Katika hii piga tu, Mwamnyange, Mwema wanaponaje?
HERI ya Krismasi ndugu zangu Watanzania. Tunaungana na dunia kusherehekea sikukuu hii huku tukiwa na majonzi tuliyoonyeshwa katika taarifa ya Kamati ya Kudumu Bunge ya Ardhi, Maliasili na Mazingira kuhusu...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi21 Sep
Piga mswaki, piga deki, piga amani
Mimi sipendi barua ya vitisho, hata kidogo. Na sipendi zaidi iwapo mtishaji hana hata uthubutu wa kutaja yeye ni nani. Ndiyo maana nilikasirika kupata barua jana. Sijui ilitoka kwa nani, lakini bila shaka mtaweza kuhisi.
11 years ago
Habarileo02 Feb
Usafiri unakukera? Piga namba hii
MAMLAKA ya Usimamizi wa Usafiri wa Majini na Nchi Kavu (SUMATRA), imetangaza namba za simu zinazoweza kutumiwa na abiria kuripoti kero na uvunjwaji wa sheria za barabarani, unaofanywa na madereva na makondakta wa daladala wawapo safarini.
10 years ago
VijimamboMWAMNYANGE AZINDUA BARAZA LA USHAURI TCAA
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Uchukuzi, Monica Mwamyange akizungumza wakati wa uzinduzi wa Baraza la Ushauri wa Watumiaji wa Huduma ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA-CCC) na semina ya wadau wa usafiri wa anga Dar es Salaam leo. Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Uchukuzi, Monica Mwamyange akimkabidhi zawadi Mwenyekiti wa Baraza la Ushauri wa Watumiaji wa Huduma ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA-CCC, Shaban Mtambalike wakati wa uzinduzi wa baraza hilo la nne tangu kuanzishwa kwake. Katibu Mtendaji...
10 years ago
MichuziHIFADHI ZA TAIFA TANZANIA(TANAPA) KUPITIA UJIRANI MWEMA WAKABIDHI MRADI WA MAJI KATIKA KIJIJI CHA ASHIRA WILAYA YA MOSHI
Mkuu wa mkoa wa Kilimajaro,Leonidas Gama akikaribishwa na Mhifadhi Mkuu Hifadhi ya Taifa ya Mlima Kilimanjaro (KINAPA)Erastus Rufungulo katika makabidhiano ya mradi wa maji wa ujirani Mwema uliotolewa na hifadhi za taifa nchni TANAPA.Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro,Leonidas Gama akikata utepe kuashiria uwekaji wa jiwe la msingi katika tanki la maji la mradi wa ujirani mwema uliotolewa na TANAPA kwa wananchi katika kijiji cha Ashira wilaya ya Moshi vijijini.Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro ,Leonidas...
10 years ago
Dewji Blog03 Jun
Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA) kupitia ujirani mwema wakabidhi mradi wa maji katika kijiji cha Ashira wilaya ya Moshi
Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro, Leonidas Gama akikaribishwa na Mhifadhi Mkuu Hifadhi ya Taifa ya Mlima Kilimanjaro (KINAPA)Erastus Rufungulo katika makabidhiano ya mradi wa maji wa ujirani Mwema uliotolewa na hifadhi za taifa nchni TANAPA.
Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro, Leonidas Gama akikata utepe kuashiria uwekaji wa jiwe la msingi katika tanki la maji la mradi wa ujirani mwema uliotolewa na TANAPA kwa wananchi katika kijiji cha Ashira wilaya ya Moshi vijijini.
Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro,...
10 years ago
MichuziMAMA MONICA MWAMNYANGE AZINDUA BARAZA LA USHAURI TCAA
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Uchukuzi, Mama Monica Mwamyange akizungumza wakati wa uzinduzi wa Baraza la Ushauri wa Watumiaji wa Huduma ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA-CCC) na semina ya wadau wa usafiri wa anga Dar es Salaam leo.Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Uchukuzi, Mama Monica Mwamyange akimkabidhi zawadi Mwenyekiti wa Baraza la Ushauri wa Watumiaji wa Huduma ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA-CCC), Shaban Mtambalike wakati wa uzinduzi wa baraza hilo la nne tangu kuanzishwa kwake.
Katibu...
Katibu...
11 years ago
BBCSwahili04 Apr
Katika Teknolojia wiki hii:
Kampuni ya Amazon imezindua televisheni yake inayotumia Internet. Imeundwa kushindana na kampuni za Apple na Google.
11 years ago
GPLWEMA: PIGA...
Na Imelda Mtema
Licha ya mama yake mzazi kupinga kwa nguvu zote, staa wa filamu nchini na mtangazaji wa Kipindi cha Runinga cha In My Shoes, Wema Sepetu ameapa kwamba hata iweje, lazima msanii maarufu wa muziki wa kizazi kipya nchini, Nasibu Abdul ‘Diamond’ awe mume wake, Amani lina stori kamili. Wema akiwa na mpenzi wake Diamond. NI CHAGUO LAKE
Akizungumza na Amani katika spesho intavyu hivi karibuni, Wema...
10 years ago
GPL
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania