Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Shahidi: Manyaunyau alivyotutapeli Sh29.6 milioni

>Shahidi wa pili katika kesi ya kujipatia Sh29.6 milioni kwa njia ya udanganyifu inayomkabili mganga wa jadi, Dunia Salumu (37) ‘Manyaunyau’ amedai kuwa walilazimika kuuza kiwanja na nyumba ya urithi kutafuta fedha za kununua mabeberu saba na mafuta ya ngamia ili kumpa mganga huyo kama masharti ya kumfufua ndugu yao aliyefariki dunia.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Kesi ya Manyaunyau Desemba 18

Mahakama ya Wilaya imepanga Desemba 18, mwaka huu itaanza kusikiliza maelezo ya awali dhidi ya Mshtakiwa Dunia Salumu (37) maarufu kama Dk Manyaunyau baada ya kukamilika kwa upelelezi.

 

9 years ago

Mtanzania

Dk. Manyaunyau miaka 3 jela kwa kushindwa kufufua maiti

manyau2NA FARAJA MASINDE, DAR ES SALAAM

MKAZI wa Dar es Salaam, Dunia Salumu maarufu kwa jina la Dk. Manyaunyau, amehukumiwa kutumikia kifungo cha miaka mitatu jela pamoja na kulipa fidia ya Sh milioni 10 baada ya kupatikana na hatia ya kujipatia fedha Sh milioni 29.6 kwa njia ya udanganyifu.

Manyaunyau anadaiwa kujipatia kiasi hicho cha fedha kutoka kwa mlalamikaji, Tekra Modesta kama malipo ya kazi ya kumfufua marehemu kaka yake aliyefahamika kwa jina moja la Modest ambaye alifariki dunia miaka...

 

9 years ago

Bongo5

Manyaunyau jela miaka 3 kwa utapeli, alidai angemfufua marehemu

scan0006

Mkazi wa Dar es Salaam, Dunia Salumu maarufu kwa jina la Dk. Manyaunyau, amehukumiwa kutumikia kifungo cha miaka mitatu jela pamoja na kulipa fidia ya Sh milioni 10 baada ya kupatikana na hatia ya kujipatia fedha Sh milioni 29.6 kwa njia ya udanganyifu.

scan0006

Manyaunyau anadaiwa kujipatia kiasi hicho cha fedha kutoka kwa mlalamikaji, Tekra Modesta kama malipo ya kazi ya kumfufua marehemu kaka yake aliyefahamika kwa jina moja la Modest ambaye alifariki dunia miaka kadhaa iliyopita.

Akitoa hukumu...

 

11 years ago

Mwananchi

Shahidi ‘amkaanga’ hakimu mahakamani

Shahidi wa kwanza katika kesi ya kuomba na kupokea rushwa inayomkabili Hakimu wa Mahakama ya Mwanzo Buguruni, Grace Kivelege na Karani wake, Rose Kuhima ameiambia mahakama kuwa karani wa mahakama hiyo alizificha fedha alizopewa na mtoa taarifa nyuma ya kabati ndani ya ofisi yake.

 

10 years ago

BBCSwahili

Je,shahidi wa ICC aliyeuawa ni nani?

Marehemu Yebei alitoweka tarehe 28 mwezi Disemba na mwili wake uliokuwa na majereha kupatikana ukiolea katika mto

 

11 years ago

Michuzi

USHAHIDI WA SHAHIDI WA MRAMBA WAFUTWA

Na Mwene Said,  wa Globu ya Jamii Mahakamani
MAWAKILI wa utetezi wa Waziri wa Fedha wa zamani, Basil Mramba, wameondoa mahakamani ushahidi wa Kamishna wa zamani wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Felician Busigara, baada ya kuzua mvutano kati ya mawakili wa pande  zote mbili kwamba ushahidi wa shahidi huo ulikuwa wa kitaalamu na siyo dhidi ya mashitaka yaliyopo mahakamani. Mbali na Mramba, washtakiwa wengine ni Waziri wa Zamani, Nishati na Madini, Daniel Yona na Katibu Mkuu wa Wizara ya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mramba apunguza shahidi mmoja

WAZIRI wa Fedha wa zamani, Basil Mramba, anayekabiliwa na kesi ya matumizi mabaya ya madaraka na kusababisha hasara ya sh bilioni 11.7, ameiambia Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es...

 

11 years ago

Habarileo

Shahidi aeleza watuhumiwa walivyokamatwa

SHAHIDI wa tatu wa kesi ya wizi wa simu za thamani ya Sh milioni 19.4 inayowakabili wafanyakazi sita wa Kampuni ya kupakia na kupakua mizigo ya Swissport, ameieleza Mahakama ya Wilaya ya Ilala kuwa aliwakamata watuhumiwa hao kwa nyakati tofauti.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani