Kesi ya Manyaunyau Desemba 18
Mahakama ya Wilaya imepanga Desemba 18, mwaka huu itaanza kusikiliza maelezo ya awali dhidi ya Mshtakiwa Dunia Salumu (37) maarufu kama Dk Manyaunyau baada ya kukamilika kwa upelelezi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Uhuru Newspaper13 Nov
Kesi ya vigogo TPA kusikilizwa Desemba
NA FURAHA OMARY
KESI ya matumizi mabaya ya madaraka, inayomkabili aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA), Ephraim Mgawe na Naibu wake, Hamad Koshuma, imepangwa kuanza kusikilizwa Desemba 2, mwaka huu.
Mgawe na mwenzake, wanadaiwa kutoa zabuni ya upanuzi wa gati namba 13 na 14, katika bandari ya Dar es Salaam, kwa Kampuni ya China Communications Contruction, bila ya kutangaza zabuni.
Washitakiwa hao walipanda kizimbani jana katika Mahakama ya Hakimu Mkazi...
10 years ago
Dewji Blog01 Dec
Hukumu kesi ya mwandishi wa Mwanachi desemba 10
Mwandishi wa habari wa gazeti la The Citizen na Mwananchi mkoani Singida,Awila Silla, alipokuwa wodini katika hospitali ya mkoa mjini Singida Septemba 9 mwaka 2013, baada ya kucharangwa mapanga na kisha kuporwa mali mbalimbali zikiwemo simu mbili za kiganjani.(Picha na Nathaniel Limu).
Na Nathaniel Limu, Singida
KESI ya unyang’anyi wa kutumia silaha dhidi ya mwandishi wa habari wa magazeti ya MWANANCHI na THE CITIZEN mkoani Singida, inayomkabil Adamu Abdallah mkazi wa Utemini mjini Singida,...
10 years ago
GPLKESI YA CHID BENZI YAAHIRISHWA HADI DESEMBA MOSI
11 years ago
Mwananchi11 Aug
Shahidi: Manyaunyau alivyotutapeli Sh29.6 milioni
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/aqmhJZLv6Zc/default.jpg)
9 years ago
Mtanzania27 Nov
Dk. Manyaunyau miaka 3 jela kwa kushindwa kufufua maiti
NA FARAJA MASINDE, DAR ES SALAAM
MKAZI wa Dar es Salaam, Dunia Salumu maarufu kwa jina la Dk. Manyaunyau, amehukumiwa kutumikia kifungo cha miaka mitatu jela pamoja na kulipa fidia ya Sh milioni 10 baada ya kupatikana na hatia ya kujipatia fedha Sh milioni 29.6 kwa njia ya udanganyifu.
Manyaunyau anadaiwa kujipatia kiasi hicho cha fedha kutoka kwa mlalamikaji, Tekra Modesta kama malipo ya kazi ya kumfufua marehemu kaka yake aliyefahamika kwa jina moja la Modest ambaye alifariki dunia miaka...
9 years ago
Bongo528 Nov
Manyaunyau jela miaka 3 kwa utapeli, alidai angemfufua marehemu
![scan0006](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/scan0006-300x194.jpg)
Mkazi wa Dar es Salaam, Dunia Salumu maarufu kwa jina la Dk. Manyaunyau, amehukumiwa kutumikia kifungo cha miaka mitatu jela pamoja na kulipa fidia ya Sh milioni 10 baada ya kupatikana na hatia ya kujipatia fedha Sh milioni 29.6 kwa njia ya udanganyifu.
Manyaunyau anadaiwa kujipatia kiasi hicho cha fedha kutoka kwa mlalamikaji, Tekra Modesta kama malipo ya kazi ya kumfufua marehemu kaka yake aliyefahamika kwa jina moja la Modest ambaye alifariki dunia miaka kadhaa iliyopita.
Akitoa hukumu...
9 years ago
StarTV29 Dec
 Mahakama Kuu yamfutia kesi Dk. Mwakyembe kuhusu Kesi Za Kupinga Matokeo
Mahakama Kuu Kanda ya Mbeya imeitupilia mbali kesi ya kupinga matokeo ya uchaguzi iliyofunguliwa na aliyekuwa Mgombea wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo, CHADEMA, kwenye uchaguzi mkuu uliopita, Abraham Mwanyamaki, dhidi ya Mbunge wa Kyela na Waziri wa Katiba na Sheria, Dokta Harrison Mwakyembe.
Mahakama imefikia hatua hiyo baada ya Mwanyamaki kushindwa kulipa ada ya gharama za uendeshaji wa kesi hiyo shilingi Milioni Tatu katika muda wa Siku 14 uliowekwa kisheria.
Baada ya uchaguzi mkuu...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-3v9ncL00ffs/VJf72HR2AtI/AAAAAAAAC9Q/TGFD34WTT44/s72-c/image.jpg)
NEWZ ALERT:JOHNSON LUKAZA WA KESI YA EPA ASHINDA KESI
![](http://2.bp.blogspot.com/-3v9ncL00ffs/VJf72HR2AtI/AAAAAAAAC9Q/TGFD34WTT44/s640/image.jpg)
Na Happiness Katabazi (UB)HATIMAYE Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam, imemwachilia huru Mwenyekiti wa Makampuni ya Proin, Johnson Lukaza na mdogo wake Mwesiga Lukaza waliokuwa wakikabiliwa na kesi ya wizi wa Sh.Bilioni Sita Katika Akaunti ya Madeni ya Nje ya Benki Kuu(EPA), baada ya kumuona Hana hatia Katika Kesi iliyokuwa ikimkabili.
Hukumu hiyo Imetolewa Jaji wa Mahakama Kuu Edson Mkasimongwa aliyekuwa alisaidia na Hakimu Mkazi Pamela Mazengo....