 255 ya […]

 

9 years ago

GPL

SIMULIZI YA MPOTO: ATUMIWA PESA NA WAZUNGU KUJIFUNZA KIINGEREZA, AZILA

MPENZI msomaji wiki iliyopita katika simulizi hii tamu ya Mrisho Mpoto tuliishia mwaka 2001 alipofanyiwa mpango wa kwenda Marekani kushiriki projekti ya One Hand, Fingers ambayo ilikuwa ikihusisha nchi nyingine kama Kenya, Uganda, Tanzania, Marekani na Poland. Safari yake imekuwaje?Tambaa nayo mwenyewe... “Nikaenda na kufikia sehemu moja Marekani inaitwa Baltimore, Maryland katika Chuo Kikuu cha Towson. Nikakaa pale kama...

 

10 years ago

GPL

MTOTO ATUMIWA KUMWIBA MTOTO, AKAMATWA...

Stori: Dustan Shekidele, Morogoro
Hatari! Mtoto wa kike mwenye umri wa miaka 8 (jina linahifadhiwa kimaadili), mkazi wa Kihonda mjini hapa anayesoma darasa la kwanza kwenye Shule ya Msingi Noto Sosario, anadaiwa kutumika kumwiba mtoto mwenzake kisha kukamatwa na kunusurika kuuawa na wananchi wenye hasira zaidi ya 300. Mtoto mwenye umri wa miaka 8 anayedaiwa kutumika kumwiba mtoto mwenzake. Tukio hilo la kushangaza lililonaswa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Paka mkubwa aonekana Paris

Polisi wa Ufaransa,askari wa zima moto na kikosi cha mbwa wanamsaka paka mkubwa aliyeingia mjini.

 

10 years ago

GPL

GENEVIEVE, OMOTOLA CHUI NA PAKA

Staa wa filamu za Kinigeria, Genevieve Nnaji. MASTAA wawili wanaotikisa Nollywood, Omotola Ekeinde pamoja na Genevieve Nnaji inadaiwa hawapatani hata kidogo ‘chui na paka.’Chanzo kinafunguka kuwa japokuwa hivi karibuni Rais wa Chama cha Waigizaji Nigeria, Ibinabo Fiberesima alilazimika kuingilia kati na kuwakusanya pamoja lakini imekuwa vigumu. Muigizaji wa filamu za Kinigeria, Omotola Jalade. “Genevieve...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani