Khadija Mwanamboka aelezea mafanikio ya mgahawa wake wa VVK na mipango ya mwakani
Mjasiriamali na mbunifu wa mavazi nchini, Khadija Mwanamboka amesema ubunifu anaoutumia kwenye mavazi, aliuhamishia kwenye biashara yake ya mgahawa wa vyakula ‘VVK’ ndio maana mwezi huu unatimiza mwaka mmoja ukiwa na mafanikio makubwa.
Khadija ameiambia Bongo5 kupitia mgahawa huo wa VVK ambacho ni kirefu cha Vitu Vya Khadija uliopo Block 41 Kinondani, jijini Dar es salaam, amesema dani ya mwaka mmoja ameweza kuvuka matarajio ya kuwafikia wateja wengi zaidi.
“Nimeamua kuwa serious kwenye...
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo513 Dec
Picha: Mgahawa mpya ‘VVK’ wa Khadija Mwanamboka wazinduliwa jijini Dar
10 years ago
Mwananchi06 Nov
Mikakati, mipango ya muda mrefu chanzo cha mafanikio ya kiuchumi
10 years ago
Michuzi03 Apr
CHEF ISSA KIPANDE AFUNGUA MGAHAWA WAKE SWEDEN

Mgeni rasmi Balozi wa Tanzania nchini Sweden, Mh. Dora Msechu (wa tatu kushoto) akiwa na mwenyeji wake Meya wa Trollhattan, Paul Akerlund (wa tatu kulia), Afisa kutoka Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa nchini Tanzania, Tagie Daisy Mwakawago (kulia), Mmiliki wa mgahawa unaotoa huduma za chakula cha kitanzania unaofahamika kama "Lunch by Chef Issa" (The house of Tanzanian food) uliopo katika mji wa Trollhattan, Sweden unaomilikiwa na mtanzania Chef Issa Kapande (wa pili kulia)...
11 years ago
Mwananchi06 Feb
Ramadhan aelezea ubingwa wake
10 years ago
Dewji Blog15 Jan
Mmiliki wa kiwanda cha viatu (WOISO) aelezea mafanikio yake kupitia shuguli ya ushonaji viatu
Mmiliki wa Kiwanda cha Viatu WOISO kilichopo Tegeta jijini Dar es Salaam ,Bw Kenneth Herman (kulia) akizungumza na waandishi wa habari wakati akielezea mafanikio yake alioyapata kupitia shuguli za kushona viatu na kuweza kumiliki Kiwanda cha Viatu na kuwaajili watu zaidi ya 2,50. Kwenye kiwanda hicho (kushoto), Msimazi wa Kiwanda hicho Bi.Teya Herman.(PICHA NA PHILEMON SOLOMON).
Wafanyakazi wa kiwanda cha WOISO wakiwa kazini.
Eliza Hamad, akiwa na mfanyakazi mwezie Bw.Hilari Kimario...
11 years ago
BBCSwahili17 Jul
Aelezea kwa nini alikata uume wake
10 years ago
Michuzi
JUMA NATURE AELEZEA MSIMAMO WAKE WA KUFANYA KAMPENI

Nature amesema kuwa mziki ambao anaufanya ni...
11 years ago
Bongo528 Jul
Dully Sykes aelezea maana ya wimbo wake ‘Togola’
10 years ago
Vijimambo18 Feb
DULLY SYKES AELEZEA MCHANGO WA BABA YAKE KATIKA MUZIKI WAKE

Kutokana na Msiba huo Tokea Juzi simu ya Dully Imekuwa haipatikani Ila leo @DjHaazu wa @MamboJamboRadio amempata na Kupiga naye Story mbili tatu kuhusiana na Marehemu Mzee Sykes kwa kifupi.Katika Mazungumzo yake Dully ameeleza kuwa Mzee Wake alikuwa anaugua Muda mrefu na...