Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Vitamin A tatizo Tanzania

UKOSEFU wa Vitamin A kwa watoto wenye umri chini ya miaka mitano unachangia mdororo wa elimu, uoni hafifu na vifo kwa asilimia 33.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

TATIZO LA RUSHWA YA NGONO BADO NI TATIZO TANZANIA.

Jaji mstaafu wa mahakama ya rufaa nchini tanzania mama EUSEBIA MUNUO  ambaye alikuwa ndiye mkufunzi katika mafunzo hayo yaliyoendeshwa leo jijini Dar es salaam  Rushwa ya ngono pamoja na matumizi mabaya ya madaraka yametajwa kuwa ni moja kati ya matatizo makubwa ambayo yamezidi kuweka mizizi nchini tanzania na kuwaadhiri wasichana wengi huku sheria ikishindwa kuweka wazi adhabu mahususi ili kuwabana wanaohusika katika swala hilo. Hayo yamesemwa leo jijini dare s salaam na Jaji...

 

10 years ago

Dewji Blog

Important Information About Vitamin D!

Vitamin D prevents osteoporosis, depression, prostate cancer, breast cancer,and even effects diabetes and obesity.

Vitamin D is perhaps the single most underrated nutrient in the world of nutrition. That’s probably because it’s free: your body makes it when sunlight touches your skin.

ae19f1af09143e0e5e4257148d6ea7a46b44c14b

Fifteen facts that are important to know about vitamin D and sunlight exposure:

1. Vitamin D is produced by your skin in response to exposure to ultraviolet radiation from natural sunlight.

2. The healing rays...

 

10 years ago

BBCSwahili

Waingereza kutumia tembe za Vitamin D

Kila mtu anafaa kutumia dawa za Vitamin D ili kukabiliana na ukosefu wa jua nchini Uingereza ,wataalam wa serikali wamependekeza.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wasomi ni sehemu ya tatizo Tanzania

WASOMI vijana wanaozidi 10,000, juzi walijitokeza katika usaili ulioitishwa na Idara ya Uhamiaji iliyopo chini ya Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, kwa lengo la kuwania nafasi zipatazo 70,...

 

11 years ago

GPL

SINA TATIZO NA MAWAZIRI MZIGO NINA TATIZO NA CCM

Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana. MFUMO wa uongozi serikalini unanitatiza. Kama Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Nape Nnauye na Katibu Mkuu Abdulrahman Kinana wanaweza kuwaona mawaziri kadhaa kuwa ni mizigo kabla kiongozi mkuu wa nchi Rais Jakaya Kikwete ambaye ni mwenyekiti wa chama wanachokitumikia Nape na Kinana hajachukua hatua, nahisi kuna tatizo kubwa! Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama...

 

11 years ago

Mwananchi

‘Tatizo la kutonufaika na madini, tatizo ni viongozi si wawekezaji’

Serikali imetakiwa kusimamia rasilimali za taifa katika hali ambayo itawanufaisha wananchi wote kwani mali hizo ni za wote.

 

10 years ago

Mwananchi

Rushwa, ngono tatizo Miss Tanzania

Dar es Salaam.  Serikali imesema imeyafungia mashindano ya Miss Tanzania baada ya waandaaji kukiuka taratibu na kanuni huku pia yakitajwa kukithiri kwa rushwa ya ngono na upendeleo.

 

11 years ago

GPL

KANSA YA MATATITI: VITAMIN D NDIYO KINGA KUBWA

Vitamin D, ambayo kwa kiasi kikubwa hupatikana kwa ngozi kupata mwanga wa jua, ina faida nyingi muhimu za kiafya mwilini na utafiti wa hivi karibuni umebaini kuwa vitamin hiyo ndiyo msingi mkubwa wa kuzuia magonjwa mbalimbali mwilini. Utafiti huo umebaini kuwa vitamin D ni muhimu kwa sababu kiasia cha asilimia 10 ya vinasaba (genes) vya mwili wa binadamu vinaitegemea vitamin hii kufanya kazi yake, kikiwemo kinasaba kinachohusika...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Watoto asilimia 33 nchini wana upungufu Vitamin A

TAASISI ya Chakula na Lishe Tanzania, imesema asilimia 33 ya watoto walio na umri chini ya miaka 5 nchini wana upungufu wa vitamini A. Mtaalamu wa chakula na lishe kwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani