Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kemikali za Xenon na Argon marufuku

Taasisi ya kuzuia dawa za kuongeza nguvu michezoni imezuia Xenon na argon.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

'Wasio na leseni marufuku kuuziwa kemikali'

WAKALA wa maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali imepiga marufuku uuzaji wa kemikali kwa mtu yeyote asiye na leseni kutoka kwake. Kaimu Mkemia Mkuu wa Serikali nchini, Sebanito Mtega alisema hatua hiyo inatokana na kukamilika kwa kazi ya kusajili wauzaji na watumiaji wa kemikali nchini, kazi iliyokamilika Novemba 30 mwaka jana.

 

5 years ago

SciTechDaily

NASA Prepares Powerful Xenon Thruster for Asteroid Redirection Mission

NASA Prepares Powerful Xenon Thruster for Asteroid Redirection Mission  SciTechDailyThis Epic Ion Engine Will Power NASA's Test Mission to Redirect an Asteroid  ScienceAlertPlanetary defenders gain fresh insight on ASTEROID deflection with new study  RTAsteroid News: A 4-KM Rock to Make Earth ‘Close Approach’ – Astronomers Can Already See It  Gizmo Posts 24A Giant Asteroid Will Pass Near Earth in April  Somag NewsView Full coverage on Google...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Kemikali mwilini mwako II

PUFF, ni neno la kiingereza likimaanisha aidha ‘…kuvuta hewa kwenda ndani ya mwili wako na hata kutoa nje wakitumia sentensi isemayo "…puff out".  Nimeliandika hivyo kwani limezoeleka kwa wavutaji wengi...

 

10 years ago

Habarileo

Programu ya kuzuia ajali za kemikali

OFISI ya Wakala wa Mkemia Mkuu wa Serikali (GCLA) imezindua rasmi programu ya kuzuia na kupambana na ajali zitokanazo na kemikali, ambayo inatarajiwa kupunguza tatizo hilo hasa kutokana na ajali hizo kuongezeka. Mpango huo ambao umezinduliwa jijini Dar es Salaam unalenga kuangalia jinsi, ajali hizo zitakavyodhibitiwa kwa kuwa katika baadhi ya ajali za kemikali zilizotokea zimesababisha madhara makubwa.

 

10 years ago

Habarileo

Ajali za kemikali zaua watu 14

WAKALA wa Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali (GCLA), umesema mwaka jana kumetokea matukio ya ajali za kemikali 11 zilizosababisha vifo vya watu zaidi ya 14 na uharibifu wa tani zaidi ya 250 za kemikali.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mtaalamu wa silaha za kemikali IS auwawa

Jeshi la Marekani linasema kuwa mtaalamu mmoja wa silaha za kemilkali aliyekuwa akifanya kazi na kundi la Islamic State ameuawa

 

10 years ago

Habarileo

Wasafirishaji kemikali wakumbushwa kujisajili

Profesa Samwel ManyeleWAKALA wa Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali (GCLA) umeagiza wasafirishaji wa kemikali wote nchini ambao hawajasajiliwa kufanya usajili kabla ya Desemba 31, mwaka huu.

 

9 years ago

BBCSwahili

Silaha za kemikali zatumika Syria

Baraza kuu la Umoja wa Mataifa umeruhusu timu ya uchunguzi kufuatilia ni nani wanaohusika na mashambulizi ya silaha za Kemikali nchini Syria.

 

11 years ago

Mwananchi

Serikali kudhibiti matumizi kemikali

>Katika kupambana na matumizi mabaya ya kemikali, Serikali inaandaa kanuni zitakazosimamia matumizi mabaya ya kemikali hizo hapa nchini.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani