Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KANSA YA MATATITI: VITAMIN D NDIYO KINGA KUBWA

Vitamin D, ambayo kwa kiasi kikubwa hupatikana kwa ngozi kupata mwanga wa jua, ina faida nyingi muhimu za kiafya mwilini na utafiti wa hivi karibuni umebaini kuwa vitamin hiyo ndiyo msingi mkubwa wa kuzuia magonjwa mbalimbali mwilini. Utafiti huo umebaini kuwa vitamin D ni muhimu kwa sababu kiasia cha asilimia 10 ya vinasaba (genes) vya mwili wa binadamu vinaitegemea vitamin hii kufanya kazi yake, kikiwemo kinasaba kinachohusika...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo Movies

Changamoto za Walemavu Ndiyo Sababu Kubwa ya Wastara Kuingia Kwenye Siasa

Naitwa Wastara Juma kama watanzania wenzengu mnavyonifahamu mimi ni muigizaji wa filamu na kazi nyingine zinazohusiana na kiwanda cha filamu. leo niongee kitu ili watanzania wenzangu muelewe kwanini nimeamua kujiingiza kwenye siasa, kikubwa kilichonisukuma kuingia kwenye siasa ni jambo moja kubwa sana kwangu ambalo ni (WALEMAVU) .

Huwezi kusimulia uchungu wa mwana wakati haujawahi kuzaa huwezi kumzunguzia au kumtetea mlemavu hali ya kuwa hujui uchungu, matatizo na maumivu yake,, Mpaka sasa...

 

11 years ago

Habarileo

Vitamin A tatizo Tanzania

UKOSEFU wa Vitamin A kwa watoto wenye umri chini ya miaka mitano unachangia mdororo wa elimu, uoni hafifu na vifo kwa asilimia 33.

 

10 years ago

Dewji Blog

Important Information About Vitamin D!

Vitamin D prevents osteoporosis, depression, prostate cancer, breast cancer,and even effects diabetes and obesity.

Vitamin D is perhaps the single most underrated nutrient in the world of nutrition. That’s probably because it’s free: your body makes it when sunlight touches your skin.

ae19f1af09143e0e5e4257148d6ea7a46b44c14b

Fifteen facts that are important to know about vitamin D and sunlight exposure:

1. Vitamin D is produced by your skin in response to exposure to ultraviolet radiation from natural sunlight.

2. The healing rays...

 

10 years ago

BBCSwahili

Waingereza kutumia tembe za Vitamin D

Kila mtu anafaa kutumia dawa za Vitamin D ili kukabiliana na ukosefu wa jua nchini Uingereza ,wataalam wa serikali wamependekeza.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Watoto asilimia 33 nchini wana upungufu Vitamin A

TAASISI ya Chakula na Lishe Tanzania, imesema asilimia 33 ya watoto walio na umri chini ya miaka 5 nchini wana upungufu wa vitamini A. Mtaalamu wa chakula na lishe kwa...

 

10 years ago

Bongo5

New Video: Belle 9 ft. Joh Makini — Vitamin Music

Wasanii wengi wa Bongo wameendelea kuachia video zao mpya, na safari hii ni zamu ya Belle 9 ambaye ametoa video ya wimbo wake aliomshirikisha Joh Makini ‘Vitamin Music’. Video hii imeongozwa director ambaye ni miongoni mwa madirector wapya wanaokuja juu, Khalfani.

 

10 years ago

Bongo5

Belle 9 auzungumzia wimbo wake mpya Vitamin Music

Belle 9 ameachia wimbo wake mpya ‘Vitamin Music’ aliomshirikisha Joh Makini. Akizungumza na XXL ya Clouds FM jana, Belle alisema wimbo huo ni sehemu ya project yake mpya ya album yenye jina hilo. “Ngoma tulifanya kwa Mona Gangster, Classic Sounds lakini mimi sikumtafuta Joh na yeye hakunitafuta, ni ushikaji tu wa muda mrefu, akija studio […]

 

10 years ago

Dewji Blog

New Study Finds that Orange Maize Improves Vitamin A in Children

14916496023_7aefe65b3c_o

Vitamin A deficiency is widely prevalent in Sub-Saharan Africa

Just ahead of World Food Day, a study published in the American Journal of Clinical Nutrition (http://goo.gl/AwrAkl) has established that ‘orange’ vitamin A maize increases vitamin A storage in the body. This maize has been conventionally bred (non-GMO) to have higher levels of beta-carotene, a naturally occurring plant pigment that the body then converts into vitamin A.

Lack of sufficient vitamin A blinds up to 500,000...

 

10 years ago

Habarileo

Watoto miaka mitano kupewa vitamin A, dawa za minyoo

WIZARA ya Afya na Ustawi wa Jamii kupitia Taasisi ya Chakula na Lishe Tanzania ikishirikiana na Manispaa zote za Mkoa wa Dar es Salaam wamepanga kutoa matone ya vitamin A na dawa ya minyoo kwa watoto wenye umri chini ya miaka mitano.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani