Kemikali za Xenon na Argon marufuku
Taasisi ya kuzuia dawa za kuongeza nguvu michezoni imezuia Xenon na argon.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo27 Jan
'Wasio na leseni marufuku kuuziwa kemikali'
WAKALA wa maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali imepiga marufuku uuzaji wa kemikali kwa mtu yeyote asiye na leseni kutoka kwake. Kaimu Mkemia Mkuu wa Serikali nchini, Sebanito Mtega alisema hatua hiyo inatokana na kukamilika kwa kazi ya kusajili wauzaji na watumiaji wa kemikali nchini, kazi iliyokamilika Novemba 30 mwaka jana.
5 years ago
SciTechDaily30 Mar
NASA Prepares Powerful Xenon Thruster for Asteroid Redirection Mission
10 years ago
Tanzania Daima06 Dec
Kemikali mwilini mwako II
PUFF, ni neno la kiingereza likimaanisha aidha ‘…kuvuta hewa kwenda ndani ya mwili wako na hata kutoa nje wakitumia sentensi isemayo "…puff out". Nimeliandika hivyo kwani limezoeleka kwa wavutaji wengi...
10 years ago
Habarileo10 Oct
Programu ya kuzuia ajali za kemikali
OFISI ya Wakala wa Mkemia Mkuu wa Serikali (GCLA) imezindua rasmi programu ya kuzuia na kupambana na ajali zitokanazo na kemikali, ambayo inatarajiwa kupunguza tatizo hilo hasa kutokana na ajali hizo kuongezeka. Mpango huo ambao umezinduliwa jijini Dar es Salaam unalenga kuangalia jinsi, ajali hizo zitakavyodhibitiwa kwa kuwa katika baadhi ya ajali za kemikali zilizotokea zimesababisha madhara makubwa.
10 years ago
Habarileo19 Feb
Ajali za kemikali zaua watu 14
WAKALA wa Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali (GCLA), umesema mwaka jana kumetokea matukio ya ajali za kemikali 11 zilizosababisha vifo vya watu zaidi ya 14 na uharibifu wa tani zaidi ya 250 za kemikali.
10 years ago
BBCSwahili31 Jan
Mtaalamu wa silaha za kemikali IS auwawa
10 years ago
Habarileo09 Dec
Wasafirishaji kemikali wakumbushwa kujisajili
WAKALA wa Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali (GCLA) umeagiza wasafirishaji wa kemikali wote nchini ambao hawajasajiliwa kufanya usajili kabla ya Desemba 31, mwaka huu.
9 years ago
BBCSwahili11 Sep
Silaha za kemikali zatumika Syria
11 years ago
Mwananchi22 Dec
Serikali kudhibiti matumizi kemikali